Tundu Lissu: Nina kesi 6 Mahakamani nikihusishwa na uchochezi lakini hazininyimi sifa ya kuwa Rais kwa mujibu wa Katiba

Wajumbe 89% wanaona kwa sasa Lissu sio muda muafaka yeye kuwa mgombea.
 
Mandela alihukumiwa na kutiwa hatiani kwa kosa la ugaidi na bado akawa elligibke kugombea uraisi! CCM ni zaidi ya makaburu!
 
ANGESEMA SIFA YA KUWA MGOMBEA, NA SIO RAIS NI WATANZANIA WANGAPI WATAMPIGIA KURA LISSU AWE RAISI? CCM IMETOA MAJINA 264 YA WAGOMBEA UBUNGE JE CHADEMA WAMETOA MANGAPI? TARAJIA KUONA WABUNGE ZAIDI YA 200 WAKIWA CCM
 
Back
Top Bottom