Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA amesema ni muhimu maamuzi yaweze kuwa ya wananchi na sio kwa Rais kama ilivyo hivi sasa
Amesema kwa sasa mbunge anapaswa kuomba kwa Rais kuhusu miradi mbalimbali na kama Rais atakataa basi hela za miradi hazitoki. Ni vyema kuweka mfumo ambao unaweza kufanya wabunge wakawa na sauti
Amesema masuala yote ya maendeleo yapo mikononi mwa Rais hali inayofanya wabunge wawe omba omba wa kumuomba Rais fedha za miradi mbalimbali
Hivyo amesisitiza kubadili katiba ili bunge liwe na mamlaka ya kuamua mambo ya fedha bila kumuhusisha Rais. Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni Serengeti
Amesema kwa sasa mbunge anapaswa kuomba kwa Rais kuhusu miradi mbalimbali na kama Rais atakataa basi hela za miradi hazitoki. Ni vyema kuweka mfumo ambao unaweza kufanya wabunge wakawa na sauti
Amesema masuala yote ya maendeleo yapo mikononi mwa Rais hali inayofanya wabunge wawe omba omba wa kumuomba Rais fedha za miradi mbalimbali
Hivyo amesisitiza kubadili katiba ili bunge liwe na mamlaka ya kuamua mambo ya fedha bila kumuhusisha Rais. Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni Serengeti