Kiboko pekee ta MaguTwende na lissu...
Utakuja kuliwa weweeh 😂Nampa kura yangu kwa sababu nikimuona napata faraja ya moyo akili na mwili nakua na furaha na amani
Ila za JPM ndo zipo sawa mkuu!.inawezekana TL anayoyazunguza hayana ukweli hats kidogo eti!.hii nchi ni ya wote bosi.Hamna mkuu Lissu ukimfatilia kuna bugs kichwani haziko sawa
Wewe kama Mimi du hongera sana kuna mda hadi machozi hunitoka tu nikimuona Lissu huwa nakuwa na amani .Nampa kura yangu kwa sababu nikimuona napata faraja ya moyo akili na mwili nakua na furaha na amani
Ipo wapi kanzi nzur??Hatumpi kura mtu anayekuja kuvuruga kazi nzuri iliyofanywa na JPM. Hilo msahau kabisa
Ameshajibiwa hizo pesa Magufuli si za baba yako.Wapiga kura wengi bado hawajitambui, ndio maana wanampigia magoti yesu wa lugola wakisema "baba tunaomba utuletee maendeleo" nae anawapiga mkwara, msipomchagua flani siwaletei!!" hao ndio wale misukule ya fisiem ambao kwao maendeleo ni hisani.
Duuu jamani aliye na ile clip ya Lissu akihojiwa kule Marekani au Uingereza na akatetea ushoga aishushe hapa haraka kwa ushahidi...jamaa naona mvivu wa ku browse..nimekuambia weka link akiongea kutetea ushoga ,mmesimamia kwenye hiyo propaganda ina maana nye ndo mnataka ushoga haiwezekani mtu kitu asichokipenda aishikie kidedea kama wewe ,acha kuongea ushoga na uache kama una hiyo tabia
Hata uhalifu unaweza onekana kazi nzuri kwa anayenufaika na uhalifu huo.Kazi nzuri ipi mkuu,Hakuna kazi nzuri iliyofanyika.