Tundu Lissu na hoja za kutaja watu majina

Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali[/red]

Unaona ulivyo kuwa mwehu. Sio camera tu pamoja na kuondolewa walinzi


Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo kubwa CCM walimpa Tenda kubwa ya kusaka watetezi mitandaoni Le mutuz lakini akala pesa zote na michepuko na matokeo yake akaenda kuokoteza vilaza vijana wajinga wajinga akawalundika gheto kwake akiwakaririsha upumbavu wake wanakuja kusumbua watu mitandaoni, cheki watetezi wa CCM wote hawana hoja wamekariri vitu vinavyofanana toka kwa Le mutuz na cyprian Musiba. ni aibu kubwa chama kikubwa kama CCM kumtegemea kubwa jinga Le mutuz awatetee mitandaoni matokeo yako ni aibu kubwa
 
NATHUBUTU KUSEMA HUU NI MOJA YA UZI MBOVU KUPATA KUTOKEA TANGU MWAKA HUU 2019 UANZE.

Tatizo kubwa kwa watesi watetezi wa CCM ni kuzani watanzania ni wapumbavu kama wao, hawajui kuwa watanzania wana Akili nyingi zaidi yao
 
Sote tunajua kinachoendelea kwenye Mitandao na tunajua kuwa serikali inalifuatilia hili kwa makini sana.

Katika Mahojiano yake na watanzania wanaoishi Marekani, kuna baadhi ya maswali magumu aliulizwa juu ya Uthibitisho wa tuhuma anazosambaza juu ya serikali ya Magufuli, hakuweza kuyajibu zaidi ya kuendeleza tuhuma zake.

Kinachoendelea kwenye hoja za TL ni Claims ambazo hazijawa proved to be true. Ikiwa TL ataacha kuja na claims na badala yake kutuletea Proof katika Kaliba hii , sisi sote tutamsapoti.

Lakini pia kuna taarifa zinasambaa kuwa TL alitaka kuuliwa na Chadema, hii pia kwa upande wangu ni Claims , serikali inapaswa kutuletea majibu yatakayotoa uthibitisho juu ya claim hii na sio kuendeleza siasa za hovyo, watanzania wa sasa sio wale wa zamani. Aidha, Lissu anakuwa maarufu kwa kipindi kifupi bila sababu za msingi na huyu mtu analeta sintofahamu nyingi katika nchi hii ya Maziwa na Asali.

Kimsingi kukaa kimya kwa serikali ndiyo sababu kubwa inayompa huyu mtu nguvu ya kuaminisha umma kuwa jaribio hilo lilikuwa ni inside job. Lissu anapaswa kujibiwa na kutulizwa vinginevyo hatari ni kubwa mbeleni.

Aidha, amekuwa akizungumzia sana majina ya watu.

1. Amemtaja Dr Mpoki, KM Afya ambae uteuzi wake ulisitishwa hivi karibuni na kuambiwa atapangiwa kazi nyingine, Mpoki ni very gentleman na ni mfanyakazi mzuri sana. Lissu anasema Mpoki ndiyo aliyesisitiza kuwa ni lazima apelekwe Nairobi kwa Muktadha kuwa hali ya utoaji Huduma za Afya Muhimbili ni Majanga, kauli kama hii Haiwezi kupendeza machoni mwa Rais, Hivyo kupitia maneno yake anakuwa anachonganisha viongozi wetu ambao kimsingi walikuwa Na lengo zuri la kuokoa maisha yake.

2. Anasema kuna usalama anampa Habari kuwa alitakiwa akifa apelekwe Itigi moja kwa moja , kuwa kauli hiyo ilitolewa Na Rais, hizi zote ni claims na hakuna usalama anaempa Habari Lissu ni muongo na anajaribu kuwachongamisha watu ndani kwa ndani , hili serikali inabidi iliangalie kwa jicho la 3.


Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali,

1. Lissu akirudi tu, Ichukuliwe passport yetu kwa maana hii ni mali ya TZ na amekuwa akimkashifu Rais juu ya lugha ya kingereza , huu ni utumwa mwingine kwasababu lugha yetu pendwa ni Swahili.

2. Afikishwe mahakamani kutoa uthibitisho kuwa watu wasiojulikana ni serikali ya Magufuli

3. Atoe majibu kwanini dereva wake hakupatwa na risasi hata moja zote zimpate yeye

4. Familia yake iwekwe chini ya ulinzi kuanzia sasa mpaka atakaporudi.

5. Akaunti zake zote zisimamishwe, zisiwe na uwezo wa kutoa pesa wala kuingiza pesa mpaka atakaporudi.

6. Miradi yake yote ikiwemo na zile bus za Moshi singida zizuiwe kufanya kazi mpaka atakaporudi.

Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.

Kila nchi inanidhamu zake na kwa hakika Tundu analikosea taifa nidhamu.

Nyie ndio wale wale,mapunguani!

Uzi zile zile,maneno yaleyale,hivi nyie hamchoki?

You are full of contradictions,eti anamchonganisha Dr Mpoki na Rais?

Kwa Mpoki kusema Muhimbili hapafai aende Nairobi ndio anamchonganisha na Rais?

Wewe unahisi Rais akasirike kwa lipi kama raia wake anaenda kutibiwa mahali apate uponyaji?

Lissu kwenda kufanyiwa matibabu Nairobi Rais atakasirika kwa lipi lenye tija?Na kwanini akasirike?

By implication,akimkasirikia Dr Mpoki kwa hili ina maana alikua anataka medical decision iweje?Iwe mbaya?Ili nani apate madhara?Lissu sio?Kwahiyo unam-implicate rais on this?

Yaani you have a pistol and you shoot yourself on your own foot kwa hoja zinazo-contradict each other namna hii.
 
Sote tunajua kinachoendelea kwenye Mitandao na tunajua kuwa serikali inalifuatilia hili kwa makini sana.

Katika Mahojiano yake na watanzania wanaoishi Marekani, kuna baadhi ya maswali magumu aliulizwa juu ya Uthibitisho wa tuhuma anazosambaza juu ya serikali ya Magufuli, hakuweza kuyajibu zaidi ya kuendeleza tuhuma zake.

Kinachoendelea kwenye hoja za TL ni Claims ambazo hazijawa proved to be true. Ikiwa TL ataacha kuja na claims na badala yake kutuletea Proof katika Kaliba hii , sisi sote tutamsapoti.

Lakini pia kuna taarifa zinasambaa kuwa TL alitaka kuuliwa na Chadema, hii pia kwa upande wangu ni Claims , serikali inapaswa kutuletea majibu yatakayotoa uthibitisho juu ya claim hii na sio kuendeleza siasa za hovyo, watanzania wa sasa sio wale wa zamani. Aidha, Lissu anakuwa maarufu kwa kipindi kifupi bila sababu za msingi na huyu mtu analeta sintofahamu nyingi katika nchi hii ya Maziwa na Asali.

Kimsingi kukaa kimya kwa serikali ndiyo sababu kubwa inayompa huyu mtu nguvu ya kuaminisha umma kuwa jaribio hilo lilikuwa ni inside job. Lissu anapaswa kujibiwa na kutulizwa vinginevyo hatari ni kubwa mbeleni.

Aidha, amekuwa akizungumzia sana majina ya watu.

1. Amemtaja Dr Mpoki, KM Afya ambae uteuzi wake ulisitishwa hivi karibuni na kuambiwa atapangiwa kazi nyingine, Mpoki ni very gentleman na ni mfanyakazi mzuri sana. Lissu anasema Mpoki ndiyo aliyesisitiza kuwa ni lazima apelekwe Nairobi kwa Muktadha kuwa hali ya utoaji Huduma za Afya Muhimbili ni Majanga, kauli kama hii Haiwezi kupendeza machoni mwa Rais, Hivyo kupitia maneno yake anakuwa anachonganisha viongozi wetu ambao kimsingi walikuwa Na lengo zuri la kuokoa maisha yake.

