Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Hapo mbona bado sana ngoja muda wa campaign aanze kuongelea mambo ya kuvunja muungano, kumwita Nyerere mtu wa ovyo na hadithi yake isiyoisha ya risasi kumi 16.

Jamaa ni narcissist he rates himself so highly wenzake wanaenda kwenye campaign kwa porojo za watawafanyia nini wananchi, yeye anakwenda na agenda ambayo anaifahamu mwenyewe.

Yaani kichwani kwake keshaanza kuchagua rangi ya pazia atazoweka Ikulu; ni swala la muda kabla ya watu kukubali huyu mtu anahitaji psychological intervention ajatulia bado kutokana na mkasa uliompata na wala hana sifa za high office.
Asante mkuu
 
Mwenzio mboe aliambiwa SIJARIBIWI akaufyata na hakupeleka watu barabarani , wewe unajiaminishaje?
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Hili ndilo tatizo kubwa la Tundu Lissu. Yeye siku zote huita kushindwa kutotendewa haki. Lissu ni lazima akubali kuwa kuna kushinda kihalali au kushinda kwa mbinu chafu. Pia kuna kushindwa na kushindwa kwa mbinu chafu. Ni vizuri mgombea kuweka yote bayana na siyo kufikiria kuwa kushindwa koote ni kwa mbinu cha au kushia koote ni kwa kutumia mbinu chafu.

Pamoja na Tundu Lissu kuwa mwanasiasa ambaye anakuwa na hoja kali lakini hpja zake huchafuliwa na lugha chafu, lugha yenye matusi machafu, lugha ya majigambo yanoyokosa "humility". Juzi nimemsikia akiongea juu ya sekondari za kata. Badala ya yeye kuangalia jinsi ya kuziimarisha na kuwezesha watoto wa vijijini kuingia sekondari na kupata elimu nzuri yeye ni kuzikashifu na kusema mtoto wake hawezi kwenda shule hizo. Anawasomesha watoto wake shule binafsi. Yeye akisomesha watoto wake binafsi ataona vipi adha ya shule za kata. Je yeye ana tofauti gani na viongozi wa sasa, wa nyuma, na wenyenavyo? Yaani yeye anatuambiya ni daraja la juu huku anatuomba wa daraja la chini tuwe naye, tumpe kura atitawale, watoto wake waliyosoma shule nzuri wapate urahisi kupitia kwake na watoto wa maskini wakulima na wapika gongo waendelee kusomea shule za kata ambazo hajasema atazifanyia nini! Shule za kata hata kama duni bado kila mwaka zinashindisha watoto watano au sita kwenda high school na hao si haba. Maana zingikuwepo hao wasingepatikana. Mwanasiasa mahiri ni yule atayeongelea namna ya kuziborosha na siyo kutumia udhaifu wa hizo shule kujinyakulia kura!
 
Na atapigika kweli. Watanzania wenzangu nawaomba msijaribu kuingia barabarani kitakachowakuta hamtasahau maisha yenu. Najua JF ni wabishi ila subirini tu
Kuna askari wangapi vs waathirika wa CCM negligence wangapi? Lazima askari wapige magoti!
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Kura hazitaibiwa, figisu na dhulma wakati wake ulishapita,watanzania wenye mawazo mbadala ninyi ni ndugu zetu, mpo kisheria, mnafanya majukumu yenu kwa mujibu wa sheria, kuwa wapinzani haimaanishi mliletwa na shetani,hapana.
Utendaji kazi wetu kwa kiasi kikubwa umekuwa ukiathiriwa na wanasiasa (Chama Dola) kutokana na mfumo wa uundwaji wa taasisi yetu, rejea Sheria ya jeshi la polisi na wasaidizi wake na pia Police General Orders(PGO).

Tunashuhudia kwa kiasi kikubwa sasa idadi ya askari, wakaguzi na maafisa wakiwa wameuchoka mfumo wa kikoloni, amini nawaambia watanzania wenzetu tupo pamoja nanyi, matatizo yenu ni ya kwetu,tupo kuwalinda na kuhakikisha usalama wenu, tutazilinda kura zenu, timizeni wajibu wenu.

Tunawapenda sana watanzania.

Afande Tanzania,
Muumini wa utawala wa Sheria.
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
....
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.

Labda nami nimkumbushe kuhusu mgombea mwenza wake kuwa aliwahi kugombea ubunge wa Jimbo la Kinondoni, je, anastahili nafasi hiyo kulingana na Katiba ya JMT, Ibara ya 47(3)?
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Kama nimesoma vizuri kichwa cha habari ni kuwa kasema "Kama nitaibiwa kura..." na sio "Kama nikishindwa..." sasa hapa sijui nani mchochezi, Lissu au mnaotafsiri maneno yake mnavyotaka nyinyi.
Sishangai kuona Lissu ana shida kesi zote.
 
Kuibiwa inategemea na kiasi, kuibiwa kura moja,mbili mpaka 100 kweli nikuibiwa,lakini kuibiwa kura zaidi ya milioni moja huko sikuibiwa ni kushindwa,mm naimani uchaguzi ukiwa haki na huru Lisu atashinwa kwa 80%,,Sasa huko kutakuwa kuibiwa?
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom