JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Ikitokea kuna mtu asiyemjua Dr.Magufuli, Tundu Lissu, na Zitto Kabwe.
Halafu akasikiliza HOJA na MICHANGO yao ktk hadhira na mazingira mbalimbali.
Awasikilize wakitoa hoja zao kwa Kiswahili, na hata Kiingereza.
Bila shaka msikilizaji atahitimisha kwamba Dr.Magufuli ana elimu ndogo na limited exposure kuliko Tundu Lissu na Zitto Kabwe.
Naamini suala hili ni moja ya mambo ambayo yanawasumbua sana wana LUMUMBA kiasi cha kupanga mipango miovu dhidi ya Tundu Lissu na Zitto Kabwe.
Halafu akasikiliza HOJA na MICHANGO yao ktk hadhira na mazingira mbalimbali.
Awasikilize wakitoa hoja zao kwa Kiswahili, na hata Kiingereza.
Bila shaka msikilizaji atahitimisha kwamba Dr.Magufuli ana elimu ndogo na limited exposure kuliko Tundu Lissu na Zitto Kabwe.
Naamini suala hili ni moja ya mambo ambayo yanawasumbua sana wana LUMUMBA kiasi cha kupanga mipango miovu dhidi ya Tundu Lissu na Zitto Kabwe.