Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,719
- 29,239
Saga chupa unywe ufe umpumzike Lissu . Manaake hakuna namnalisu anachosha sana hatuli hatulali kila saa lisu hivi lisu vile
Aendelee kukaa kimyamadadi kalemani ajiandae kadri sakata linavyo pamba moto hawakawii kumzimisha asiseme cctv ziliondolewa na nani?
Lissu anasababisha vitanda visilalike pale Magogoni!Huyu anaongea hadi anapitiliza..mwisho watu watamzoea kuwa ana chuki na magufuli sababu anawanyoosha..
Huwezi kumtuhumu Magu kila kitu wakati kuna taasisi zinazoshughulika.
Huyo Magu atoe oda upelekwe kijijini kwani we huna ndugu..toka lini serikali ikaingilia mtu azikwe wapi..? Kwani kuna ndege inatoka streight from belgium mpaka huko ikungi??
Ndio maana nasema huyu ataongea mwisho watu watamuona mtu aliyepaniki tu..sababu anayoongea ni mengi na mepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mbali sana mkuu.madadi kalemani ajiandae kadri sakata linavyo pamba moto hawakawii kumzimisha asiseme cctv ziliondolewa na nani?
Very trueLissu ni jasiri sana.. Waliompiga risasi walifanya makosa makubwa sana!
Kelele za mlango hazimnyimi mwenye nyumba usingizi.Lissu anasababisha vitanda visilalike pale Magogoni!
Huyu anaongea hadi anapitiliza..mwisho watu watamzoea kuwa ana chuki na magufuli sababu anawanyoosha..
Huwezi kumtuhumu Magu kila kitu wakati kuna taasisi zinazoshughulika.
Huyo Magu atoe oda upelekwe kijijini kwani we huna ndugu..toka lini serikali ikaingilia mtu azikwe wapi..? Kwani kuna ndege inatoka streight from belgium mpaka huko ikungi??
Ndio maana nasema huyu ataongea mwisho watu watamuona mtu aliyepaniki tu..sababu anayoongea ni mengi na mepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa domo hilo huyo anaweza kuuliwa hata na watoto wake.Chuki ipi sasa we dodoki wa Lumumba?acha kumtetea mhutu muuaji mkubwa huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekuambia ufuatilie ya Lisu nani kama si kiherehere chako, zwazwa mpuuzi wewe!!!lisu anachosha sana hatuli hatulali kila saa lisu hivi lisu vile