johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,763
- 141,628
Tundu Lissu mwenyewe amefafanua juu ya kesi zinazomkabili pale Mahakama ya Kisutu na kwamba kesi hizo hazimuondolei sifa ya kupigiwa kura na kuwa Rais wa JMT.
Amebainisha kuwa hilo liko wazi kabisa katika katiba ya nchi yetu.
Maendeleo hayana vyama!
Amebainisha kuwa hilo liko wazi kabisa katika katiba ya nchi yetu.
Maendeleo hayana vyama!