wewe ndio mpumbavu haswaa,unamshambulia Lissu kama nani?mbona wewe ni shoga tunakujua mtaani hapa kwa nini usiende ukashtaki umoja wa mataifa ili wakulinde utangaze ushoga wako hadharani?mbona unapumuliwa kisogoni kwa kificho?
Kumbe ni chakula
 
Hiv anahangaika nini kwani, anatafuta nini, kuna kitu gani amewah yeye kukifanya hapa Tanzania, hata huko Singida anapotoka amefanya nini......kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kutoa chochote tu kilichopo kinywan nayo ni shida.....Lissu utakaa kuongea sana coz hata Tanzania sasa unaiogopa.....mbona wenzio wapo kimya na siasa zinaenda na maisha pia.....WEWE NI NANI HASA HAPA TANZANIA MPAKA UONGEE SANA....hata kama mm pia ningekuwa namba moja Siwez kukuacha mbona......huko penyewe unaposemea wanauelewa mchezo vizur sana...na ndo wababe wa hyo michezo...wanakuona kama mwendawazimu......unaendelea kujichimbia shimo Tanzania.....rudi tu sisi macho yetu....lisu lisu ......utakufa siku sio zako endelea...
hata wewe utakufa siku siyo zako,wacha azurure kinakuuma nini wati hata pesa ya matibabu mlimnyima ili afe
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu angalia na upande wa pili itakuwa je siku ukweli wa anayoyasema Lisu yatakapothibitika yana ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dereva aliwarekodi...clips zipo ndio maana wanamtaka sana..ila masikini ya Mungu..wameshakabidhi hizo footage EU..mbumbumbu alikuwa kiti cha mbele anatoa maelekezo..kavaa kofia na miwani..
Alafu Lissu unawachelewesha weka hizo clips mitandaoni uchaguzi wa serikali za mitaa unakuja..
Duuuhh, hii kama ni kweli, basi wanaopinga watatafuta kwa kujificha. Naona kama ina kaharufu ka ukweli hivi..... Ngoja tusubiri, muda utaongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Sasa sina shaka kuwa Lissu anahitaji tiba ya akili. Kwani hapa nchini nani asiyemwongelea Rais Magufuli, kwa mabaya na mazuri, pasipo na wasiwasi wowote?

Hata aliongea nao nadhani wanamwona kama mtu aliyechanganyikiwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom