Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe ni mpumbavu!!Profess kabudi katengeneza ajira kwa watanzania nje wakati Yeye Tundu Lisu anazurura na bakuli kuwaomba walioajiriwa wamchangie pesa ya kula,pango,nguo na ada za kusomesha watoto!!! Anayeaibisha hapo? Ni Nani Ni Lisu.Tabia ya kuomba omba sio ya wanyaturu.Lisu ndie omba omba wa kwanza mnyaturu Mimi kumwona toka nizaliwe.Sijawahi kutana na omba omba wa kinyaturu zaidi ya Tundu Lisu
Umewaza mbali na sahihi kabisa. Bravo!Kuna Professor aliongoza uchunguzi wa makinikia na masuala ya madini akaja na report ya tume aliyoiongoza. Tundu Lissu alipoisoma hakukaa kimya, ali comment kwa kuiita Professorior Rubbish.
Wote tunatambua na kukubaliana kuwa Rubbish kwake ni jalalani. Inakuwaje hivi sasa watu wanatumia nguvu nyingi kumuandama Prof. Kabudi kwa kukiri kwake kuwa ameokotwa kutoka Jalalani? Ina maana mara hii wamesha sahau kuwa wakati fulani waliwahi kumshangilia Tundu Lissu?
Kwa wale wanaomtetea Prif. Kabydi hivi sasa ina maana na wao mara hii wamesahau kuwa wakati fulani waliwahi kumshambulia Tundu Lissu kwa kuthubutu kumsema Professor kuwa alichokifanya kilikuwa ni ProfessoriorbRubbish?
Hebu makundi haya mawili yakae chini na kushikana mikono, kwani hadi hivi sasa mshindi ni Tundu Lissu, ninyi mashabiki hakuna mshindi kati yenu, mmetoshana nguvu.
Nafikiri unapaswa kuelewa hili.Kuna Professor aliongoza uchunguzi wa makinikia na masuala ya madini akaja na report ya tume aliyoiongoza. Tundu Lissu alipoisoma hakukaa kimya, ali comment kwa kuiita Professorior Rubbish.
Wote tunatambua na kukubaliana kuwa Rubbish kwake ni jalalani. Inakuwaje hivi sasa watu wanatumia nguvu nyingi kumuandama Prof. Kabudi kwa kukiri kwake kuwa ameokotwa kutoka Jalalani? Ina maana mara hii wamesha sahau kuwa wakati fulani waliwahi kumshangilia Tundu Lissu?
Kwa wale wanaomtetea Prif. Kabydi hivi sasa ina maana na wao mara hii wamesahau kuwa wakati fulani waliwahi kumshambulia Tundu Lissu kwa kuthubutu kumsema Professor kuwa alichokifanya kilikuwa ni ProfessoriorbRubbish?
Hebu makundi haya mawili yakae chini na kushikana mikono, kwani hadi hivi sasa mshindi ni Tundu Lissu, ninyi mashabiki hakuna mshindi kati yenu, mmetoshana nguvu.
akijibu nistueSawa mkuu ila tunaomba kujua ni jalala gani hilo alilotolewa Mh.Palamagamba Kabudi?
Ajira zipi mkuu, hata miezi mitatu hajamaliza wizara ya mambo ya nje,au na wewe ndiyo wale wapumbavu wa MagufuliProfess kabudi katengeneza ajira kwa watanzania nje wakati Yeye Tundu Lisu anazurura na bakuli kuwaomba walioajiriwa wamchangie pesa ya kula,pango,nguo na ada za kusomesha watoto!!! Anayeaibisha hapo? Ni Nani Ni Lisu.Tabia ya kuomba omba sio ya wanyaturu.Lisu ndie omba omba wa kwanza mnyaturu Mimi kumwona toka nizaliwe.Sijawahi kutana na omba omba wa kinyaturu zaidi ya Tundu Lisu
Maelezo haya nayakubali na ni vizuri kutoa changamoto kwa viongozi ambao wanapotoka. Lakini Kabudi sasa hivi ni mwanasiasa kama alivyo Lissu. Je, Lissu mwenyewe ni mkweli kiasi anachokitaka? Nauliza tena Lissu ni mkweli kiasi cha kumporomoshea mwenzake matusi na kumpa sifa ya kujikomba?*Inaandikwa na Mhe Tundu Lissu*
Katika kitabu chake 'Intellectuals at the Hill' (kilichapishwa miaka ya kati ya '90), Prof. Issa G. Shivji aliwahi kusema kuwa kuna tabia ya wasomi wetu kujipendekeza na kujikomba kwa watawala na kufanya mambo ya hovyo kuliko warasimu wa kawaida, hasa wanapopewa vyeo vya uteuzi na Rais.
