Wewe umeulizwa swali halo swali kwamba Rais amefanya hayo yanayolalamikiwa akiwa kwenye election, NOMINATION au kwenye Campaign period.Hakuna mahali nimesema tupo kwenye Campaign period??
Una matatizo gani??
Mimi ndiyo nimekujibu kwa mujibu wa sheria ya Gharama za Uchaguzi alikuwa kwenye 'Campaign period' hilo ndiyo Jibu la swali ulilouliza.