Tundu Lissu na Wakuu Wapya wa Wilaya

Lissu mwanasheria,

Nae analalamika wakati anazijua sheria, kwa nini basi asiwaburuze mahakamani wahusika? au ushahidi hautoshelezi?

Mfano suala la Milion 5, hadi zinaingizwa kwenye account au kupewa cash ilitakiwa wakamatishwe na technologia iliyopo

sasa kwa nini wasirekodi mahojiano ili wafikishwe mahakamani?

Huu ndio udhaifu wa hawa wanaojiita wapinzani, kazi kulalamika tu hata kama wana uwezo wa kitaaluma.

Shame!

harufu mbaya kama ya choo cha shimo cha stesheni ya treni pale tabora.
 
Wote hawa kazi yao ni kuhakikisha CCM inashinda 2015, wengi wao hawana uwezo wa kuleta maendeleo kwa sababu hawana ujuzi wa jambo lolote, kwa mfano Rose Kirigini kuwa Mkuu wa wilaya ya Meatu ana vision gani, kama sio kutumika kama kabaraka
 
Mkuu wangu angalia fact!

Kama lissu nae analalamika, basi itakuwaje kwa watanzania wa kawaida ambao hata sheria hatuzijui?

Rais wa nchi ambaye amebeba machinery zote muda wote huwa analalamika, Iweje Lissu ambaye ni mwanasheria lakini anajua wazi kuwa mfumo wa mahakama hauko wazi na unategemea maelekezo kutoka kwenye mhimili mwingine aache kulalamika.

Kimsingi alichofanya Lissu sio kulalamika ila kuweka wazi namna mfumo ulivyooza na jinsi Mkuu wa Nchi anavyotumia madaraka yake katika kukidhi mambo yake binafsi na sio kwa masilahi ya Taifa.
 
Lissu mwanasheria,

Nae analalamika wakati anazijua sheria, kwa nini basi asiwaburuze mahakamani wahusika? au ushahidi hautoshelezi?

Mfano suala la Milion 5, hadi zinaingizwa kwenye account au kupewa cash ilitakiwa wakamatishwe na technologia iliyopo

sasa kwa nini wasirekodi mahojiano ili wafikishwe mahakamani?

Huu ndio udhaifu wa hawa wanaojiita wapinzani, kazi kulalamika tu hata kama wana uwezo wa kitaaluma.

Shame!

Jina la avatar yako haliendani kabisa na busara zako. Kumbuka tuko kwenye mchakato wa katiba. Mojawapo ya hoja kuu ya wapinzani ni kuhusu madaraka makubwa aliyonayo rais ikiwemo kuteua karibu kila mtendaji. Hivyo, kuuhoji uteuzi uliofanyika hivi karibuni kisiasa ni kujenga ushahidi kwa nini ni busara rais apunguziwe madaraka. Kumfanya rais ateue kila mtendaji mkuu serikalini ni kupunguza uwajibikaji na ufanisi. Pia nafasi hizo zinaweza kutumiwa kwa marafiki au kama shukurani badala ya kuangalia uwezo wa mtu. Tafakari, ...
 
Sioni kama huyo Katibu wa Mbunge amelipwa fadhila.Iweje mipango yake yote ya kutaka kumwangusha Lissu isizae matunda halafu tudai kalipwa fadhila! Labda mimi mwenzenu sijui maana ya fadhila!!
Ninavyojua fadhila ama shukrani hutolewa kwa mtu aliyekamilisha kazi aliyotumwa kufanya kwa mafanikio!Sasa huyu mwananchi amekamilisha kazi gani!Kilichokuwa kinamsumkuma kutenda alichokuwa anatenda ni hofu inayotokana na juhudi za Lissu kuipenyeza CHADEMA kwa kasi JIMBO la SINGIDA MJINI.Ni dhahiri alitambua kuwa ,hatma ya maisha yake imefungamana na matokeo ya uchaguzi ya UBUNGE mwaka 2015.Kuhusu Nkhambaku,hapo kweli maana halisi ya fadhila inaonekana wazi!

mijitu mingine hopeless kabisa by default yaani unajitoa ufahamu kabisa unarudia utoto
 
suala la rais kuteua wakuu wa wilaya na hasa hawa wa sasa halijaepuka kuwapa washikaji wake ulaji maana ukiangalia hata walivyopangwa hata ukimliza mwenyewe alitumia kigezo gani kuwapanga katika wilaya husika hawezi kuwa na majibu. Hata ukiangalia orodha majority ni wale walioshindwa ubunge kupitia ccm au wanaojikosha kwa rais na ccm.
 