Prof. Pala Kabudi ni mfano mzuri wa wasomi wa aina hii. Ni mtu ambaye amejipendekeza na kujikomba kwa wanasiasa walioko madarakani miaka yake yote ya kitaaluma.
Ukiachia msimamo wake akiwa kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba, ambao mimi binafsi niliushangaa sana, Prof. Kabudi hana historia yoyote ya msimamo huru katika masuala muhimu ya nchi.
Ana akili za kitaaluma nyingi sana, lakini ana tabia ya kujikomba na kujipendekeza inayotia kinyaa na kufuta sifa zote za usomi wake.
Alitumiwa sana na Serikali ya Jakaya Kikwete na ya Ben Mkapa kabla ya hapo kama consultant wa masuala mbali mbali ya kisheria. Kwa hiyo anahusika kwa kiasi fulani na uchafu wa Kikwete na Mkapa ambao yeye na Magufuli wanajifanya kuukataa sasa.
Alikuwa mwandishi habari wa Uhuru/Mzalendo wakati wa Vita ya Kagera na, aliwahi kutuambia akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya LEAT, alitunukiwa zawadi na Mwalimu Nyerere kwa uandishi wa makala za propaganda zilizokuwa zinahusu Vita hiyo.
Prof. Kabudi amekuwa Chuo Kikuu cha Dar, kama mwanafunzi na kama mwalimu, tangu mwaka '80 hadi alipostaafu mwaka '16. Amekaa Ujerumani na kusomea Frei Universiteit Berlin, mojawapo ya vyuo vikuu maarufu kabisa barani Ulaya na duniani, kwa miaka 9.
Amekuwa Mkuu wa Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar, na mjumbe wa Tume ya Katiba aliyeteuliwa na Rais Kikwete.
Huyu mtoto wa Mchungaji wa Kanisa la Anglican, sio mtu aliyezaliwa kwenye vumbi na kuishi kwenye ufukara. Hakutolewa jalalani kokote na Rais Magufuli. Amekuwa na bado ni sehemu ya top elite ya Tanzania.
Alichokisema mbele ya Rais Magufuli sio cha kweli hata kidogo, lakini ni ishara kamili ya hulka yake ya kujidhalili na kujikomba ili aendelee kutumikia Jimbo lake kuu la uchaguzi: tumbo lake.
Pamoja na kuwa ni Mgogo, Prof. Pala Kabudi ni Msingida mwenzetu. Bibi yake ni Mnyaturu wa kwetu. Baba na Mama yake ni wazaliwa wa Kilimatinde, na yeye mwenyewe amesomea shule ya msingi mojawapo ya Singida mjini.
Kujikomba na kujidhalili mbele ya Rais Magufuli kumechafua sifa na hadhi ya wasomi wetu kwa ujumla. Kwa sisi Wasingida wenzake, ametushushia heshima yetu sana. Tuna kila sababu na haki ya kumzodoa na kumkanya kwa upumbavu wake huu.
whatever the jargons, ....... that ss a hopeless man!Every situation is situational.
Kabudi, Mwakyembe na marehemu Dr Mvungi walikuwa waandishi wa gazeti la Uhuru kabla ya kwenda kusoma sheria.Sikufahamu kwamba Kabudi aliwahi kuwa mwandishi wa Gazeti la Uhuru .
Kabudi, Dr Mwakyembe na Dr Mvungi walikuwa waandishi wa gazeti la Uhuru kabla ya kwenda kusoma sheriaSikufahamu kwamba Kabudi aliwahi kuwa mwandishi wa Gazeti la Uhuru .
Kabla hayajashambuliwa alikuwa anamwomba nani? Au kabudi nae kashambuliwa?(compromised) tuwe wakweli ili nchi iende mbele Rais apate watu sahihi!.Profess kabudi katengeneza ajira kwa watanzania nje wakati Yeye Tundu Lisu anazurura na bakuli kuwaomba walioajiriwa wamchangie pesa ya kula,pango,nguo na ada za kusomesha watoto!!! Anayeaibisha hapo? Ni Nani Ni Lisu.Tabia ya kuomba omba sio ya wanyaturu.Lisu ndie omba omba wa kwanza mnyaturu Mimi kumwona toka nizaliwe.Sijawahi kutana na omba omba wa kinyaturu zaidi ya Tundu Lisu