2. Anasema kuna usalama anampa Habari kuwa alitakiwa akifa apelekwe Itigi moja kwa moja , kuwa kauli hiyo ilitolewa Na Rais, hizi zote ni claims na hakuna usalama anaempa Habari Lissu ni muongo na anajaribu kuwachongamisha watu ndani kwa ndani , hili serikali inabidi iliangalie kwa jicho la 3.


Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali,

1. Lissu akirudi tu, Ichukuliwe passport yetu kwa maana hii ni mali ya TZ na amekuwa akimkashifu Rais juu ya lugha ya kingereza , huu ni utumwa mwingine kwasababu lugha yetu pendwa ni Swahili.

2. Afikishwe mahakamani kutoa uthibitisho kuwa watu wasiojulikana ni serikali ya Magufuli

3. Atoe majibu kwanini dereva wake hakupatwa na risasi hata moja zote zimpate yeye

4. Familia yake iwekwe chini ya ulinzi kuanzia sasa mpaka atakaporudi.

5. Akaunti zake zote zisimamishwe, zisiwe na uwezo wa kutoa pesa wala kuingiza pesa mpaka atakaporudi.

6. Miradi yake yote ikiwemo na zile bus za Moshi singida zizuiwe kufanya kazi mpaka atakaporudi.

Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.

Kila nchi inanidhamu zake na kwa hakika Tundu analikosea taifa nidhamu.
Wewe punguani hujui tofauti kati ya kukashifu na kusema ukweli??
Jiwe kiingereza kinamtoa jasho na elimu yake pia wasiwasi, Ben sa8 alihoji akampoteza,
Kama serikali imeficha CCTV, hujui kuharibu ushaidi ni jinai??
Umeandika upuuzi mtupu, unafikiri watanzania wote ni malimbukeni wa Chato??
Waste of space
 
Kuna watu humu mawazo Yao ni kama wametoka kuvuta bangi mbichi wakiwa wamefunga

Ndio maana waafrika hatuendelei
 
Sote tunajua kinachoendelea kwenye Mitandao na tunajua kuwa serikali inalifuatilia hili kwa makini sana.

Katika Mahojiano yake na watanzania wanaoishi Marekani, kuna baadhi ya maswali magumu aliulizwa juu ya Uthibitisho wa tuhuma anazosambaza juu ya serikali ya Magufuli, hakuweza kuyajibu zaidi ya kuendeleza tuhuma zake.

Kinachoendelea kwenye hoja za TL ni Claims ambazo hazijawa proved to be true. Ikiwa TL ataacha kuja na claims na badala yake kutuletea Proof katika Kaliba hii , sisi sote tutamsapoti.

Lakini pia kuna taarifa zinasambaa kuwa TL alitaka kuuliwa na Chadema, hii pia kwa upande wangu ni Claims , serikali inapaswa kutuletea majibu yatakayotoa uthibitisho juu ya claim hii na sio kuendeleza siasa za hovyo, watanzania wa sasa sio wale wa zamani. Aidha, Lissu anakuwa maarufu kwa kipindi kifupi bila sababu za msingi na huyu mtu analeta sintofahamu nyingi katika nchi hii ya Maziwa na Asali.

Kimsingi kukaa kimya kwa serikali ndiyo sababu kubwa inayompa huyu mtu nguvu ya kuaminisha umma kuwa jaribio hilo lilikuwa ni inside job. Lissu anapaswa kujibiwa na kutulizwa vinginevyo hatari ni kubwa mbeleni.

Aidha, amekuwa akizungumzia sana majina ya watu.

1. Amemtaja Dr Mpoki, KM Afya ambae uteuzi wake ulisitishwa hivi karibuni na kuambiwa atapangiwa kazi nyingine, Mpoki ni very gentleman na ni mfanyakazi mzuri sana. Lissu anasema Mpoki ndiyo aliyesisitiza kuwa ni lazima apelekwe Nairobi kwa Muktadha kuwa hali ya utoaji Huduma za Afya Muhimbili ni Majanga, kauli kama hii Haiwezi kupendeza machoni mwa Rais, Hivyo kupitia maneno yake anakuwa anachonganisha viongozi wetu ambao kimsingi walikuwa Na lengo zuri la kuokoa maisha yake.

2. Anasema kuna usalama anampa Habari kuwa alitakiwa akifa apelekwe Itigi moja kwa moja , kuwa kauli hiyo ilitolewa Na Rais, hizi zote ni claims na hakuna usalama anaempa Habari Lissu ni muongo na anajaribu kuwachongamisha watu ndani kwa ndani , hili serikali inabidi iliangalie kwa jicho la 3.


Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali,

1. Lissu akirudi tu, Ichukuliwe passport yetu kwa maana hii ni mali ya TZ na amekuwa akimkashifu Rais juu ya lugha ya kingereza , huu ni utumwa mwingine kwasababu lugha yetu pendwa ni Swahili.

2. Afikishwe mahakamani kutoa uthibitisho kuwa watu wasiojulikana ni serikali ya Magufuli

3. Atoe majibu kwanini dereva wake hakupatwa na risasi hata moja zote zimpate yeye

4. Familia yake iwekwe chini ya ulinzi kuanzia sasa mpaka atakaporudi.

5. Akaunti zake zote zisimamishwe, zisiwe na uwezo wa kutoa pesa wala kuingiza pesa mpaka atakaporudi.

6. Miradi yake yote ikiwemo na zile bus za Moshi singida zizuiwe kufanya kazi mpaka atakaporudi.

Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.

Kila nchi inanidhamu zake na kwa hakika Tundu analikosea taifa nidhamu.

Mkuu kwa mauaji ya Njombe na taarifa ya mwenyekiti uchunguzi unaendelea vizuri na tayari washukiwa wamefikishwa mahakamani.

Wewe hujiulizi kama kweli una nia njema pasipo na kuegemea upande wowote mbona hili la Lissu zaidi ya mwaka sasa si yoyote mwenye dhamana kutuambia mbichi wala mvivu?

Zaidi zaidi tumesikia kauli kuwa nani afuatilie kesi hali wenyewe wamekimbia. Inashangaza jinai Haina mwenyewe. Jinai zote mshitaki ni Jamhuri sasa hii hizi exceptions mleta uzi hazioni tu.

Mnyonge mnyongeni haki yake hamjampa. Mmebakia kumlaumu dobi - jamani kaniki rangi yake.
 
Sote tunajua kinachoendelea kwenye Mitandao na tunajua kuwa serikali inalifuatilia hili kwa makini sana.

Katika Mahojiano yake na watanzania wanaoishi Marekani, kuna baadhi ya maswali magumu aliulizwa juu ya Uthibitisho wa tuhuma anazosambaza juu ya serikali ya Magufuli, hakuweza kuyajibu zaidi ya kuendeleza tuhuma zake.

Kinachoendelea kwenye hoja za TL ni Claims ambazo hazijawa proved to be true. Ikiwa TL ataacha kuja na claims na badala yake kutuletea Proof katika Kaliba hii , sisi sote tutamsapoti.

Lakini pia kuna taarifa zinasambaa kuwa TL alitaka kuuliwa na Chadema, hii pia kwa upande wangu ni Claims , serikali inapaswa kutuletea majibu yatakayotoa uthibitisho juu ya claim hii na sio kuendeleza siasa za hovyo, watanzania wa sasa sio wale wa zamani. Aidha, Lissu anakuwa maarufu kwa kipindi kifupi bila sababu za msingi na huyu mtu analeta sintofahamu nyingi katika nchi hii ya Maziwa na Asali.

Kimsingi kukaa kimya kwa serikali ndiyo sababu kubwa inayompa huyu mtu nguvu ya kuaminisha umma kuwa jaribio hilo lilikuwa ni inside job. Lissu anapaswa kujibiwa na kutulizwa vinginevyo hatari ni kubwa mbeleni.

Aidha, amekuwa akizungumzia sana majina ya watu.

1. Amemtaja Dr Mpoki, KM Afya ambae uteuzi wake ulisitishwa hivi karibuni na kuambiwa atapangiwa kazi nyingine, Mpoki ni very gentleman na ni mfanyakazi mzuri sana. Lissu anasema Mpoki ndiyo aliyesisitiza kuwa ni lazima apelekwe Nairobi kwa Muktadha kuwa hali ya utoaji Huduma za Afya Muhimbili ni Majanga, kauli kama hii Haiwezi kupendeza machoni mwa Rais, Hivyo kupitia maneno yake anakuwa anachonganisha viongozi wetu ambao kimsingi walikuwa Na lengo zuri la kuokoa maisha yake.

2. Anasema kuna usalama anampa Habari kuwa alitakiwa akifa apelekwe Itigi moja kwa moja , kuwa kauli hiyo ilitolewa Na Rais, hizi zote ni claims na hakuna usalama anaempa Habari Lissu ni muongo na anajaribu kuwachongamisha watu ndani kwa ndani , hili serikali inabidi iliangalie kwa jicho la 3.


Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali,

1. Lissu akirudi tu, Ichukuliwe passport yetu kwa maana hii ni mali ya TZ na amekuwa akimkashifu Rais juu ya lugha ya kingereza , huu ni utumwa mwingine kwasababu lugha yetu pendwa ni Swahili.

2. Afikishwe mahakamani kutoa uthibitisho kuwa watu wasiojulikana ni serikali ya Magufuli

3. Atoe majibu kwanini dereva wake hakupatwa na risasi hata moja zote zimpate yeye

4. Familia yake iwekwe chini ya ulinzi kuanzia sasa mpaka atakaporudi.

5. Akaunti zake zote zisimamishwe, zisiwe na uwezo wa kutoa pesa wala kuingiza pesa mpaka atakaporudi.

6. Miradi yake yote ikiwemo na zile bus za Moshi singida zizuiwe kufanya kazi mpaka atakaporudi.

Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.

Kila nchi inanidhamu zake na kwa hakika Tundu analikosea taifa nidhamu.
Kila mtu amembwa kwakusudio la Mungu ''God created you for a purpose''
 
Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.
ndio maana ccm wote vilaza
 
Sote tunajua kinachoendelea kwenye Mitandao na tunajua kuwa serikali inalifuatilia hili kwa makini sana.

Katika Mahojiano yake na watanzania wanaoishi Marekani, kuna baadhi ya maswali magumu aliulizwa juu ya Uthibitisho wa tuhuma anazosambaza juu ya serikali ya Magufuli, hakuweza kuyajibu zaidi ya kuendeleza tuhuma zake.

Kinachoendelea kwenye hoja za TL ni Claims ambazo hazijawa proved to be true. Ikiwa TL ataacha kuja na claims na badala yake kutuletea Proof katika Kaliba hii , sisi sote tutamsapoti.

Lakini pia kuna taarifa zinasambaa kuwa TL alitaka kuuliwa na Chadema, hii pia kwa upande wangu ni Claims , serikali inapaswa kutuletea majibu yatakayotoa uthibitisho juu ya claim hii na sio kuendeleza siasa za hovyo, watanzania wa sasa sio wale wa zamani. Aidha, Lissu anakuwa maarufu kwa kipindi kifupi bila sababu za msingi na huyu mtu analeta sintofahamu nyingi katika nchi hii ya Maziwa na Asali.

