Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Kabudi katengeneza ajira gani?Profess kabudi katengeneza ajira kwa watanzania nje wakati Yeye Tundu Lisu anazurura na bakuli kuwaomba walioajiriwa wamchangie pesa ya kula,pango,nguo na ada za kusomesha watoto!!! Anayeaibisha hapo? Ni Nani Ni Lisu.Tabia ya kuomba omba sio ya wanyaturu.Lisu ndie omba omba wa kwanza mnyaturu Mimi kumwona toka nizaliwe.Sijawahi kutana na omba omba wa kinyaturu zaidi ya Tundu Lisu
Huko kujikomba komba ili alinde kibarua chake?
Kabudi kawadanganya watanzania kuwa amepata wanunuzi wa korosho tani 100 leo hii kiko wapi?
Kabudi ilitakiwa awe amesha wachia ofisi za serikali kwa kitendo chake cha kuliongopea taifa.