johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,541
Mbunge wa Singida mashariki mh Tundu Lisu alishatangaza nia yake ya kugombea urais wa JMT endapo chama chake cha Chadema kitampa ridhaa.
Lisu ambaye kwa sasa yuko Marekani akifanya mikutano ya kisiasa na wanachadema waishio huko akina Ngabu amekuwa akiishambulia sana serikali pamoja na chama tawala. Na wakati mwingine ukimsikiliza kwa makini ni "kama" tayari ameanza kampeni za uchaguzi.
Nimkumbushe tu mh Tundu Lisu pamoja na ukweli kwamba pale Ufipa hakuna mwingine maarufu wa kugombea urais zaidi yake kwa sasa, lakini ni muhimu akaheshimu sheria juu ya muda wa kuanza kampeni na kujipitishapitisha.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Lisu ambaye kwa sasa yuko Marekani akifanya mikutano ya kisiasa na wanachadema waishio huko akina Ngabu amekuwa akiishambulia sana serikali pamoja na chama tawala. Na wakati mwingine ukimsikiliza kwa makini ni "kama" tayari ameanza kampeni za uchaguzi.
Nimkumbushe tu mh Tundu Lisu pamoja na ukweli kwamba pale Ufipa hakuna mwingine maarufu wa kugombea urais zaidi yake kwa sasa, lakini ni muhimu akaheshimu sheria juu ya muda wa kuanza kampeni na kujipitishapitisha.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!