Ofcourse yes, ila God husimama na wenye haki. Like baba Jesca. I believe in free and fair election as da principal of Greek democracy.Hiyo mipango yenu hamtokaa mfanikiwe kamwe, tutasimama imara na taifa letu na viongozi wetu wazalendo, Na hakitoka magufuli tunaingiza chuma kingine mwendo ni huu huu kuiletea nchi maendeleo na kulinda watu wetu na hila za watu kama wewe na lisu.