johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,747
- 141,613
Nilimsoma Tundu Lissu akiwalaumu akina Halima Mdee na wenzake kwa kukubali kuapishwa kuwa wabunge ilhali Uchaguzi haukuwa huru na haki.
Nimemsoma tena Tundu Lissu akiwalaumu ACT-Wazalendo na Maalimu Seif kwa kukubali kujiunga na serikali ya Umoja wa kitaifa na kwamba wamewasaliti wananchi.
Nionavyo mimi hoja za Lissu zingekuwa za msingi kama angeziongea akiwa kwenye mapambano hapa nyumbani lakini siyo aongelee akiwa Ubelgiji.
Yeye amekimbia lakini anataka wenzake wafanye yale ambayo yeye ameshindwa kuyafanya akakimbilia ubalozini.
Tundu Lissu aache ubinafsi.
Maendeleo hayana vyama!
Nimemsoma tena Tundu Lissu akiwalaumu ACT-Wazalendo na Maalimu Seif kwa kukubali kujiunga na serikali ya Umoja wa kitaifa na kwamba wamewasaliti wananchi.
Nionavyo mimi hoja za Lissu zingekuwa za msingi kama angeziongea akiwa kwenye mapambano hapa nyumbani lakini siyo aongelee akiwa Ubelgiji.
Yeye amekimbia lakini anataka wenzake wafanye yale ambayo yeye ameshindwa kuyafanya akakimbilia ubalozini.
Tundu Lissu aache ubinafsi.
Maendeleo hayana vyama!