TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
Jamani habari kutoka Makiungu Singida, mdogo wangu ambaye alikuwa mmoja wa mawakala wa Chadema anasema Lissu anongoza kwenye vituo vingi zaidi ya marambili ya mgombea wa CCM, Jonathan Njau.
Kweli tukibahatika kumpata Lissu itakuwa baraka kubwa jimboni kwetu
Kweli tukibahatika kumpata Lissu itakuwa baraka kubwa jimboni kwetu