Hakuna kitu kiliwaudhi wazungu kama kuponda serikali ununuzi wa ndege za bombardier na Boeing. Mzungu unataka akose pesa? hamtaelewana milele.Upinzani pale ndipo ulipoopoteza dira Zitto akachafua hadi kusema ndege zinazoletwa ni mitumba.Yaani kampuni kubwa inayoheshimika duniani aseme inaleta mitumba!Historia yake inaonyesha huwa ni mzushi na muongo.Ndo maana hata mabeberu wamempuuza yupo yupo tu wala hawamshobokei tena kama mwanzo.
Kuna watu humu ndani Lissu anawakera kweli, hampendi kumsikia halafu na yeye kama ameshawajua vile, kila siku yuko hewani.
Waliokuwa wajuaji koko wa Nkurunzinza kama wewe wakati huu wanajuta, na nyie soon mtabaki peupe.@uinine,
Kwani kazi zote za uchunguzi Tanzania huwa zinafanywa na nani? mtu kapigwa,kaibiwa,katapeliwa nk kwa ujuaji wako koko huwa zinafanywa na nani kisheria?
Issue ni substance ya anachoonge sio tu kuongea kisa na sababu eti domo ni jumba la maneno kwa hiyo lazima aongee!!!!!Kuna watu humu ndani Lissu anawakera kweli, hampendi kumsikia halafu na yeye kama ameshawajua vile, kila siku yuko hewani.
Na bado.
Namwambia Tundu Lisu aliyekuwa akipiga vita Magufuli kununua ndege viwanda vya wazungu.Magufuli anataka kuwapa pesa wazungu akina Tundu Lisu wakawa wanapinga.Safari hii CHADEMA SAHAUNI PESA za wazungu wakati wa kampeniManeno yote haya ya hovyo unamweleza nani?
Leo wazungu wamekuwa partners wa CCM siyo mabeberu tena, kweli ukiwa CCM akili unaziacha mlangoni.Namwambia Tundu Lisu aliyekuwa akipiga vita Magufuli kununua ndege viwanda vya wazungu.Magufuli anataka kuwapa pesa wazungu akina Tundu Lisu wakawa wanapinga.Safari hii CHADEMA SAHAUNI PESA za wazungu wakati wa kampeni
Mlizuia serikali isinunue ndege wapate pesa mnataka pesa za kuwapa zitoke wapi wakati mnaponda biashara zao za kuingiza pesa?
CCM tukiomba watatupa sababu ni partners wao kwenye biashara tunawapa pesa kwa hiyo kuchota hapo kidogo watupe kazi ndogo kwao nyie wapiga vita biashara zao mtajijua mnadhani wao ndio wana uchungu sana na nyie wakati nyie hamna uchungu wa wao kukosa pesa kwa mauzo ya ndege zao mnataka ziwadodee halafu nyie mambo yenu yaende!!! mna akili nyie.Uchaguzi huu mtapata majibu ya wazungu hampati pesa
Kumsikiliza mropkaji ni kupoteza muda
Nawaona mnaendelea kuropoka tu, hamtaki kumsikiliza lakini bado mmeganda hapa!.Issue ni substance ya anachoonge sio tu kuongea kisa na sababu eti domo ni jumba la maneno kwa hiyo lazima aongee!!!!!
Hao waliokua na mwamba tuvushe ndio wa kutuambia,sio huyo mkimbizi wa kiuchumiTukumbuke Mnyika alisema wakati tukio linatokea,Mbowe hakuwa peke yake hivyo leo tunaweza kusikia kuhusu ni kina nani walikuwepo na walishuhudia nini au walitenda nini.
Wale waliosema Mbowe alikuwa amelewa, huenda wakaumbuka leo hii.
Kuna vyombo vya usalama Tanzania ?Acha kushadadia mambo usiyoyajua, huo ni umbea. Ikiwa hivyo ndivyo ilivyo kwa nini wasipeleke maelezo yao kwa vyombo husika, ili taratibu za kisheria za upelelezi ufuatwe? Halafu Huyo Lissu ni mwanasheria, anafahamu kuwa ni kosa la kisheria kuhukumu jambo pasipokuwepo na vielelezo. Hilo analifahamu, ila ni makusudi tu. Na wewe unashadadia shadadia bila kufanya tafakari! Ovyo kabisa.
Karibu 2020!