Lissu mwanasheria,

Nae analalamika wakati anazijua sheria, kwa nini basi asiwaburuze mahakamani wahusika? au ushahidi hautoshelezi?

Mfano suala la Milion 5, hadi zinaingizwa kwenye account au kupewa cash ilitakiwa wakamatishwe na technologia iliyopo

sasa kwa nini wasirekodi mahojiano ili wafikishwe mahakamani?

Huu ndio udhaifu wa hawa wanaojiita wapinzani, kazi kulalamika tu hata kama wana uwezo wa kitaaluma.

Shame!

yaani una maana kwamba tundu aende kwenye hizi mahakama za ccm kupinga uteuzi uliofanywa na mwenyekiti wa ccm?.Mbona unataka kufanana kama una akili
 
Huyo Hasani Masala aliyeteuliwa DC Kilombero ni mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Lindi. Ni mwalimu Nachingwea yupo ofisi ya Elimu, ni rafiki mkibwa wa riziwani kikwete.
 
Safi magamba kwa kujionyesha mmechoka kiasi hicho,mnapeana vyeyo kama fadhila.Kwa maovu mliyotutendeya.MUNGU YUPO UPANDE WETU,MTATOKA TU MTAKEMSITAKE.
 
kesi ya nyani kula mahindi unampelekea ngedere awe hakimu wapi na wapi?

Najiuliza ni mahakama zipi hawa jamaa wanazungumzia sipati jibu! Mahakama iliyomwona Zombe hana hatia? Au ni kwa hakimu aliyeona taratibu za uchaguzi zilifuatwa huko segerea? Ni mahakama iliyomtia hatiani Lema kwa kifungu A na kumuhukumu kwa kifungu B, au ni kwa hakimu aliyeona mdogo wa Rostam hana kesi ya kujibu baada ya kukamatwa live na madawa ya kulevya huko segera! Ni mahakama zipi wanazozungumzia!? Kwa jaji mkuu aliyeamua kesi ya Mtikila kuhusu mgombea binafsi kuwa ni ya kisiasa kwahiyo irudishwe bungeni!?
Sijui! Labda wanazungumzia The Heague!
 
Mh. Lissu hapo uko sahihi kabisa kwani wajinga hata siku moja hawajui kama wao ni wajinga. we are watching them and there time is already ellapse. muda wa kupeana na kulindana umefikia mwishowe na JK wao.:shetani:
 
Mahakama zipi mkuu unazozirejea!
hizi za majaji kama yule wa mahanga, au lema. hakuna mahakama yenye kuheshimika hapa tz.
Mtandao ni mkubwa.
kumbukeni Salva alivyoingia Ikulu.
Wanaokwazwa na kauli ya Lissu ndo waende mahakamani
 
Lissu mwanasheria,

Nae analalamika wakati anazijua sheria, kwa nini basi asiwaburuze mahakamani wahusika? au ushahidi hautoshelezi?

Mfano suala la Milion 5, hadi zinaingizwa kwenye account au kupewa cash ilitakiwa wakamatishwe na technologia iliyopo

sasa kwa nini wasirekodi mahojiano ili wafikishwe mahakamani?

Huu ndio udhaifu wa hawa wanaojiita wapinzani, kazi kulalamika tu hata kama wana uwezo wa kitaaluma.

Shame!

Hapa unapewa inside information wewe unasema wanalalamika.
 
Kuna huyu Dc aliyeteuliwa kwenda rungwe distric naye hana lolote wala chochote.anaitwa crispian meela,aligombea ubunge kupitia ccm huku vunjo then mzee mrema wa tlp akamburuza right now naona jk karudisha fadhila.
 
Mkuu wangu angalia fact!

Kama lissu nae analalamika, basi itakuwaje kwa watanzania wa kawaida ambao hata sheria hatuzijui?

Mbona ujasema Mwenyekiti na Makada wa chama chako wanavyolalamika wakati wa serikali na platform ya kuzungumzia na kutoa majibu ya matatizo.Hata akifungua kesi kuhusu hilo unategemea nini wakati vyombo vya haki vimegeuka vya chama na vinanyonga haki kwa kwenda front.
 
Mdomo unatema!!!!!!
nenda jf doctor upate angalau maelezo ya dawa!!!!
harufu mbaya kama ya choo cha shimo cha stesheni ya treni pale tabora.
Konyagi ndiyo inaongea ama?

Ama ni chama cha majambazi at work!

