Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

..baada ya yale madai ya usd 191 billion acacia walifungua kesi dhidi ya serikali.

..kesi hiyo iliondolewa mahakamani baada ya serikali kusalimu amri kwa kukubali kishika uchumba cha usd 300 million, na barrick kukubali kuwanunua minority share holders.
Yeye alisema acacia walikuwa sahihi kufanya wanachokifanya na tulikuwa tunatafuta matatizo kuwazuia kusafirisha makinikia. sasa ikawaje acacia wakakubali kutoa hizo usd 300m?
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

My take: Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.
Nimependa conclusion ya logic ya juu
 
Hizo ngonjera zako haziwezi kulinusuru taifa lisipigwe faini kisa umelialia hapa jf, badilikeni muheshimu mikataba ya kimataifa

Utakuwa mjinga kuteswa eti ukiogopa kushitakiwa, ni bora ushitakiwe uwe huru kuliko kuheshim mikataba ya kinyonyaji. Kumbuka kama una akiri timamu, huyohuyo Lisu aliwahi kusema huko nyuma.

Kama watapata uraisi wa nchi hii watavunja mikataba yote ya madini kwa kuwa ni ya kinyonyaji. Kwa hiyo unadhani wangevunja kwa kutumia makalio?

Tumieni akiri na mropokaji wenu huyo anaye waona kama nyumbu msio jitambua kwenye mto wenye mamba. Na ataendelea kuwatumia kama toilet paper tu.
 
Savimbi mbona ana personal attack to kwa mh Rais kila jambo ni attack hasemi ajajiongezaje ili iwe tofauti na kule unyanyembe alikotelekeza.
 
Ile ya case ya Toronto ilikuwa dismissed kuwa haina grounds; ndiyo maana haikuchukua muda mrefu kama ile ya Geuteng

Nimeangalia tena ile kesi ya Canada. Ilitolewa taarifa tuu kuwa imeachiwa bila maelezo ya kuwa imeachiwa vipi. Ingekuwa kesi ilikuwa dismissed tungeambiwa tena kwa sauti kubwa. Inaelekea palikuwa na settlement ikiambatana na makubaliano ya pande zote kutozungumzia suala hilo in public.

Amandla....
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa..
Kila anachosema Mh. Tundu Lissu ni ukweli mtupu ndo maana wahusika Serikalini ikiwa ni pamoja na Msemaji Mkuu wala Chamani ikiwa pamoja Katibu Mkuu hakuna anatepinga au kukanusha.

Kuna mengi alisema kabla hata hajawa Mbunge na akiwa Mbunge yalitokea kweli akiwa Bungeni au hospitali kitandani. Lisemwalo lipo kama halipo laja ila wasemalo na wao!
 
Hizo ngonjera zako haziwezi kulinusuru taifa lisipigwe faini kisa umelialia hapa jf, badilikeni muheshimu mikataba ya kimataifa

Utakuwa mjinga kuteswa eti ukiogopa kushitakiwa, ni bora ushitakiwe uwe huru kuliko kuheshim mikataba ya kinyonyaji.
Kumbuka kama una akiri timamu, huyohuyo Lisu aliwahi kusema huko nyuma,
Kama watapata uraisi wa nchi hii watavunja mikataba yote ya madini kwa kuwa ni ya kinyonyaji.
Kwa hiyo unadhani wangevunja kwa kutumia makalio?
Tumieni akiri na mropokaji wenu huyo anaye waona kama nyumbu msio jitambua kwenye mto wenye mamba.
Na ataendelea kuwatumia kama toilet paper tu.
Tumeburuzwa kwa pilato
Sina uhakika na vijana wa chadema kama wanatumia akiri au wenye elimu wanaitumia kwa maslahi ya nchi au hata uelewa kwa ujumla.
Pengine ni upumbavu na urofa au ni mahaba uasio na akiri.

Kwenye ishu nya madini nimemsikia Tundu akisema et raisi alisema walisema tutasitakiwa mbona hatujashitakiwa, baada ya hapo kuna watu alishabikia sana.

Siwezi kujuwa kama hao wote hawakuisikia kauli ya magufuri siku anapitishwa na chama chake kuwa mgombea. Tundu amekuwa anafanya tafasili ya maneno ya Raisi na kuyageuza anavyoona yanampa kiki. Raisi alisema hivi nanukuu.

Kwenye swara la madini. Wapo watu walisema hadhalani kuwa tutashitakiwa, tutanyooshwa, Nilisimama pamoja na wana Ccm wenzangu, nikasema ni bora kufa lakini umeifia nchi yako.

Mwisho wa kunukuu.
Sasa wewe na tundu lisu leteni sehemu aliyosema Magufuli kuwa walisema tutshitakiwa mbina hatujashitakiwa?

Hapo mdo mtajuwa wale mnaomshabikia tundu kawafanya mapunda na manyumbu msio jitambuwa pamoja na vielimu vyenu kisha mnashangilia.

Nani muongo kama sio.yeye?
 
TL binafsi nilisikitika sana alipojeruhiwa. Ila sikubaliani Naye kabisa kwa jinsi anavyopenda kuona Tanzania inanyanyasika na kupata shida na mataifa ya nje. Yeye ananufaika na nini?
Aliwashauri serikali jinsi ya kuepukana na hizo kesi wao wakamwita msaliti, sidhani kama huko ndiyo kupenda nchi yako inyanyasike. Sasa kama haitoshi serikali inaleta sheria za ajabu na kulazimisha hata yale ambayo ni kinyume na katiba na hapo ndipo msaada wa nje husaidia kwani ni hao hao mabeberu ambao serikali huwasikiliza na sio wananchi wao wenyewe.

Kama serikali haisikii kusemwa au kushtakiwa nje ni haki. Serikali ikijirekebisha yeye na wananchi wenzake pamoja na wewe ndio wanufaika.
 
Lisu yeye ndie mfukua hizo kesi na kuzipeleka huko mahakamani kupitia proxies msaliti huyo anafikiri hatujui?
 
Kwa hiyo wapiga kura watampa kura lissu kwa kusema tumeshitakiwa?
Inaonekana wewe huwajui wapiga kura vizuri, watu wanavote kwasababu za kijinga tu itakuwa hii?? Mimi shahidi 2015 watu kweny foleni haswa wanawake walikuwa wanaangalia alama ya vidole 2 tu na wala sio mgombea.
 
UJUMBE WA NAPE NNAUYE; _ Kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwi fikiri mara mbili! Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuata inaweza kuwa majanga
 
Lisu yeye ndie mfukua hizo kesi na kuzipeleka huko mahakamani kupitia proxies msaliti huyo anafikiri hatujui?
😂😂😂😂 anawatesa sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20200812-104919.png
    Screenshot_20200812-104919.png
    101.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom