Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Chadema haishindwi uchaguzi wa mwaka huu ndugu. Amini maneno yangu. CCM imechokwa, inatosha kwa jinsi walivyowafanya watanzania mafukara. Inatosha kwa walivyoiharibu Tanzania
Niliwahi kuhisi kitu kama hiki kipindi fulani kabla sijajielewa na kabla sijaelewa ukweli wa mambo kwa kiasi fulani. Baada ya kujitambua na kupata ukweli kiasi fulani kwa kujishughulisha kutafuta taarifa sahihi mahali popote penye uhakika, siku hizi siwazi wala sihisi kitu kama hicho.
 
Sio Watanzania KIZAZI CHA UJAMAA NA KIJAMAA HAKIJAFA asubiri mwaka 2030 vijana wa 1994 ndio anaweza awaingize barabarani na hawa pia mama zao na baba zao Wajamaa watawakataza
 
Weka video yake mkuu.
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
 
kwa hisani ya beberu hata white house inawezekana ila kama ni mawazo yake tu barabara zitajaa vipande vya nyama
 
Tatizo lako kiswahili kwako ni mtihani, amesema akiibiwa.
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
 
Tulieni sindano ikuingie vyema kusudi upone
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
 
Anamtishia mtu ambaye moyo wake uliisha kuwa sugu !!
Yeye ajiandae tu ki ukweli atashindwa vibaya sana, na akileta fyoko atapigika kweli kweli kuanzia yeye mpaka hao wafuasi wake.
Kamuulize Bashite wako leo hii yuko wapi? Nasikia yupo mbutu ameanza kufuga bata mzinga
 
Mleta mada wewe ndo wale watu mnasikilizaga habari kwa mihemuko, Ni Wapi ulisikia TL akitamuka maneno hayo.
Nanukuu alichokisema; "Tuchague mgombea ambae atakuwa na uwezo pamoja na Utayari wa kuwaingiza wananchi barabarani pale itakapohitajika" TL.

Je Umeona kaongelea nafsi hapo au ndo unatumia makalio kuelewa.
Hapo ndiyo upeo wa huyo mleta uzi ulipo ishia, maana anaandika alicho ruhusiwa kuandika na chakubanga
 
51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom