Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,823
Hivi hawa chadema wamepagawa na nini. Mbona sisi jpm wananchi waliowengi tunamwelewa sana. Kipindi cha jk graduates walikuwa wanaonekna mabwege wanadharaliwa na wanasiasa kisa wana hela japo elimu zero. Leo hii jpm kapandisha hadhi ya watu na tnahshimiana kwa uwezo etu. Akina zitto lazima wapayuke mana walizoea kuiba kupitia kamati ya poac. Lini zitto ukamsikia anamsema vibaya swahiba wake wa nssf au amefichua uozo gani sgirika lolote la umma. Pale udsm tu walimhonga mihela kibao ili asiseme dili la mlimani city. Hilo nilikuwepo kwenye kikao. Jpm wanyooshe wasituchezee hawa wezi wa mali wanaotapatapa kwa kukosa sehemu ya kuipa. Wanafikili mirija yao itarudi tena. Never!!!