Tundu atafurukuta pengine pote, kwa Naibu spika lazima ashike adabu !Spika wa Bunge azungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Mhe.Tundu Lissu na Ujumbe wake.
Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Mhe.Tundu Lissu na ujumbe wake