Jamaniii hizi ndizo ndoto yaan mtu kachaguliwa majuzi na toka hapo hatjaskia lalamiko lolote toka kwa anaowaongoza lkn tushaanza kusema haja Fanya chochote. Hivi aliyekuwa rais b4 yy alifanya niniMkuu Paskali, hata Tundu mwenyewe anajua kuwa ni mzuri sana kwenye nafasi ya kuongea hovyo na kukosoa lakini si utekelezaji. TLS sasa imeshamshinda,hakuna linalofanyika kwa manufaa ya wanasheria.
Nawakumbuka wale wa ulipo tupo, naona kila dalili za mzee kukatwa tena!
Kumbe urais ni personality? he makubwa. Yule mzee wa msoga na personality yake ametufanyia nini cha zaidi?Hahahahaha,asimame tu,yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Kumbe urais ni personality? he makubwa. Yule mzee wa msoga na personality yake ametufanyia nini cha zaidi?
Ili uwe Rais unatakiwa uwe kivipi?Ha ha ha ha.. Lissu ni mzuri sana, ana akili sana, ni mpambanaji sana, na anaijua sheria sana.. Kwa kifupi yuko vizuri sana..
Ila kwa uraisi kwa maoni yangu hapana..
Pasikali, ungedikilea interesti nyingine.....Antipas ni Skuli meti wako..Kwa Mzee Mushi.....hivyo Tundu Lissu ambaye ni zaidi ya Magufuli, akisimama na Magufuli, you can never tell what will happen!, Magufuli naweza akaachwa mbali sana!