Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Hakika upinzani upo miyoni mwa wananchi. Muache Magufuli aminye demokrasia, afungie vyombo vya habari, lakini mbegu iliyopandwa na wataka demokrasia nchini kuanzia enzi za akina james mapalala, Komu, Mzee Fundikira, James Mbatia, Maalim seif,Mwalimu Nyerere na wote waliopambana hadi kurudisha mfumo wa vyama vingi haiwezi tena kuzimwa na matendo ya mtu mmoja anayetaka yeye kutawala kama mfalme.
Mapokezi ya Lissu huko Songwe leo ni message kali kwa rais Magufuli kuwa wananchi wanaupenda upinzani, wanauheshimu na wanataka maendeleo na uhuru, maendeleo na demokrasia.
Hebu cheki wananchi wa Songwe walivyompokea Lissu leo
Mapokezi ya Lissu huko Songwe leo ni message kali kwa rais Magufuli kuwa wananchi wanaupenda upinzani, wanauheshimu na wanataka maendeleo na uhuru, maendeleo na demokrasia.
Hebu cheki wananchi wa Songwe walivyompokea Lissu leo