Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
huyu ndie kiongozi tunaemtaka kwa sasa
 
Ooohh kashachemka kiwango hiki, hii ndio papara tunaita. Kiongozi lazima uwe big brained. Sio low IQ hivi
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Huyo ameandaliwa na mabeberu kuleta machafuko katika nchi yetu. Atachafuka yeye kabla hajaichafia Tanzania.

Sijui hawakukiona kichwa!!
 
Ndio, awaingize kwani hata mahakama haiuruhusiwi kuchunguza matokeo ya Urais. Hiki kifungu hakijabarikiwa na wananchi zaidi ya 'wahuni' wachache.
 
Ooohh kashachemka kiwango hiki, hii ndio papara tunaita. Kiongozi lazima uwe big brained. Sio low IQ hivi
Je, una matokeo ya kipimo cha IQ yake au ni hisia zako tu? Tuambie maana ya kifungu cha katiba 'hakuna kuhoji matokeo ya Urais.'
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.

Mbona hueleweki umeandika ( akiibiwa, akishindwa) tumia neno moja alilotamka ujue watu wengi walimsikiliza
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Acha upuuzi wa kubadilisha maneno! Kasema akiibiwa kura sio akishindwa Uchaguzi!
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.

Kusema kweli kauli kama hii imetoka mapema, ila yawezekana majira, nyakati na yanayo tendeka na kutokea, yanaweza sababisha kauli kama hizi zitolewe mapema.
 
Hapo mbona bado sana ngoja muda wa campaign aanze kuongelea mambo ya kuvunja muungano, kumwita Nyerere mtu wa ovyo na hadithi yake isiyoisha ya risasi kumi 16.

Jamaa ni narcissist he rates himself so highly wenzake wanaenda kwenye campaign kwa porojo za watawafanyia nini wananchi, yeye anakwenda na agenda ambayo anaifahamu mwenyewe.

Yaani kichwani kwake keshaanza kuchagua rangi ya pazia atazoweka Ikulu; ni swala la muda kabla ya watu kukubali huyu mtu anahitaji psychological intervention ajatulia bado kutokana na mkasa uliompata na wala hana sifa za high office.
Wengi hawana uwezo wa kuyaona masuala kama ulivyouonyesha katika hicho ulichoandika.
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.

Ikithibitika ameibiwa au akihisi ameibiwa?
 
Kama walivyotaka kuchukua uhai wake watu hawakuingia barabarani unadhani waitingia kisa kura? Watanzania ni wazuri sana kupiga kelele mpo pamoja hadi pale utapowahitaji muwe pamoja.
CCM walizuia mpaka maombi sembuse maandamano? Walihakikisha hakuna wa kumlilia Lisu kwa uwazi wazi
 
Lissu atashindwa na hatofanya lolote
Chadema imesimamisha wagombea kwenye asilimia tano tu ya Citi,halafu huyu anaota kushinda uchaguzi
Usitumie utabiri wako kwa takwimu za huko nyuma kumbuka chadema watakuja kivingine ya Malawi yanaenda kutokea Tanzania
 
Magufuli wamuongezee betri ya ziada huo moyo kwa kampeni za mwaka huu anaweza akautapika mshaurini.lissu siyo wa mchezomchezo.
Alizuia mikutano ya wapinzani kwa miaka 5 akajiona mjuaji sasa madhaifu madhambi yote aliyofanya akizani hayajulikana atayasikia yote moja baada ya ingine na ndipo atawatumbua wasiri wake kipindi kampeni ikiendelea
 
Kuzuia mikutano ya siasa, kuwabambikia kesi, kuwapiga risasi, kuwapora ushindi wapinzani ni ukaburu ubeberu inashangaza CCM kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani wao ni mbuzi jike majike?
 
Wee ndata usijiamini kuwa hilo gobore ndilo solution nakuhakikisha wewe na familia yako hamtakuwa salama! Trust me! jitafakari tena!
Acha vitisho vya kipumbavu wewe. Karne hii bado tu unatumia ujinga kufikiri?
Nimeandika mawazo yangu. Hv unahisi Tl aitishe maandamano yasiyo na kibari then polisi watamuacha tu? kwakua yeye mlemavu? kawaulize wazee wa EAC, walifanywaje. Ninaongea kwa experience na sio mihemko kama wewe. Na sijaongea kishabiki ila hali halisi ilivyo na tabia ya TL ya kuropoka so inawatengenezea polisi chuki kwake kwa dharau na kebehi zake so lazima wa mind, na siku akiingia anga zao, mark my word, atajuta.
 
Mange haikuwezekana tu kwa sababu ya timing. During Election time it's much easy kuorganize ... watu wanakuwa na Euphoria. Unahitaji watu kama 50,000 tu kulianzisha .... Kama wameweza Egypt, Syria hivi kweli unafikiria Tz haiwezekani kwa ajili tu ya POPLICCM ...!!
Bado sana utanikubali na haya maneno muda ukiwadia
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Hajasema "NIKISHINDWA" amesema "NIKIIBIWA" tafsiri yake ni kwamba ikitokea ameshindwa kihalali atakubali na maisha mengine yataendelea ila ikitokea amefanyiwa figisu ndio atafanya hicho alichosema atafanya.
 
Back
Top Bottom