3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Sasa kwani kuwa kiongozi wa nchi ndio kuwa na busara? ?.. mbona hana?.. Lissu umrank na Chizi huyo kwa lipi au PHD-korosho.Another useless contribution. Wakati anauliza hayo, nasi tunajiuliza kama kichwa chake kiko sawa. Kelele tangu mitaani hadi Hospitali!! Huyo mke ana taabu. Rais Kikwete alidhihakiwa hakosi misibani. Na kweli alikwenda hadi misiba ya akina Kanumba na ubani wa mamilioni. Sasa tena kuna kiumbe anataka Rais aende misibani. Ni jukumu la rais au ni gesture ndo inayotakiwa?
Hivi Mwanahabari Huru, nawe unaamini Tundu Lissu ni kisima cha busara? Sielewi kwa nini kila wakati unaleta maelezo ya Tundu Lissu utadhani ni bonge la mtu reasonable. Nawe unamuona ni mtu wa kufanyia reference? Au ni mmoja wa wale vichaa wanaotumwa kutukana watu? Pole pole kishakuwa zilipendwa.