Wewe Umeona kaandika Duniani kwangu? Au na wewe saa sita tayari ishakuacha mkuuDuniani kwako, au wewe unasema? Maana ukita lugha ya Yai unapata,ukiwa lugha yako ya Tandale unapata.
Katika vitu vya ajabu katika nchi na UVCCM ni kuwa mjinga katika kuelewa vitu vidogo tu.Kwa watu walio karibu na yeye wamweleze kuwa aonyeshe ujasiri wa kuelezea hatima ya dereva wake na ni kwa ni i amemweka nje ya familia yake muda huo wote akitoa sababu zisizoshikika. Na nilazima aje naye akimwacha asishangae yatakayomtokea
Anadai ameipiga corona lakini WHO hawajawahi kukubaliana.Kuna yule wa Chato aliyekimbia kwao alivyoona ugonjwa wa korona.
Taifa la bavichaAtazaungumza na Taifa lipi mbona kama hakutaja Taifa atakalozungumza nalo, au saa sita imeshampita tayari
Thubutu afungwe lisu najua alichopangaKwa watu walio karibu na yeye wamweleze kuwa aonyeshe ujasiri wa kuelezea hatima ya dereva wake na ni kwa ni i amemweka nje ya familia yake muda huo wote akitoa sababu zisizoshikika. Na nilazima aje naye akimwacha asishangae yatakayomtokea
Hakuna CCTV iliyoondolewa popote. Ni hoja za kipuuzi zinazojengwa kuwapumbaza wasiojua kituKatika vitu vya ajabu katika nchi na UVCCM ni kuwa mjinga katika kuelewa vitu vidogo tu.
Hivi kama Serikali hii walikataa video ya Makonda pale clouds kwa usiku wa manane,Je wataweza kutoka zile CCTV CAMERA pale dodoma?,Au dereva wa lisuu alisepa nazo
Tujipe na muda wa kufikiria Mambo ya mission dogo tu.
Kijana Lissu ni Mwanasheria makini !! Sio kama baba wa watu wa pale clouds ambaye mmempa sumu na kumuuwa.
Mwisho namalizia na swali kwako,Kawaulize hivi kwani zile CCTV camera zipo wapi?
Jibu la kufikirika" umetumwa wewe na mabeberu"
Uhuru wa kujieleza ni haki ya kila MtanzaniaSiku hizi kila mtu anahutubia taifa aiseee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Waliompiga Risasi waliziiba. Sasa aje ahojiwe na mengineKatika vitu vya ajabu katika nchi na UVCCM ni kuwa mjinga katika kuelewa vitu vidogo tu.
Hivi kama Serikali hii walikataa video ya Makonda pale clouds kwa usiku wa manane,Je wataweza kutoka zile CCTV CAMERA pale dodoma?,Au dereva wa lisuu alisepa nazo
Tujipe na muda wa kufikiria Mambo ya mission dogo tu.
Kijana Lissu ni Mwanasheria makini !! Sio kama baba wa watu wa pale clouds ambaye mmempa sumu na kumuuwa.
Mwisho namalizia na swali kwako,Kawaulize hivi kwani zile CCTV camera zipo wapi?
Jibu la kufikirika" umetumwa wewe na mabeberu"