Tundu Lissu, silaha muhimu ya upinzani iliyolenga shabaha sahihi

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,985
20,263
Mmoja ya wakufunzi wangu Mis Pam Overend juzi alinifunza mada ngumu sana katika uwanja wa mapambano (Module: Psychology GCSE). Alisema uwanja wa mapambano haumilikiwi na mtu mmoja au kikundu kimoja, inapofika uwanja umezingirwa na adui, pigana vita ukitokea nje, akakazia kuwa nje utaungwa mkono na wabia wa umiliki wa uwanja wa vita, hawa wana kura ya turufu kumshinda adui...

Nataka kusema kwamba, upinzani Tanzania uko katika vita takatifu na utawala huu, kwa miezi zaidi ya 36 sasa, sisi wapinzani tumwekwa katika tanuru la moto wa makaa ya mawe tunapambana usiku na mchana na huyu ndugu yetu wa damu kabisa aliyeamua kutubatiza kwa moto na aliahidi kutufuta Tanzania akiamini sisi ni kikwazo kwake kupeleka maji Nkasi, Nyakanazi na maeneo mengine, kwaujumla anaamini upinzani ni kikwako cha maendeleo ya nchi, hakika ahadi yake si ya maneno ni ya vitendo hasaa, mahabusu zimejaa wakosoaji dhidi ya utawala, mahakama zimejaa kesi za uchochezi..

Amefunga kila mwanya wa sisi kupambana nae kwa hoja, amefunga mikutano ya hadhara, amefunga uhuru wa kutoa maoni, amefunga vyombo vya habari visitumulike bali vimmulike yeye tu, amefunga mitandao isimkosoe, na sasa anakwenda kufunga kabisa uweko wa vyama vya siasa kwakuweka sheria ya jehanamu rasmi.

Awali nguvu ya wanaharakati ilipata ahueni baada ya gurudumu la nje kuendeshwa na Bi Mange Kimambi, huyu bahati mbaya yeye si mwanasiasa, akachoka kuwasemea waswahili. Tulifikiri tufuate nyayo za wazee wetu wapigania uhuru akina Nyerere, Nkurumah, Machel, Neto, Mandela nk, Tukaona sasa tutafute nguvu ya kidunia tukiungwa mkono na mataifa huenda ahueni itakuwepo kupunguza kibano hiki, maana kila siku mahabusu au mahakamani, Mataifa wanawasikiliza pale mtakapoeleza masahibu yenu kwa wazi, hata kama wao wanajua kinachoendelea, lakini hawakemeagi au kuchukua hatua kama hamtapaza sauti kutoa kelele za vilio vyenu...

Bahati mbaya viongozi wetu wako jela mwezi wa tatu huu, Mungu si Magufuli wala si Makonda, Kiongozi wetu aliyechakazwa risasi zaidi ya 38 mchana kweupe Tundu Lissu huyooo kasimama na katulia katika uwanja sahihi wa kimataifa wa kuieleza dunia masahibu yaliyomkuta na hali ya mambo nchini,

Ni lazima aeleze, hana sababu ya kunyamaza, kungekuwa na kesi mahakamani dhidi ya washukiwa wa kushambuliwa kwake hakika angenyamaza kutoingilia mahakama, Sasa hakuna aliyekamatwa wala kuhojiwa mwaka wa pili unaenda tangu ashambuliwe, Serikali yenye wajibu huo ilidhani ni upepo utapita, Sasa ni wakati wa kuadhibiwa, amini nakuambia kitakachotokea watajilaumu mara mia heri lisingetokea la Lissu.

Tunaoijua dunia na siasa yake, tunawaeleza kwamba hasara ya wahalifu kwa afanyacho Lissu ni kubwa kuliko kumfunga Mbowe na Matiko, Kuliko mswada wa vyama vya Siasa, Kuliko Membe kugombea urais na kuliko kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa, Lissu yupo kwenye laiti traki, anapiga utosini tu na msumari wa nchi sita. Hana cha kupoteza, ati ubunge?? Miezi 18 tu imesalia akachukue fomu, nini kigumu au cha maana mtakachomkwamisha yeye? Anaweza kuzungumza jukwaa lolote duniani bila nembo ya ubunge bali kama manusura wa risasi 38 au Mwanasheria wa Chadema. Anayewashauri anawadhalilisha na kuwachora zaidi...

Hana hasara yoyote, nanyi waharifu hamna faida yoyote kwake, Faida kubwa anayopata Lissu ni kuimarisha upinzani mara mia, na kuongeza mgawanyiko wa ccm mara mia.

