Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,716
Yaani wewe unaona hilo sio tatizo ?, tufike mahala tuukubali ukweli, mtoa mada amenikumbusha mengi yalitukia nyuma dhidi ya rais wenu huyu, hakika ni mtata, au anahusika nini na haya majanga ?, iweje ashindwe kuhudhulia ?Mbona kumpangia Rais wangu cha kufanya. Kwenye misiba sio wote wanaofika.
Yeye ana red personality/behaviour mumchukulie, nyie wenye yellow na green behaviour nendeni msibani.