Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
Kuna jamaa muongo muongo fulani, aliendelea kutuongopea leo kwamba Tundu Lisu kesha rejea nchini kwa siri kuogopa ma sniper wa wasiojulikana, kwamba eti ni watu wachache wajuao taarifa hizo.
Binafsi zikumuamini kwasababu yeye ni muongo muongo na mzushi. Kwa hakika nafahamu hajarudi na nitakuwa miongoni mwa watakao fahamu, kwasababu nimewahi kuongea naye kwa simu akathibitisha akirejea tutafahamu tu, haitakuwa siri, tusubirie aje lakini hakutakuwa na report yoyote, maana hata ya MO haijatoka hata baada ya MO kuhojiwa na baadhi watuhumiwa kukamatwa na kushitakiwa, vivyo hivyo kwa Tundu Lisu.
Ingawa kuna hisia kwamba kutoka kwa wale uvcc kwamba Tundu Lisu alijifyatulia risasi hivyo wanataka yeye ku kamatwa na kuwekwa kizuizini kujibu hilo, kama ilivyokuwa kwa yule mtoto Abdul Nondo ni mkanganyiko wa kifikra hata sifahamu itakuwaje akiwasili.
 
Kuna jamaa muongo muongo fulani, aliendelea kutuongopea leo kwamba Tundu Lisu kesha rejea nchini kwa siri kuogopa ma sniper wa wasiojulikana, kwamba eti ni watu wachache wajuao taarifa hizo.
Binafsi zikumuamini kwasababu yeye ni muongo muongo na mzushi. Kwa hakika nafahamu hajarudi na nitakuwa miongoni mwa watakao fahamu, kwasababu nimewahi kuongea naye kwa simu akathibitisha akirejea tutafahamu tu, haitakuwa siri, tusubirie aje lakini hakutakuwa na report yoyote, maana hata ya MO haijatoka hata baada ya MO kuhojiwa na baadhi watuhumiwa kukamatwa na kushitakiwa, vivyo hivyo kwa Tundu Lisu.
Ingawa kuna hisia kwamba kutoka kwa wale uvcc kwamba Tundu Lisu alijifyatulia risasi hivyo wanataka yeye ku kamatwa na kuwekwa kizuizini kujibu hilo, kama ilivyokuwa kwa yule mtoto Abdul Nondo ni mkanganyiko wa kifikra hata sifahamu itakuwaje akiwasili.
Mkongwe hawa jamaa WA uvccm no wapu uzi sana. Inakuaje mtu ajipige risasi?
Mbona serikali ilipiga marufuku kila ya kitu yanahusiana na Lissu ikiwepo dua,

Kwanini ilikataa uchunguzi kutoka nje ili kama Lissu alijipiga risasi afunguliwe mashtaka?
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu
Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.
Tuvute subra.
Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.
P
Unangoja ripoti ya polisi hawa wa bongo au wa Qatar?
 
55 Reactions
Reply
Back
Top Bottom