Mzee punguza chuki dhidi ya binadamu wenzako wewe, kha!! Unashupaza shingo hamjifunzi tu?!!!!...Unayosema yote ni KWELI! Haki ya kila mtu haipotei na hakuna anayemiliki dunia ILA MUNGU YEHOVA! Hivyo kila mtu anapaswa kulijua na kulifahamu hili na siyo kujitangazia haki na umuliki wa "dunia" kama watakavyo WASHINDWA!
Mijizi na Mifisadi ndio hao ccm na Marehemu akiwemo.Aisee,
Hivi kweli kuna mijitu inaongea hapa km vile ni jambo la kawaida tu.
Ni majambazi,mijizi,mila hongo na mifisadi itashangilia hiki kifo.
Ila mkae sawa atakuja mkali wenu mwingine.
Umeshakula kwanza hapo msibani au njaa ndio inaongea hapa?Japo sina effect kwako na kwa nchi hii ila tambua kuwa WEWE LISSU ni mpumbavu sana. Huna jema kwa Taifa hili na ni tishio kwa ustawi wa nchi na watu wake.
Ume beba ajenda binfasi yenye maslah ya wanaokupa hifadhi.
Kam taifa TUNAKUPUUZA
Full StopSio lazima awe rais, tunataka utawala wa wa haki na sheria.
Kama ambavyo JPM hawez kufufukaCcm itaendelea kuwa madarakani
Waiii...We ndo unaeropoka unaandika usiyoyaelewa...sas yey ni mjinga akatumbue pasipo kosa
Sio waoga.. lazima wawe makini mkuu.Lisu na Lema waoga. Heri hata mnyika
Sasa Kama Ni lazima wengine waumie na hata wafe ndo Maendeleo yapatikane Sasa hiyo huzuni mliyonayo Ni ya Nini? Au sisi tu Ndo manguruwe pori tunaostahili kufa na tukifa Ndugu zetu hawatakuwa na huzuni?!!!! Ma CCM mmetujaza chuki Hadi Basi. Mungu anatulipia Sasa subirini Moto wa Mungu.Naomba utuache najua unafuraha na sie tuna huzuni.
Angalia historia ya kila nchi hata china, haki za binadamu hayachangamani na maendeleo kijana. Lazima wengine waumie au hata wafe kama yeye ili maendeleo ya nchi yapatikane.
Maendeleo ya watu yanatokana na maendeleo ya miundombinu. Pengine wewe ni under 50 na kwa hiyo bado ujana unakusumbua. Tutache na wenzetu kama mama D tumepoteza ajabu
Mkuu hata bila wewe taifa stands stilleti kama Taifa umekuja huku niliko tukakubaliana huo upuuzi wako.mjinga mkubwa wewe
Hapa ndipo unaweza kujua aina ya Watawala tulio nayo. Na hapa ndipo unapoweza kuona jinsi CCM walivyo waongo, matapeli na Wizi wa Kura!!!PM Alijidhalilisha sana; Ni Bora Angenyamaza kimya tu; Kusema anachapa kazi wakati anaumwa sidhani kama ilikuwa jambo jema, Infact aliongea kama mtu mwenye Jazba huku akiwashambulia watu amabao walikuwa wanatoa tetesi ambazo zilikuwa na vinasaba vya ukweli; Mama Samia ndio aliongea kwa staha na heshima sana kwa kuthabarisha mambo yalivyo japo sio kwa moja kwa moja; Ila tulimuelewa
Tutulie kwa nini? kwani sisi tulianza na baba yupu humu jf kama unakumbukumbu? acha ulofaBaba hayupo asaivi mtulie tu.
Si tunaomboleza we unaleta mambo ya kijinga, utakua unasafishwa mtaro weweHakika Mzee....
Maisha ya kuishi tunatishana tishana ni utoto
Tuanze upya jamani
Adui wa taifa akarudi na kugombea urais.Adui wa taifa bado yupo na vyuma vyake ubelgij
Huyu jamaa hata wanaomchukia sababu hawana..Fursa ya Tundu Lissu kuliongoza Taifa hili inazidi kuonekana
Hata alipotuambia kuwa "mziki umegoma" tukamuamini na ikapay off
Huyu ndio Raisi wangu Lissu jemadari asiyeyumbishwa
Ninajua amerogwa sana sana na hao Wachunga Ng'ombe ila wamenyanyua mikono kila wakijaribu giza daideiki...mwana! mwana!
What, NINI!?Mzee punguza chuki dhidi ya binadamu wenzako wewe, kha!! Unashupaza shingo hamjifunzi tu?!!!!...
duniani tunapita tu, yote tutayaacha hapa hapa. Huyo aliyechukua ikulu kidhuluma Sasa yupo wap mzee?!!! Hata Kama ungemiliki ikulu ya marekani bado utaicha tu. Acha kushadidia dhuluma na uonevu kabla Mungu Mkuu hajakupa funzo....Mzee Mwinyi anakuambia Maisha si kitu kiviiiiile Bali "Maisha Ni Hadithi tuuu".
Adui wa taifa akarudi na kugombea urais.
Wanasiasa wajinga huko ccm wanawalisha ujinga na nyie mnajaa kama watoto.
ANAUMWA au ANACHAPA KAZI ?Kama nyie
ANAUMWA au ANACHAPA KAZI ?