MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 12,693
- 2,000
Nyakati zipi hizo?Huyu ndio anafaa kulingana na nyakati tulizonazo leo hii.
Nyakati zipi hizo?Huyu ndio anafaa kulingana na nyakati tulizonazo leo hii.
Tuliwaambia kuwa Watz siyo wajinga kiasi hicho sasa wamemwacha pekee yake na beberu lake Amsterdam wanahangaika.Tanzania kuna vituko!
Yaani ukizisoma comment kabla ya uchaguzi kama huwajui watanzania unaweza kudhani Tanzania itawaka moto!Tuliwaambia kuwa Watz siyo wajinga kiasi hicho sasa wamemwacha pekee yake na beberu lake Amsterdam wanahangaika.
PointWatu hata kwenye kupiga kura hawakwenda kwa sababu matokeo huwa hayabadiliki yanajulikana, matumaini ya mabadiliko yalitakiwa yatokee ile 2015 ila hayakutokea,sasa watu hao utawaingiza vp barabarani et ili kupinga matokeo wakati miaka yote matokeo ndio yaleyale walishajua ndio maana hawakusumbuka kwenda kupanga foleni.
Labda uwaingize watu barabarani kwenda kudai hiyo tume huru hapo ndio itakuwa jambo la maana.
Alijua atashindwa, anaticket ya kuondoka kurejea kwao.Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Yaani anachekesha sana!Uchaguzi umeisha na hajawaingiza barabarani it mean hajaibiwa.
Safi sana
Twendeni tukaungane na Lissu, Mbowe, Moses na wengine wote pamoja na wake zao na watoto KWENYE MAANDANAMO, kama ikishindikana basi TUANDANAMANE humu JF, Twitter, Instagram na kwenye mibarua ya BOB! Tuko pamoja sana!Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Wanaandamana JF, INSTAGRAM, TWITTER na kwingineko wakiwa wanaungwa mkono sana na mabeberu wao.Mliosema mtaingia barabarani mko wapi sasa
Sema nyie ndo hamfai na nyakati zilizopo.....mnaandamana Jf badala ya barabaraniHuyu ndio anafaa kulingana na nyakati tulizonazo leo hii.
Halafu kwa matusi na maneno machafu anaongoza!Badala waingie barababarani kama walivoahidi wanapishana tu kwenye thread za Jf
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us