Ni Katika kipindi cha Tuongee asubuhi, maana idhini ya pesa kutoka ilitolewa na msaidizi binafsi wa rais basi pesa za stanbic ambazo hawataki zitolewe accounta zake ni za ikulu mpaka hapo ikulu itakapokuwa tayari kutoa vbinginevyo, so far pesa za escrow zilienda ikulu na mkuu wa nchi anazijua zilikokuwa zinaenda mwanzo mwisho mengine yote ni bla bla tu
Mkuu laki si pesa huwa napendaga sana comments zako. Yaani hueleweki na unabadika kama kinyonga. . Jana ulimsifu sana JK kwa kumuita rais makini. Leo unasema JK analinda majambazi. Sasa hivi unampiga dongo mwana ccm mwenzako.
Stanbic bank wamekataa kutoa account hizo ili kuonesha wapi pesa zilikwenda
Jana nilidhani Jk ataomba radhi kwa kuidhinisha kutoa pesa za escrow. Muhongo na Maswi wanajua mchezo wote ndio maana wameachwa.
lissu hazipendi kucha zake