Shetani mkubwa wewe, ulaaniwe ufe usiku huu shetani wakupokee!Ni vyema ukaendelea na makala nyingi ili usipotee kwenye medani ya siasa,john joseph pombe magufuli alternative known as jiwe anasonga mbele kwa vifaru magari na farasi tukutane 2020!
Shetani mkubwa wewe, ulaaniwe ufe usiku huu shetani wakupokee!Ni vyema ukaendelea na makala nyingi ili usipotee kwenye medani ya siasa,john joseph pombe magufuli alternative known as jiwe anasonga mbele kwa vifaru magari na farasi tukutane 2020!
Swali langu ni kwamba yessss serikali imehusika!! Kama mnavyodai je Tundu lissu si Mwanasheria??? Mbona hajaenda mahakamani hata familia yake au chama ashikwe huyo ambaye mlimuona anampiga risasi na yeye anamjua kabisa!!!
Staki kubishana sana ktk jambo hili ila nachoshauri hebu siasa zetu ziwe na mipaka na tukumbuke "There is always exceptional to the general rule "nahakika huyu bwana kinachomsumbua ni kujifanya hajui utaratibu wa kisheria sasa akiendelea na mkiendelea kulia lia humu na kwwenye majukwwaa je mtakuwa mmepata suluhisho gani???? Kwann mnakuwa na ufinyu wa akili nmna hii??? Haya endeeleeni kumtusi yule mnayemlazimisha afanye uchunguzi kama atawwsikiliza
Yani nakuakikishia Jamaa lazima afail tu.Serikali ya magufuli haioni aibu kutenda madhambi hadharani.
Makanisa mengi yameagiza misa ya kumuombea Lissu Jumapili .Mungu ni waajabu siku zote.
Leo nilipenda kanisani kutoa hela ili jumapili kuwe na misa ya kumuombea Tundu Lissu kwa ukuu wa Mungu mbele yake
Siku zote kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzake. View attachment 859943
Ni vema...Makanisa mengi yameagiza misa ya kumuombea Lissu Jumapili .
Huyo mtu akafanya ulinz utolewe, akafanya bunge lisimlipie matibabu, akafanya uchunguz usfanyike!!! Kwelii kabisa mshkajMawakili wanapigana sana risasi kwa ajili ya kesi zao za kutetea wahalifu, ... Inawezekana Lisu kuna mtu alisababisha akashindwa kesi kiuonevu akalipiza kisasi kwa kumtwanga risasi...Kuna mwanasheria mmoja Arusha wamemuua hivyo hivyo mambo ya visasi
Oh pole sana kamanda wewe ndio umepata jeraha la mauti,unabii kwa ufunuo waYohana umethibitisha kabisa andiko hilo,Inauma sana sijui Jiwe na watu wake wote waliohusika leo wanajisikiaje?Mwaka mmoja baada ya jaribio la kutaka kumuua Tundu Lissu kushindikana.
Walichofanikiwa ni kunivunja vunja viungo vya mwili wangu. Moyo wangu haujavunjika. Nafsi yangu iko vile vile. Na msimamo wangu haujatetereka.
Ernest Hemingway, Mwanafasihi wa Kimarekani na Mshindi wa Tuzo ya Fasihi ya Nobel, aliandika - katika fasihi yake ya 'The Old Man and the Sea' - kwamba 'mtu anaweza kuuawa lakini asishindwe.'
Bogus and Silly.Ati raisi mtarajiwa, dream on. Haitatokea. He is already a belgium, EU puppet.
Bogus and Silly.Kipindi hiki wasaliti hawana nafasi kabisa ya kujaza matumbo yao..ukileta ujinga tu kiuno chako mali yetu..otherwise hama nchi mpaka tutakapomaliza kuijenga nchi..kama walivyofanya kina ansbert.