Karibu shujaa!Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Lissu amesema anakuja Tanzania kufanya mikutano ya hadhara na siyo kujifungia chumbani kwa maana ya kufanya mkutano ya ndani.
Utasema haina ushawishi kwa sababu ya hayo mambo ila upinzani nao watasema wana ushawishi ila hatuoni huo ushawishi, ndio maana huo ushawishi tunaupima vp?Kushinda uchaguzi bila kufanya ushenzi, ukatili na uhayawani
Nani dikteta?Aje tumung'oe huyu dikteta
Bibi akoNani dikteta?
Hili ni tope la mfinyanziHahaha, bora Magu arudi kamanda, huyu wa sasa hafai kabisa
Njia zipo nyingi sn hata ushirikina ni njia pia, mbona dikteta wa kwanza kasha lamba zege?acheni kujilisha upepo
Kwani Amsterdam yeye anasemaje?Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Lissu amesema anakuja Tanzania kufanya mikutano ya hadhara na siyo kujifungia chumbani kwa maana ya kufanya mkutano ya ndani.
Yaani imefikia hatua kazi ya siasa za upinzani kwa sasa ni kama kukata hati ya kifo, inakuwa afadhali hata wakati wa siasa za upinzani za kina Mwalimu wakati huo walipokuwa wanakutaniana pale Lumumba hawakupigwa mabomu kuvunjwa miguu. Yote haya ni woga wa CCM kutoa KATIBA MPYA.
Lissu karibu tena, hii ni nchi yako !! Hoja kuu "Katiba mpya"
Aliondokaje nchini? Ulishashuhudia raia wa nchi husika anasindikizwa na balozi wa tqifa kubwa duniani hadi Airport - evacuation.Mbona Lissu alikuja wakati Magufuli lakini hawakumfanya chochote? Kumbuka Lissu alishasema akirudi "the whole world will be watching"
Anakuja kuipumzisha tigo maana imetumika sana huko. Vipi keshahakikishiwa usalama na Miss Utalii? Maana alisema kurudi huku hadi ahakikishiwe usalama wake kwanzaMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Lissu amesema anakuja Tanzania kufanya mikutano ya hadhara na siyo kujifungia chumbani kwa maana ya kufanya mkutano ya ndani.
nyie ndio mazombiHuyu jamaa hamnazo kabisa, hivi Kuna mtanzania anamuwaza huyu kibaraka wa mabeberu? Watu wako bize kujenga uchumi na sio blah blah za siasa uchwara za chadema
Isipokuwa, Sabaya na Bashite(makamanda wa wasiojulikana)Chama cha Siasa bila kufanya Siasa kinakuwa hakijakamilika, na mtaji wa Wanasiasa ni watu.
Kila la Kheri Mhe. Tundu Lissu
Kumbuka Waliokufanyia yale uliyopitia bado wapo madarakani na wengine wamekuwa promoted kwa nafasi za Juu zaidi za kimaamuzi.
Mkuu wangu punguza ukorofi, hujui Mkuu sana Bashite yupo humu kitambo 😀😀Isipokuwa, Sabaya na Bashite(makamanda wa wasiojulikana)
mmmhMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Lissu amesema anakuja Tanzania kufanya mikutano ya hadhara na siyo kujifungia chumbani kwa maana ya kufanya mkutano ya ndani.