Lissu ni silaha muhimu ya upinzani kwa sasa kupambana na hali ya mambo nchini, Songa mbele Lissu umma uliokutibu na unaokuombea siku zote uko nyuma yako, sisi huku home tumewekwa mtu kati, hatupanui hata pua tu sero kumekuwa sebule zetu, segerea kumekuwa kijiweni kwetu, kisutu ndio usiseme kumekuwa kama taarifa ya habari kila siku tuko huko, Sasa hivi kuna mtindo tunaambiwa kama tunabisha tujifanye tunajikuna...

Zingatia kesho jumatatu, 21 Januari 2019 TUNDU LISSU atakuwa BBC katika kipindi maarufu duniani cha HARDTalk, dunia itasinamama kwa dakika 30 mwanamume akizungumza kushambuliwa kwake na hali ya mambo ilivyo Tanzania

Heri ya kuzaliwa kamanda Tundu Lissu.

Na Yericko Nyerere

Updates 21/01/2019.

BBC HARDtalk 21/01/2019 Tundu Lissu MP via YouTube
 
Mmoja ya wakufunzi wangu Mis Pam Overend juzi alinifunza mada ngumu sana katika uwanja wa mapambano (Module: Psychology GCSE). Alisema uwanja wa mapambano haumilikiwi na mtu mmoja au kikundu kimoja, inapofika uwanja umezingirwa na adui, pigana vita ukitokea nje, akakazia kuwa nje utaungwa mkono na wabia wa umiliki wa uwanja wa vita, hawa wana kura ya turufu kumshinda adui...

Nataka kusema kwamba, upinzani Tanzania uko katika vita takatifu na utawala huu, kwa miezi zaidi ya 36 sasa, sisi wapinzani tumwekwa katika tanuru la moto wa makaa ya mawe tunapambana usiku na mchana na huyu ndugu yetu wa damu kabisa aliyeamua kutubatiza kwa moto na aliahidi kutufuta Tanzania akiamini sisi ni kikwazo kwake kupeleka maji Nkasi, Nyakanazi na maeneo mengine, kwaujumla anaamini upinzani ni kikwako cha maendeleo ya nchi, hakika ahadi yake si ya maneno ni ya vitendo hasaa, mahabusu zimejaa wakosoaji dhidi ya utawala, mahakama zimejaa kesi za uchochezi..

Amefunga kila mwanya wa sisi kupambana nae kwa hoja, amefunga mikutano ya hadhara, amefunga uhuru wa kutoa maoni, amefunga vyombo vya habari visitumulike bali vimmulike yeye tu, amefunga mitandao isimkosoe, na sasa anakwenda kufunga kabisa uweko wa vyama vya siasa kwakuweka sheria ya jehanamu rasmi.

Awali nguvu ya wanaharakati ilipata ahueni baada ya gurudumu la nje kuendeshwa na Bi Mange Kimambi, huyu bahati mbaya yeye si mwanasiasa, akachoka kuwasemea waswahili. Tulifikiri tufuate nyayo za wazee wetu wapigania uhuru akina Nyerere, Nkurumah, Machel, Neto, Mandela nk, Tukaona sasa tutafute nguvu ya kidunia tukiungwa mkono na mataifa huenda ahueni itakuwepo kupunguza kibano hiki, maana kila siku mahabusu au mahakamani, Mataifa wanawasikiliza pale mtakapoeleza masahibu yenu kwa wazi, hata kama wao wanajua kinachoendelea, lakini hawakemeagi au kuchukua hatua kama hamtapaza sauti kutoa kelele za vilio vyenu...

Bahati mbaya viongozi wetu wako jela mwezi wa tatu huu, Mungu si Magufuli wala si Makonda, Kiongozi wetu aliyechakazwa risasi zaidi ya 38 mchana kweupe Tundu Lissu huyooo kasimama na katulia katika uwanja sahihi wa kimataifa wa kuieleza dunia masahibu yaliyomkuta na hali ya mambo nchini,

Ni lazima aeleze, hana sababu ya kunyamaza, kungekuwa na kesi mahakamani dhidi ya washukiwa wa kushambuliwa kwake hakika angenyamaza kutoingilia mahakama, Sasa hakuna aliyekamatwa wala kuhojiwa mwaka wa pili unaenda tangu ashambuliwe, Serikali yenye wajibu huo ilidhani ni upepo utapita, Sasa ni wakati wa kuadhibiwa, amini nakuambia kitakachotokea watajilaumu mara mia heri lisingetokea la Lissu.

Tunaoijua dunia na siasa yake, tunawaeleza kwamba hasara ya wahalifu kwa afanyacho Lissu ni kubwa kuliko kumfunga Mbowe na Matiko, Kuliko mswada wa vyama vya Siasa, Kuliko Membe kugombea urais na kuliko kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa, Lissu yupo kwenye laiti traki, anapiga utosini tu na msumari wa nchi sita. Hana cha kupoteza, ati ubunge?? Miezi 18 tu imesalia akachukue fomu, nini kigumu au cha maana mtakachomkwamisha yeye? Anaweza kuzungumza jukwaa lolote duniani bila nembo ya ubunge bali kama manusura wa risasi 38 au Mwanasheria wa Chadema. Anayewashauri anawadhalilisha na kuwachora zaidi...

Hana hasara yoyote, nanyi waharifu hamna faida yoyote kwake, Faida kubwa anayopata Lissu ni kuimarisha upinzani mara mia, na kuongeza mgawanyiko wa ccm mara mia.

Lissu ni silaha muhimu ya upinzani kwa sasa kupambana na hali ya mambo nchini, Songa mbele Lissu umma uliokutibu na unaokuombea siku zote uko nyuma yako, sisi huku home tumewekwa mtu kati, hatupanui hata pua tu sero kumekuwa sebule zetu, segerea kumekuwa kijiweni kwetu, kisutu ndio usiseme kumekuwa kama taarifa ya habari kila siku tuko huko, Sasa hivi kuna mtindo tunaambiwa kama tunabisha tujifanye tunajikuna...

Zingatia kesho jumatatu, 21 Januari 2019 TUNDU LISSU atakuwa BBC katika kipindi maarufu duniani cha HARDTalk, dunia itasinamama kwa dakika 30 mwanamume akizungumza kushambuliwa kwake na hali ya mambo ilivyo Tanzania

Heri ya kuzaliwa kamanda Tundu Lissu.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1000742
Nakubaliana na kila ulichokisema na ningependa sana iwe hivyo lakini historia inatuambia vingenevyo.

Sipendi kukatisha tamaa lakini ndiyo ukwrli wenyewe atazunguka ktk kila chombo cha habari ulaya marekani hata China ila naogopa kusema hakuna cha màana upinzani utakipata.

Miezi kadhaa iliyopita Bob wine ametufundisha kwamba kwa Afrika hata kama tunanyanyaswa namna gani kama hakuna maslahi yao wakubwa yaani Ulaya na Marekani tutamsifu Tundu Lissu na kumpatia sifa zote na vyeo vyote vya kijeshi lakini hakuna lolote litakalotokea.

Watu wstasema Zimbabwe mbona Morgan aliweza unasahau yale mashba Mugabe aliyoyanyang'anya yaliumiza sana uchumi wa UK. Halafu aliwabalasa wslikua waingereza siyo wazimbabwe.

Mugabe aliwaua Wamatebele kule matebele land akawahamosha kusudi wazungu wachimbe Diamond watu wa haki za binadamu wslipiga kelele Mugabe akaukwaa u Sir. Sasa sielewi kabisa kijana msomi kama wewe Yericko bado hujafanya research tu kuwa jamaa hawaingilii mambo mpaka kwa interest zao.

NAOMBA NIWE WRONG MAANA NINGEPENDA SANA MABADILIKO YATOKEE KICHWA KINAPENDA LAKINI ROHO INANIAMBIA NAOTA NDOTO YA MCHANA

Hii ni USA Cable angalia Mawasiliano yao

Zimbabwe is important to us primarily because of major British and western economic and strategic interests in southern Africa, and Zimbabwe’s pivotal position there. Other important interests are investment (£800 million) and trade (£120 million exports in 1982), Lancaster House prestige, and the need to avoid a mass white exodus. Zimbabwe offers scope to influence the outcome of the agonising South Africa problem; and is a bulwark against Soviet inroads… Zimbabwe’s scale facilitates effective external influence on the outcome of the Zimbabwe experiment, despite occasional Zimbabwean perversity.

Chini ni moja ya makaburi ya halaiki. Inakadoriwa watu zaidi ya 10000 walikufa kwenye hii operation ya Mugabe mwaka 1983-84.


Lakini mambo hayakuwa hivi mwaka 2000 mpaka 2001 Mugabe alipoyaingilia mashàmba ya wazungu. TUENDELEE KUJIFARIJI LABDA YESU KARIBU ANAKUJA KUTUOKOA LAKINI BINAFSI NAMTAKIA SAFARI NJEMA NA TUNAMUHITAJI SANA HAPA NYUMBANI ILA HUO URAIS NADHANI YEYE MWENYEWE MOYONI MWAKE ANAJUA NI SINEMA TU WATU WA UKAWA WANATAKA KUMNYANG'ANYA JIMBO LAKE KIMTINDO KWA KUMUWEKA AWE MGOMBEA KAMA KWELI WATAMUOMBA. USHAURI WANGU LISSU BUNGE LIMEPWAYA LIMEBAKI NA MSANII MPIGA ZUMARI ANAYETAKA KUCHUKUA NAFASI YAKO WAKATI HANA UWEZO ZITTO KABWE.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-01-20-22-29-52.png
    Screenshot_2019-01-20-22-29-52.png
    296.7 KB · Views: 42
Nakubaliana na kila ulichokisema na ningependa sana iwe hivyo lakini historia inatuambia vingenevyo.

Sipendi kukatisha tamaa lakini ndiyo ukwrli wenyewe atazunguka ktk kila chombo cha habari ulaya marekani hata China ila naogopa kusema hakuna cha màana upinzani utakipata.

Miezi kadhaa iliyopita Bob wine ametufundisha kwamba kwa Afrika hata kama tunanyanyaswa namna gani kama hakuna maslahi yao wakubwa yaani Ulaya na Marekani tutamsifu Tundu Lissu na kumpatia sifa zote na vyeo vyote vya kijeshi lakini hakuna lolote litakalotokea.

Watu wstasema Zimbabwe mbona Morgan aliweza unasahau yale mashba Mugabe aliyoyanyang'anya yaliumiza sana uchumi wa UK. Halafu aliwabalasa wslikua waingereza siyo wazimbabwe.

Mugabe aliwaua Wamatebele kule matebele land akawahamosha kusudi wazungu wachimbe Diamond watu wa haki za binadamu wslipiga kelele Mugabe akaukwaa u Sir. Sasa sielewi kabisa kijana msomi kama wewe Yericko bado hujafanya research tu kuwa jamaa hawaingilii mambo mpaka kwa interest zao.

NAOMBA NIWE WRONG MAANA NINGEPENDA SANA MABADILIKO YATOKEE KICHWA KINAPENDA LAKINI ROHO INANIAMBIA NAOTA NDOTO YA MCHANA

Hii ni USA Cable angalia Mawasiliano yao

Zimbabwe is important to us primarily because of major British and western economic and strategic interests in southern Africa, and Zimbabwe’s pivotal position there. Other important interests are investment (£800 million) and trade (£120 million exports in 1982), Lancaster House prestige, and the need to avoid a mass white exodus. Zimbabwe offers scope to influence the outcome of the agonising South Africa problem; and is a bulwark against Soviet inroads… Zimbabwe’s scale facilitates effective external influence on the outcome of the Zimbabwe experiment, despite occasional Zimbabwean perversity.

Chini ni moja ya makaburi ya halaiki. Inakadoriwa watu zaidi ya 10000 walikufa kwenye hii operation ya Mugabe mwaka 1983-84

Mkuu nimekuelewa sana tu , umeongea fact sitaki kupingana na wewe lakini tumuache Tundu Lisu apaze sauti huko aliko na wala asirudi kama ubunge wachukue tu lakini Dunia lazima ijue kwa kumsikia yeye mwenyewe kilichomtokea na alichotendewa na serikali ya awamu ya tano.
 
Mkuu nimekuelewa sana tu , umeongea fact sitaki kupingana na wewe lakini tumuache Tundu Lisu apaze sauti huko aliko na wala asirudi kama ubunge wachukue tu lakini Dunia lazima ijue kwa kumsikia yeye mwenyewe kilichomtokea na alichotendewa na serikali ya awamu ya tano.
Nashukuru kwa kunielewa mkuu maana nikiandikaga hivi wengi wanadhani sipendi mabadiliko ama mimi ccm. Mimi siyo ccm wala chadema mimi ni free thinker ambaye sipendi siasa zinazoendelea hapa nyumbani pande zote mbili. Lissu na bashe peke yao angalau wsnatupatia matumaini. Ila tatizo hata wao wanikwaza ni kwamba kuna vitu wanakemea lakini wapo partisan zaidi kuliko maslahi ya nchi. Naweza sema Bashe ndiye mwiba zaidi ya Lissu maana anakichana chama chake sijawahi msikia Lissu akikikosoa chama chake. Na Bashe anakosoa ikifika mikutano ya kampeni anaharibu hapo ndiyo matatizo na wanasiasa wa kibongo ni vinyonga na wanafiki.
 
