Tundu Lissu ni shujaa

Pamoja na yote yaliyomkuta, Tundu Lissu hakuogopa kurudi nyumbani na tena sio kurudu tu bali kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na aliporudi hakukaa kimya amezungumza ukweli wote wa mambo bila chembe ya uoga...
Ngoja uchaguzi uishe atayaeleza vizuri kama anayafahamu.
 
Pamoja na yote yaliyomkuta, Tundu Lissu hakuogopa kurudi nyumbani na tena sio kurudu tu bali kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na aliporudi hakukaa kimya amezungumza ukweli wote wa mambo bila chembe ya uoga.

Hata baada ya hila za kila aina dhidi yake na wagombea wa CDM, Lissu ameendelea kufanya kampeni zenye mvuto kuliko zote katika kila mkoa na wilaya za nchi yetu.

Tundu Lissu amewafungua watanzania macho, amewafanya wajisikie huru tena amewarudishia matumaini na kuwafanya wajiamini tena na kuthubutu kutumia uhuru wao.

Hatimaye Tundu Lissu amemaliza kampeni zake leo pamoja na kuzuiliwa na kuwekewa mizengwe kila mahali Lissu amemaliza mwendo kwa ufanisi mkubwa!

Hima hima mtanzania usifanye kosa kumchagua mtu ambaye hana maono wala huruma kwa watanzania, sote tumchague Tundu Antipas Lissu awe rais wetu 2020-2025.

Mungu mbariki Tundu Lissu, Mungu ibariki Tanzania. Nawatakia uchaguzi mwema!
umechelewa watanzania wameshaamua ni mitano tena kwa MAGUFULI, karibu kwenye sherehe ya kuapiswa rais uwanja wa jamuhuri jijini dodoma.
Sema wewe umeamua sio watanzania wameamua
 
TL ni shujaa wa kweli. Wangapi wangeweza kupiga kampeni yenye mafanikio hivi dhidi ya CCM, NEC, Mamlaka ya Anga, makampuni ya simu, TISS, TCRA, Msajili wa Vyama, vyombo vya habari, polisi, JW na wajinga wengine kama Bia Yetu, Kawe Alumni, Jane Lowassa, nk?
Pamoja na yote yaliyomkuta, Tundu Lissu hakuogopa kurudi nyumbani na tena sio kurudu tu bali kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na aliporudi hakukaa kimya amezungumza ukweli wote wa mambo bila chembe ya uoga...
 
1 / 3

Tanzania's Tundu Lissu: jailed, shot, but refusing to back down​

Tundu Lissu's activism led him into politics and he was elected as a member of parliament in 2010
Tundu Lissu has been arrested countless times and was pumped full of bullets in an assassination attempt, but instead of shying away from politics the Tanzanian lawyer decided to run for president.

At 52, Lissu walks with a slight limp after being shot 16 times in the 2017 attack he believes was politically motivated, requiring almost 20 surgeries. Nevertheless after returning from three years abroad, he has campaigned energetically to massive crowds, dancing on stages across the country as he rails against President John Magufuli's government for authoritarianism and a crackdown on the opposition and freedoms.

"I think I have handled the campaign pretty well so far but that is not to say that it's not difficult," he told AFP. "I don't feel secure but there is a job that needs to be done. That job carries significant risk within it and it has to be done." Lissu was born in 1968 in a small village called Mahambe in the central region of Singida, where he helped his family farm and took care of his father's cattle as a young boy, while attending primary school.

It was while listening to radio programmes on current affairs and reading voraciously that Lissu first got a taste for politics.
He studied law at the University of Dar es Salaam and quickly plunged into human rights and environmental law.

- 'Not afraid' -
He worked from 1999-2009 for the Lawyers Environmental Action Team (LEAT), fighting for the rights of poor, rural communities, whether against industrial shrimp farming or foreign gold mining companies. He also worked on environmental issues between 1999 and 2002 for the Washington DC-based World Resources Institute (WRI). "He is not afraid to take on anyone that is challenging the rights and the livelihoods of rural people," said Peter Veit of the WRI, who has known Lissu for almost three decades and helped set up LEAT.

"I think that's part of the reason why he is successful but it is also part of the reason why he has gotten such a reaction from the administration in Tanzania." Veit told AFP he had discouraged his friend from returning, due to fears for his safety, but is "not at all surprised" that he did. "He is just driven by what he sees as the wrongs of this current administration," he said.

