zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,688
Ona sasa..... Kuna connection gani kati ya uminywaji wa demokrasia/wapinzani kuonewa NA rais kupigania rasilimali??Ao kina TL ndo shithole wenyewe trump anaosema...wew baada ya kuungana na nchi yako kupigania rasilimali zetu ndo kwanza unatoa kauli za kumu-undermine Rais na kuwasifia mabwanyenye.
A big shithole rollin in belgium.
Yaani wabongo bhana..... Kila udhaifu wa magufuli ukipingwa utaskia VITA YA UCHUMI....cjui WAUZA MADAWA
Embu wwe niambie ukipigwa shaba utakaa kimya kisa Rais wako anapigania rasilimali???
Nasubiri jibu