Kwa staili yenu nyinyi(@jogi LiverpoolFC @Utingo) hapo juu mnapoteza hadhi ya kusaidia mabadiliko ya tija kwa wananchi. Member akileta post ambayo haikidhi matakwa yako huna budi kutumia uwezo wako kumuelimisha kwa lugha ya staha ili akuelewe vizuri. Vinginevyo wewe sasa una kuwa mbaya zaidi yake (unajidharirisha zaidi) maana yeye twaweza kufikiri labda alikuwa hajui.

Mwa weza kufuata mfano wa hawa hapa chini walivyojaribu kumuelewesha.

Siku njema

Kwenye red: Lissu ameshawaburuza mahakamani - mahakama ya wananchi! Wao watatoa hukumu ya haki kuliko kutegemea mahakama ya ccm!

kesi ya nyani kula mahindi unampelekea ngedere awe hakimu wapi na wapi?



........ Kumbuka tuko kwenye mchakato wa katiba. Mojawapo ya hoja kuu ya wapinzani ni kuhusu madaraka makubwa aliyonayo rais ikiwemo kuteua karibu kila mtendaji. Hivyo, kuuhoji uteuzi uliofanyika hivi karibuni kisiasa ni kujenga ushahidi kwa nini ni busara rais apunguziwe madaraka. Kumfanya rais ateue kila mtendaji mkuu serikalini ni kupunguza uwajibikaji na ufanisi. Pia nafasi hizo zinaweza kutumiwa kwa marafiki au kama shukurani badala ya kuangalia uwezo wa mtu. Tafakari, ...

yaani una maana kwamba tundu aende kwenye hizi mahakama za ccm kupinga uteuzi uliofanywa na mwenyekiti wa ccm?.Mbona unataka kufanana kama una akili
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Lissu mwanasheria,

Nae analalamika wakati anazijua sheria, kwa nini basi asiwaburuze mahakamani wahusika? au ushahidi hautoshelezi?

Mfano suala la Milion 5, hadi zinaingizwa kwenye account au kupewa cash ilitakiwa wakamatishwe na technologia iliyopo

sasa kwa nini wasirekodi mahojiano ili wafikishwe mahakamani?

Huu ndio udhaifu wa hawa wanaojiita wapinzani, kazi kulalamika tu hata kama wana uwezo wa kitaaluma.

Shame!

SHERIA na UHALISIA havikai pa1 hata siku moja, hilo suala lilikua linahitaji ukusanyaji wa ushahidi wakati wa tukio kitu ambacho Mh. TL asingeweza kukifanya wakati wa kesi yake. Pia mahakama zetu hazipo huru kiasi hicho.... Mahakama ya kweli siku zote ni wananchi/umma ambao upinzani hutumia kupeleka kesi zao na matokeo ya hukumu tunayashuhudia... KEEP IT UP Mh. TL, ENDELEA KUWASHTAKI KWA WANANCHI 2015 HUKUMU!!
 
Kwa staili yenu nyinyi(@jogi LiverpoolFC @Utingo) hapo juu mnapoteza hadhi ya kusaidia mabadiliko ya tija kwa wananchi. Member akileta post ambayo haikidhi matakwa yako huna budi kutumia uwezo wako kumuelimisha kwa lugha ya staha ili akuelewe vizuri. Vinginevyo wewe sasa una kuwa mbaya zaidi yake (unajidharirisha zaidi) maana yeye twaweza kufikiri labda alikuwa hajui.

Mwa weza kufuata mfano wa hawa hapa chini walivyojaribu kumuelewesha.

Siku njema

Kwanza uelewe mimi si dhalili,
pili kama ulikuwa hujui nakujuza sasa kuwa kuna wakati kumtukana mtu ni hekima na kumpiga ngumi ni busara.
Mjinga hajibiwi kijinga, na mpumbavu hachekewi.
Ni jk pekee lakini ni uchuro kucheka cheka msibani mbele ya wafiwa. Nchi inaporwa wewe unavuta makamasi badala kuyapenga!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lissu mwanasheria,

Nae analalamika wakati anazijua sheria, kwa nini basi asiwaburuze mahakamani wahusika? au ushahidi hautoshelezi?

Mfano suala la Milion 5, hadi zinaingizwa kwenye account au kupewa cash ilitakiwa wakamatishwe na technologia iliyopo

sasa kwa nini wasirekodi mahojiano ili wafikishwe mahakamani?

Huu ndio udhaifu wa hawa wanaojiita wapinzani, kazi kulalamika tu hata kama wana uwezo wa kitaaluma.

Shame!

Nonsense! Tz better to shutup your bucket!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom