Tundu Lissu: Sina shida na John Magufuli, nina tatizo na Rais Magufuli

Kushirikiana na anaye kunywa damu ya watu inataka ujiulize kweli!


Mwenyewe Tundu Lissu amesema hana tatizo na Magufuli lakini ana tatizo na Rais Magufuli, (taasisi ya Uraisi.)

Kama ni hivyo ndio ukweli muafaka unaweza kupatikana. Ikumbukwe matatizo yote, mwisho wa siku yanatatuliwa mezani, kwenye maongezi.
 
Kushirikiana na anaye kunywa damu ya watu inataka ujiulize kweli!


Maoni yangu:- Lissu ameumizwa sana, lazima atakuwa na hasira, ila angekuwa very effective kama asingekuwa personal, asingejali vitu vidogo, ambavyo havina tija kwa wazungu au kwa Watanzania, kupunguza kejeli.

Anaongea Uingereza, Marekani, anasema Rais Magufuli hawezi kuongea hata sentensi moja ya kiingereza, he is erratic, son of the soil (mshamba), SADCC, AU hawawezi kufanya chochote sababu ni maskini. USA, EU wasitishe misaada yote kwa Serikali ya Tanzania. Wazungu hawajali sana hivi vijembe.

He had oppurtunity to look presidential, president in waiting, stateman in world stage, advance his cause, his standing, his party.

He didn't take it, grab it. Angeweza kusema kwanza nchi yetu ni nzuri sana, kuna kila kitu, Rais Magufuli kuna vitu yuko sawa, anafanya vizuri, kuna vitu anakosea.

Angeeleweka sana na wazungu, (balance is the key), kukandia kila kitu kwa nchi yako, bara lako hauwezi kupata heshima kwa wazungu.

Anawaambia kwamba mnajua mnaitwa mabeberu, kwamba 10,000,000 tshs inahitaji idhini ya Rais. Huyu ni dikteta kama Mobutu. Anaitetea Acacia, anasema alisema ndege za TZ zingekamatwa, zikakamatwa!

Kwamba Rais magufuli anapenda kupiga picha na kusema ona hawa watu (EU, USA) wananikubali, duh, petty, embarrassing stuffs. Nyerere na viongozi wote waliopita pia hawakubaki salama.

Sera za vyama, mitandao, sedition laws, freedom of expression (uhuru wa kuongea, uchochezi), his personal experience, alivyoshambuliwa, na sera nyingine, angejikita kwenye hayo.

Ikumbukwe ni moral authority, moral higher ground ndio nguzo ya upinzani duniani kote, zama zote, kwa asiye na dola.
 
Maoni yangu:- Lissu ameumizwa sana, lazima atakuwa na hasira, ila angekuwa very effective kama asingekuwa personal, asingejali vitu vidogo, ambavyo havina tija kwa wazungu au kwa Watanzania, kupunguza kejeli.

Anaongea Uingereza, Marekani, anasema Rais Magufuli hawezi kuongea hata sentensi moja ya kiingereza, he is erratic, son of the soil (mshamba), SADCC, AU hawawezi kufanya chochote sababu ni maskini. USA, EU wasitishe misaada yote kwa Serikali ya Tanzania. Wazungu hawajali sana hivi vijembe.

He had oppurtunity to be look presidential, president in waiting, advance his cause, his standing, his party.

He didn't take it, grab it. Angeweza kusema kwanza nchi yetu ni nzuri sana, kuna kila kitu, Rais Magufuli kuna vitu yuko sawa, anafanya vizuri, kuna vitu anakosea.

Angeeleweka sana na wazungu, balance is the key, kukandia kila kitu kwa nchi yako, bara lako hauwezi kupata heshima kwa wazungu. Duniani.

Sera za vyama, mitandao, sedition (uhuru wa kuongea, uchochezi), his personal experience, alivyoshambuliwa, na sera nyingine, angejikita kwenye hayo.

Ikumbukwe ni moral authority ndio nguzo ya upinzani duniani kote, zama zote.

Hebu soma tena uliyoandika, edit (kizungu) halafu utume tena, uliyoandika ni craps
 
Back
Top Bottom