- 'Ripped apart' by bullets -
Lissu's activism led him into politics and he was elected as a member of parliament in 2010, working his way up to being number two in the main opposition party Chadema. While he was arrested under the previous government in connection to his mining activism, it was after Magufuli's election that he became even more vocal, slamming the president as a dictator and denouncing a climate of fear.
In 2017 he was arrested six times, and then, in September, as he pulled up outside his house in Dodoma, gunmen sprayed his car with bullets.

"You have to be aware of the fact that... all my limbs, my legs, my waist, my arms, my stomach were basically ripped apart by 16 bullet shots and therefore to mend me, to put me back on my feet, took a long time," Lissu told AFP. He has been taken aback by the large crowds at his rallies, after a five-year ban on opposition political gatherings. "After five years of repression, I was not expecting this kind of enthusiasm and mass support from the people," he said. As the election draws nearer, so have efforts to frustrate his campaign, with police firing tear gas to disperse crowds who formed around Lissu on an unscheduled campaign stop.

The election commission suspended his campaign for seven days due to "seditious language" and his entire convoy was blocked for hours by heavily armed police as he headed to launch new offices earlier this month. Lissu said the opposition has "gone through hell during these five years". "The biggest thing has been the untold suffering.

Killings of political leaders, attacks on political leaders, abductions, disappearances, torture, illegal prosecution of opposition leaders and activists in courts of law, with trumped-up charges."

He believes his party will win, but that the election will not be a fair race, with an election commission appointed by the president.
Lissu is married to a fellow lawyer, Alicia Magabe and has two sons, who have been in high school in the US since he fled in 2017
 
Mungu ambariki Lissu.

Ila taarifa za awali nilizopata zimeniuma sanaaaa, yani uchaguzi ni maigizo,matokeo yametengenezwa tayari.

Eee Mungu wewe wajua CHADEMA yangu ipo ktk namna gani mioyoni mwa watu
 
Pamoja na yote yaliyomkuta, Tundu Lissu hakuogopa kurudi nyumbani na tena sio kurudu tu bali kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na aliporudi hakukaa kimya amezungumza ukweli wote wa mambo bila chembe ya uoga...
CCM wamezima Whatsapp wakiamini wanamkomoa Lissu kumbe wanawasumbua CCM wenzao
 
Shujaa wa nini aisee...Shujaa wa nchi hii ni Magufuli

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Shujaa wa kuwatesa watu kama sasa kazima Whatsapp ili afanye unyama wake Duniani wasijue nini kinaendelea
 
Hahaha na wanabahati walimfungia siku 7, wangemuacha angeshinda hadi nchi jirani.
 
Mungu ambariki lissu.

Ila taarifa za awali nilizopata zimeniuma sanaaaa, yani uchaguzi ni maigizo,matokeo yametengenezwa tayari.

Eee Mungu wewe wajua CHADEMA yangu ipo ktk namna gani mioyoni mwa watu
Tume ya uchaguzi isiyo huru imechukua matokeo ya 2015 na kuongezea kura zingine kidogo ndiyo watamtangazia kuwa mshindi
 
Narudia tena, hatuwezi kuuza Nchi.

Hamuwezi kutuyumbisha hata kidogo.

Nyie wazee wa mihemko.

Tunawajueni vizuri sana, kama hamkujifunza kipindi cha Edward Lowassa, hamtoweza kujifunza tena.

Mkishikwa akili kidogo mnafuata mkumbo
 
Yaani huyu mtu katukimbiza hasa kirahisi katushinda kabisa. Ni mtihani sana mechi ijayo. CCM asili tumeona tulivyotoka kapa yaani sifuri. Kama nilivyosema mara zote tutajitangaza washindi ila 2025. CCM lazma tuamke kwanza 2022 kumuondoa mapema Magufuli CCM. Hatufai na ametuangusha Sana.

Tumuandae Rais wetu ajae ambae namuona January Makamba kama pekee atakaetuvusha kwenye dhoruba ya Lissu. Wajinga kama kina Mayalla na wenzao ujinga wa kusifia hauna nafasi tena awamu hii ijayo. Baada ya uchaguzi huu tuviombe vyombo vya haki KIMATAIFA kuchuguza mauaji yaliyotokea awamu hii na uchaguzi huu. Tunahitaji watu waende the Hague akiwemo Magufuli.

Mwisho tunamaliza uchaguzi tukiwa na hatari ya uvamizi wa kigaidi wakiwa wapo tayari ndani ya Dar es Salaam. Narudia wapo ndani ya Dar es salaam. Haya tuendeleze siasa za kijinga.
 
Back
Top Bottom