Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Watu hata kwenye kupiga kura hawakwenda kwa sababu matokeo huwa hayabadiliki yanajulikana, matumaini ya mabadiliko yalitakiwa yatokee ile 2015 ila hayakutokea, sasa watu hao utawaingiza vp barabarani et ili kupinga matokeo wakati miaka yote matokeo ndio yaleyale walishajua ndio maana hawakusumbuka kwenda kupanga foleni.

Labda uwaingize watu barabarani kwenda kudai hiyo tume huru hapo ndio itakuwa jambo la maana.
 
Watu hata kwenye kupiga kura hawakwenda kwa sababu matokeo huwa hayabadiliki yanajulikana, matumaini ya mabadiliko yalitakiwa yatokee ile 2015 ila hayakutokea,sasa watu hao utawaingiza vp barabarani et ili kupinga matokeo wakati miaka yote matokeo ndio yaleyale walishajua ndio maana hawakusumbuka kwenda kupanga foleni.

Labda uwaingize watu barabarani kwenda kudai hiyo tume huru hapo ndio itakuwa jambo la maana.
Point
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Alijua atashindwa, anaticket ya kuondoka kurejea kwao.
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Twendeni tukaungane na Lissu, Mbowe, Moses na wengine wote pamoja na wake zao na watoto KWENYE MAANDANAMO, kama ikishindikana basi TUANDANAMANE humu JF, Twitter, Instagram na kwenye mibarua ya BOB! Tuko pamoja sana!
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.

Tukome kuwaongelea watu wengine. Kama vile tuna makubaliano nao. Nani wa kuandamana? Na kwanini aandamane? Katibampya yenye kujari maslahi mapana ya Tanzania, na uzalendo.

TL na wale wazungu wake anategemea atapewa nchi bure bure tu? Ili tuuzane tena? Kwani tumewasahau Carl Peters na wenzake, walivyomtenda Chief Mangungu?
 
Back
Top Bottom