Mmoja ya wakufunzi wangu Mis Pam Overend juzi alinifunza mada ngumu sana katika uwanja wa mapambano (Module: Psychology GCSE). Alisema uwanja wa mapambano haumilikiwi na mtu mmoja au kikundu kimoja, inapofika uwanja umezingirwa na adui, pigana vita ukitokea nje, akakazia kuwa nje utaungwa mkono na wabia wa umiliki wa uwanja wa vita, hawa wana kura ya turufu kumshinda adui...

Nataka kusema kwamba, upinzani Tanzania uko katika vita takatifu na utawala huu, kwa miezi zaidi ya 36 sasa, sisi wapinzani tumwekwa katika tanuru la moto wa makaa ya mawe tunapambana usiku na mchana na huyu ndugu yetu wa damu kabisa aliyeamua kutubatiza kwa moto na aliahidi kutufuta Tanzania akiamini sisi ni kikwazo kwake kupeleka maji Nkasi, Nyakanazi na maeneo mengine, kwaujumla anaamini upinzani ni kikwako cha maendeleo ya nchi, hakika ahadi yake si ya maneno ni ya vitendo hasaa, mahabusu zimejaa wakosoaji dhidi ya utawala, mahakama zimejaa kesi za uchochezi..

Amefunga kila mwanya wa sisi kupambana nae kwa hoja, amefunga mikutano ya hadhara, amefunga uhuru wa kutoa maoni, amefunga vyombo vya habari visitumulike bali vimmulike yeye tu, amefunga mitandao isimkosoe, na sasa anakwenda kufunga kabisa uweko wa vyama vya siasa kwakuweka sheria ya jehanamu rasmi.

Awali nguvu ya wanaharakati ilipata ahueni baada ya gurudumu la nje kuendeshwa na Bi Mange Kimambi, huyu bahati mbaya yeye si mwanasiasa, akachoka kuwasemea waswahili. Tulifikiri tufuate nyayo za wazee wetu wapigania uhuru akina Nyerere, Nkurumah, Machel, Neto, Mandela nk, Tukaona sasa tutafute nguvu ya kidunia tukiungwa mkono na mataifa huenda ahueni itakuwepo kupunguza kibano hiki, maana kila siku mahabusu au mahakamani, Mataifa wanawasikiliza pale mtakapoeleza masahibu yenu kwa wazi, hata kama wao wanajua kinachoendelea, lakini hawakemeagi au kuchukua hatua kama hamtapaza sauti kutoa kelele za vilio vyenu...

Bahati mbaya viongozi wetu wako jela mwezi wa tatu huu, Mungu si Magufuli wala si Makonda, Kiongozi wetu aliyechakazwa risasi zaidi ya 38 mchana kweupe Tundu Lissu huyooo kasimama na katulia katika uwanja sahihi wa kimataifa wa kuieleza dunia masahibu yaliyomkuta na hali ya mambo nchini,

Ni lazima aeleze, hana sababu ya kunyamaza, kungekuwa na kesi mahakamani dhidi ya washukiwa wa kushambuliwa kwake hakika angenyamaza kutoingilia mahakama, Sasa hakuna aliyekamatwa wala kuhojiwa mwaka wa pili unaenda tangu ashambuliwe, Serikali yenye wajibu huo ilidhani ni upepo utapita, Sasa ni wakati wa kuadhibiwa, amini nakuambia kitakachotokea watajilaumu mara mia heri lisingetokea la Lissu.

Tunaoijua dunia na siasa yake, tunawaeleza kwamba hasara ya wahalifu kwa afanyacho Lissu ni kubwa kuliko kumfunga Mbowe na Matiko, Kuliko mswada wa vyama vya Siasa, Kuliko Membe kugombea urais na kuliko kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa, Lissu yupo kwenye laiti traki, anapiga utosini tu na msumari wa nchi sita. Hana cha kupoteza, ati ubunge?? Miezi 18 tu imesalia akachukue fomu, nini kigumu au cha maana mtakachomkwamisha yeye? Anaweza kuzungumza jukwaa lolote duniani bila nembo ya ubunge bali kama manusura wa risasi 38 au Mwanasheria wa Chadema. Anayewashauri anawadhalilisha na kuwachora zaidi...

Hana hasara yoyote, nanyi waharifu hamna faida yoyote kwake, Faida kubwa anayopata Lissu ni kuimarisha upinzani mara mia, na kuongeza mgawanyiko wa ccm mara mia.

Lissu ni silaha muhimu ya upinzani kwa sasa kupambana na hali ya mambo nchini, Songa mbele Lissu umma uliokutibu na unaokuombea siku zote uko nyuma yako, sisi huku home tumewekwa mtu kati, hatupanui hata pua tu sero kumekuwa sebule zetu, segerea kumekuwa kijiweni kwetu, kisutu ndio usiseme kumekuwa kama taarifa ya habari kila siku tuko huko, Sasa hivi kuna mtindo tunaambiwa kama tunabisha tujifanye tunajikuna...

Zingatia kesho jumatatu, 21 Januari 2019 TUNDU LISSU atakuwa BBC katika kipindi maarufu duniani cha HARDTalk, dunia itasinamama kwa dakika 30 mwanamume akizungumza kushambuliwa kwake na hali ya mambo ilivyo Tanzania

Heri ya kuzaliwa kamanda Tundu Lissu.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1000742
LISSU THE GREAT, when he speaks ccm wote wanahara kwa suruali zao, wangoje hapo 2020, mungu mpe lissu maisha marefu, HAPPY BIRTHDAY HON LISSU
 
Nakubaliana na kila ulichokisema na ningependa sana iwe hivyo lakini historia inatuambia vingenevyo.

Sipendi kukatisha tamaa lakini ndiyo ukwrli wenyewe atazunguka ktk kila chombo cha habari ulaya marekani hata China ila naogopa kusema hakuna cha màana upinzani utakipata.

Miezi kadhaa iliyopita Bob wine ametufundisha kwamba kwa Afrika hata kama tunanyanyaswa namna gani kama hakuna maslahi yao wakubwa yaani Ulaya na Marekani tutamsifu Tundu Lissu na kumpatia sifa zote na vyeo vyote vya kijeshi lakini hakuna lolote litakalotokea.

Watu wstasema Zimbabwe mbona Morgan aliweza unasahau yale mashba Mugabe aliyoyanyang'anya yaliumiza sana uchumi wa UK. Halafu aliwabalasa wslikua waingereza siyo wazimbabwe.

Mugabe aliwaua Wamatebele kule matebele land akawahamosha kusudi wazungu wachimbe Diamond watu wa haki za binadamu wslipiga kelele Mugabe akaukwaa u Sir. Sasa sielewi kabisa kijana msomi kama wewe Yericko bado hujafanya research tu kuwa jamaa hawaingilii mambo mpaka kwa interest zao.

NAOMBA NIWE WRONG MAANA NINGEPENDA SANA MABADILIKO YATOKEE KICHWA KINAPENDA LAKINI ROHO INANIAMBIA NAOTA NDOTO YA MCHANA

Hii ni USA Cable angalia Mawasiliano yao

Zimbabwe is important to us primarily because of major British and western economic and strategic interests in southern Africa, and Zimbabwe’s pivotal position there. Other important interests are investment (£800 million) and trade (£120 million exports in 1982), Lancaster House prestige, and the need to avoid a mass white exodus. Zimbabwe offers scope to influence the outcome of the agonising South Africa problem; and is a bulwark against Soviet inroads… Zimbabwe’s scale facilitates effective external influence on the outcome of the Zimbabwe experiment, despite occasional Zimbabwean perversity.

Chini ni moja ya makaburi ya halaiki. Inakadoriwa watu zaidi ya 10000 walikufa kwenye hii operation ya Mugabe mwaka 1983-84.


Lakini mambo hayakuwa hivi mwaka 2000 mpaka 2001 Mugabe alipoyaingilia mashàmba ya wazungu. TUENDELEE KUJIFARIJI LABDA YESU KARIBU ANAKUJA KUTUOKOA LAKINI BINAFSI NAMTAKIA SAFARI NJEMA NA TUNAMUHITAJI SANA HAPA NYUMBANI ILA HUO URAIS NADHANI YEYE MWENYEWE MOYONI MWAKE ANAJUA NI SINEMA TU WATU WA UKAWA WANATAKA KUMNYANG'ANYA JIMBO LAKE KIMTINDO KWA KUMUWEKA AWE MGOMBEA KAMA KWELI WATAMUOMBA. USHAURI WANGU LISSU BUNGE LIMEPWAYA LIMEBAKI NA MSANII MPIGA ZUMARI ANAYETAKA KUCHUKUA NAFASI YAKO WAKATI HANA UWEZO ZITTO KABWE.
Jamaa anapoteza muda wake bure. Na hao wanaomvimbisha bichwa hawatamsaidia hata kununua mkate siku akiachwa solemba na hao wazungu wake wa "miga". Amuulize Fayulu na Kashoggi ndio ataelewa vizuri.
 
