goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,417
- 2,356
Kwani wewe ni mbuzi?CCM acheni kuwaita wanaume wenzenu mabeberu kwani nyinyi ni mbuzi jike?
Kwani wewe ni mbuzi?CCM acheni kuwaita wanaume wenzenu mabeberu kwani nyinyi ni mbuzi jike?
HahahahAmuulize Mange kwanza , i cant wait ................................
Napenda unavyorudisha mapigo na jinsi unavyoitetea CHADEMA.Usitumie utabiri wako kwa takwimu za huko nyuma kumbuka chadema watakuja kivingine ya Malawi yanaenda kutokea Tanzania
Wapuuzi kama wewe ndio waliotufikisha hapa kuwa taifa la maduanzi duniani. Kujazana hofu. Unayemsema tayari ana uzoefu wa risasi 16 mwilini. sihitaji kupewa uzoefu na jitu oga linatoka kuturudisha karne ya 17 kama wewe. Wazee wale ni History nao kama wako hai wana machungu yao. Narudia tena Tundu lissu ni yeye pekee anayewafaa wapuuzi wa desturi na wasiojali haki za binadamu kama wewe na ******** wako. You can Go to hell if still you wont understand my point here!. Kwamba watu wamechoka na wengi they have nothing to loose!Acha vitisho vya kipumbavu wewe. Karne hii bado tu unatumia ujinga kufikiri?
Nimeandika mawazo yangu. Hv unahisi Tl aitishe maandamano yasiyo na kibari then polisi watamuacha tu? kwakua yeye mlemavu? kawaulize wazee wa EAC, walifanywaje. Ninaongea kwa experience na sio mihemko kama wewe. Na sijaongea kishabiki ila hali halisi ilivyo na tabia ya TL ya kuropoka so inawatengenezea polisi chuki kwake kwa dharau na kebehi zake so lazima wa mind, na siku akiingia anga zao, mark my word, atajuta.
Hiyo ndo chadema sasa!!
Kuja mbeleMm niko NYUMA YAKO!
Naamini UNANIAMINI!
Naomba sana tena kwa heshima na taadhima mmushauri Wakili Tundu Lissu ajihurumie na afuate masharti ya madaktari wake vinginevyo he will end up either going back to Belgium for more operations or in bed in Dar-es-Salaam or Singida undergoing serious illness if not lameness. Tunamsihi asjivikishe huko kwa sifa za muda mfupi. Kwani naamini mkewew na wale watoto wake wadogo bado wanamhitaji. Chonde chonde!Mnaota ndoto, muulize mbowe alivyokimbia siku ya akwilina, utafikiri mwanariadha wa kenya.
Asante mpumbavu.Wapuuzi kama wewe ndio waliotufikisha hapa kuwa taifa la maduanzi duniani. Kujazana hofu. Unayemsema tayari ana uzoefu wa risasi 16 mwilini. sihitaji kupewa uzoefu na jitu oga linatoka kuturudisha karne ya 17 kama wewe. Wazee wale ni History nao kama wako hai wana machungu yao. Narudia tena Tundu lissu ni yeye pekee anayewafaa wapuuzi wa desturi na wasiojali haki za binadamu kama wewe na ******** wako. You can Go to hell if still you wont understand my point here!. Kwamba watu wamechoka na wengi they have nothing to loose!
Yaani mnataka tuwe kama Syria??Mange haikuwezekana tu kwa sababu ya timing. During Election time it's much easy kuorganize ... watu wanakuwa na Euphoria. Unahitaji watu kama 50,000 tu kulianzisha .... Kama wameweza Egypt, Syria hivi kweli unafikiria Tz haiwezekani kwa ajili tu ya POPLICCM ...!!
DuhHuyu atakuwa mgombea wa kwanza wa upinzani kupokea kipigo kitakatifu.
Tuombe uzima Mwenyezi Mungu atuweke hai
Anafaa na ndo wakati sahihi kwa lissuDuh
Akaandamane mwenyewe , mimi ng'ooooo
Acha kumfananisha Lissu na vitu vya kijinga. Mange muuza papuchi US unamfananisha na shujaa aliyepona risasi 16???🤣🤣🤣🤣 muulize da mange.. Lissu gombea uongeze CV , urais hatuwezi kukupa agent wa mabeberu.
Ana hela ya kutulipa tuingie barabarani?