Mmoja ya wakufunzi wangu Mis Pam Overend juzi alinifunza mada ngumu sana katika uwanja wa mapambano (Module: Psychology GCSE). Alisema uwanja wa mapambano haumilikiwi na mtu mmoja au kikundu kimoja, inapofika uwanja umezingirwa na adui, pigana vita ukitokea nje, akakazia kuwa nje utaungwa mkono na wabia wa umiliki wa uwanja wa vita, hawa wana kura ya turufu kumshinda adui...

Nataka kusema kwamba, upinzani Tanzania uko katika vita takatifu na utawala huu, kwa miezi zaidi ya 36 sasa, sisi wapinzani tumwekwa katika tanuru la moto wa makaa ya mawe tunapambana usiku na mchana na huyu ndugu yetu wa damu kabisa aliyeamua kutubatiza kwa moto na aliahidi kutufuta Tanzania akiamini sisi ni kikwazo kwake kupeleka maji Nkasi, Nyakanazi na maeneo mengine, kwaujumla anaamini upinzani ni kikwako cha maendeleo ya nchi, hakika ahadi yake si ya maneno ni ya vitendo hasaa, mahabusu zimejaa wakosoaji dhidi ya utawala, mahakama zimejaa kesi za uchochezi..

Amefunga kila mwanya wa sisi kupambana nae kwa hoja, amefunga mikutano ya hadhara, amefunga uhuru wa kutoa maoni, amefunga vyombo vya habari visitumulike bali vimmulike yeye tu, amefunga mitandao isimkosoe, na sasa anakwenda kufunga kabisa uweko wa vyama vya siasa kwakuweka sheria ya jehanamu rasmi.

Awali nguvu ya wanaharakati ilipata ahueni baada ya gurudumu la nje kuendeshwa na Bi Mange Kimambi, huyu bahati mbaya yeye si mwanasiasa, akachoka kuwasemea waswahili. Tulifikiri tufuate nyayo za wazee wetu wapigania uhuru akina Nyerere, Nkurumah, Machel, Neto, Mandela nk, Tukaona sasa tutafute nguvu ya kidunia tukiungwa mkono na mataifa huenda ahueni itakuwepo kupunguza kibano hiki, maana kila siku mahabusu au mahakamani, Mataifa wanawasikiliza pale mtakapoeleza masahibu yenu kwa wazi, hata kama wao wanajua kinachoendelea, lakini hawakemeagi au kuchukua hatua kama hamtapaza sauti kutoa kelele za vilio vyenu...

Bahati mbaya viongozi wetu wako jela mwezi wa tatu huu, Mungu si Magufuli wala si Makonda, Kiongozi wetu aliyechakazwa risasi zaidi ya 38 mchana kweupe Tundu Lissu huyooo kasimama na katulia katika uwanja sahihi wa kimataifa wa kuieleza dunia masahibu yaliyomkuta na hali ya mambo nchini,

Ni lazima aeleze, hana sababu ya kunyamaza, kungekuwa na kesi mahakamani dhidi ya washukiwa wa kushambuliwa kwake hakika angenyamaza kutoingilia mahakama, Sasa hakuna aliyekamatwa wala kuhojiwa mwaka wa pili unaenda tangu ashambuliwe, Serikali yenye wajibu huo ilidhani ni upepo utapita, Sasa ni wakati wa kuadhibiwa, amini nakuambia kitakachotokea watajilaumu mara mia heri lisingetokea la Lissu.

Tunaoijua dunia na siasa yake, tunawaeleza kwamba hasara ya wahalifu kwa afanyacho Lissu ni kubwa kuliko kumfunga Mbowe na Matiko, Kuliko mswada wa vyama vya Siasa, Kuliko Membe kugombea urais na kuliko kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa, Lissu yupo kwenye laiti traki, anapiga utosini tu na msumari wa nchi sita. Hana cha kupoteza, ati ubunge?? Miezi 18 tu imesalia akachukue fomu, nini kigumu au cha maana mtakachomkwamisha yeye? Anaweza kuzungumza jukwaa lolote duniani bila nembo ya ubunge bali kama manusura wa risasi 38 au Mwanasheria wa Chadema. Anayewashauri anawadhalilisha na kuwachora zaidi...

Hana hasara yoyote, nanyi waharifu hamna faida yoyote kwake, Faida kubwa anayopata Lissu ni kuimarisha upinzani mara mia, na kuongeza mgawanyiko wa ccm mara mia.

Lissu ni silaha muhimu ya upinzani kwa sasa kupambana na hali ya mambo nchini, Songa mbele Lissu umma uliokutibu na unaokuombea siku zote uko nyuma yako, sisi huku home tumewekwa mtu kati, hatupanui hata pua tu sero kumekuwa sebule zetu, segerea kumekuwa kijiweni kwetu, kisutu ndio usiseme kumekuwa kama taarifa ya habari kila siku tuko huko, Sasa hivi kuna mtindo tunaambiwa kama tunabisha tujifanye tunajikuna...

Zingatia kesho jumatatu, 21 Januari 2019 TUNDU LISSU atakuwa BBC katika kipindi maarufu duniani cha HARDTalk, dunia itasinamama kwa dakika 30 mwanamume akizungumza kushambuliwa kwake na hali ya mambo ilivyo Tanzania

Heri ya kuzaliwa kamanda Tundu Lissu.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1000742
Word.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru kwa kunielewa mkuu maana nikiandikaga hivi wengi wanadhani sipendi mabadiliko ama mimi ccm. Mimi siyo ccm wala chadema mimi ni free thinker ambaye sipendi siasa zinazoendelea hapa nyumbani pande zote mbili. Lissu na bashe peke yao angalau wsnatupatia matumaini. Ila tatizo hata wao wanikwaza ni kwamba kuna vitu wanakemea lakini wapo partisan zaidi kuliko maslahi ya nchi. Naweza sema Bashe ndiye mwiba zaidi ya Lissu maana anakichana chama chake sijawahi msikia Lissu akikikosoa chama chake. Na Bashe anakosoa ikifika mikutano ya kampeni anaharibu hapo ndiyo matatizo na wanasiasa wa kibongo ni vinyonga na wanafiki.

Usimuanini mwanasiasa mkuu, kuna siku anaweza kukuvua nguo hadharani ukabaki kuchutama tu.
 
Lazima aieleze dunia juu ya unyama na udhalimu aliofanyiwa na hawa watesi wake....wamekalia roho mbaya na ubaguzi wa hali ya juu dhidi ya watu wenye mawazo mbadala katika nchi hii...
 
Jamaa anapoteza muda wake bure. Na hao wanaomvimbisha bichwa hawatamsaidia hata kununua mkate siku akiachwa solemba na hao wazungu wake wa "miga". Amuulize Fayulu na Kashoggi ndio ataelewa vizuri.
Mama yako alipoachwa alisaidiwa na wanaume wengine au? Ada Si huyo Baba alikulipia, ulidhani alikulipia bure

Certified idiot
 
Nadhani Lissu angekuwa mtulivu kufanya mission zake kimya kimya tu,njia anayotumia atafail kwa Siasa za tz
 
Yaani unajionaga mjuvi wa mambo kumbe unafake tu, kwa hiyo hao mabeberu ndo wamiliki wa nchi yetu sio? Wapinzani mmechanganyikiwa asee, huku mtaani hakuna mwenye habari zozote za Tundu Lisu, habari ya mujini ni kuwa JPM ajenga nchi. Tuache kusomeshewa watoto na kujengewa miundo mbinu tufuate eti BBC kitu gani!!?
Yericko tafuta namna nzuri ya kusaidia chama chenu sio style hii ya kusifia ujin.a
 
Mnawaona malaika wakati hao ndo wabaya zaidi, wameua mno, wametesa mno, wamepora mno, wamedanganya mno, kila ubaya wamo, na silaha zilizotumika kwa Lisu wanatengeneza wao!!!
 
Mkuu nimekuelewa sana tu , umeongea fact sitaki kupingana na wewe lakini tumuache Tundu Lisu apaze sauti huko aliko na wala asirudi kama ubunge wachukue tu lakini Dunia lazima ijue kwa kumsikia yeye mwenyewe kilichomtokea na alichotendewa na serikali ya awamu ya tano.
Eti ubunge wachukue kana kwamba aliuokota tu, hapa umemsikia hata mwenyewe anautaka sana bado.
 
Back
Top Bottom