Kimsingi kukaa kimya kwa serikali ndiyo sababu kubwa inayompa huyu mtu nguvu ya kuaminisha umma kuwa jaribio hilo lilikuwa ni inside job. Lissu anapaswa kujibiwa na kutulizwa vinginevyo hatari ni kubwa mbeleni.

Aidha, amekuwa akizungumzia sana majina ya watu.

1. Amemtaja Dr Mpoki, KM Afya ambae uteuzi wake ulisitishwa hivi karibuni na kuambiwa atapangiwa kazi nyingine, Mpoki ni very gentleman na ni mfanyakazi mzuri sana. Lissu anasema Mpoki ndiyo aliyesisitiza kuwa ni lazima apelekwe Nairobi kwa Muktadha kuwa hali ya utoaji Huduma za Afya Muhimbili ni Majanga, kauli kama hii Haiwezi kupendeza machoni mwa Rais, Hivyo kupitia maneno yake anakuwa anachonganisha viongozi wetu ambao kimsingi walikuwa Na lengo zuri la kuokoa maisha yake.

2. Anasema kuna usalama anampa Habari kuwa alitakiwa akifa apelekwe Itigi moja kwa moja , kuwa kauli hiyo ilitolewa Na Rais, hizi zote ni claims na hakuna usalama anaempa Habari Lissu ni muongo na anajaribu kuwachongamisha watu ndani kwa ndani , hili serikali inabidi iliangalie kwa jicho la 3.


Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali,

1. Lissu akirudi tu, Ichukuliwe passport yetu kwa maana hii ni mali ya TZ na amekuwa akimkashifu Rais juu ya lugha ya kingereza , huu ni utumwa mwingine kwasababu lugha yetu pendwa ni Swahili.

2. Afikishwe mahakamani kutoa uthibitisho kuwa watu wasiojulikana ni serikali ya Magufuli

3. Atoe majibu kwanini dereva wake hakupatwa na risasi hata moja zote zimpate yeye

4. Familia yake iwekwe chini ya ulinzi kuanzia sasa mpaka atakaporudi.

5. Akaunti zake zote zisimamishwe, zisiwe na uwezo wa kutoa pesa wala kuingiza pesa mpaka atakaporudi.

6. Miradi yake yote ikiwemo na zile bus za Moshi singida zizuiwe kufanya kazi mpaka atakaporudi.

Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.

Kila nchi inanidhamu zake na kwa hakika Tundu analikosea taifa nidhamu.
Wewe nawe ni mpuuzi mwingine tu. Jibuni hoja. Magufuli ni muiaji period.
 
Well put. Hili umeliweka vyema, hata hizo porojo zinazowekwa na wabungenwa CCM kuwa ulikuwa ni Mpango wa Chadema, hili pia serikali iachane nalo, it won’t make any sense.

Serikali inapaswa kutoa uthibitisho dhidi ya shambulio la Lissu ikiwa ni pamoja Na kumuita Officially ili kutoa ufafanuzi.

NimeeleZa hapo juu , waswahili wanasema Kukaa Kimya Nalo Ni jibu ,

Hakika hili linatia shaka as in why serikali ipo kimya, hata kama ni kwa lengo la kumkomoa juu ya siasa zake , lakini
Kwenye siasa hili halipaswi kukaliwa kimya.

Taka taka ! ...Njaaa tu zina kusumbua !Fanya kazi upate hela yako kila halali
 
Sote tunajua kinachoendelea kwenye Mitandao na tunajua kuwa serikali inalifuatilia hili kwa makini sana.

Katika Mahojiano yake na watanzania wanaoishi Marekani, kuna baadhi ya maswali magumu aliulizwa juu ya Uthibitisho wa tuhuma anazosambaza juu ya serikali ya Magufuli, hakuweza kuyajibu zaidi ya kuendeleza tuhuma zake.

Kinachoendelea kwenye hoja za TL ni Claims ambazo hazijawa proved to be true. Ikiwa TL ataacha kuja na claims na badala yake kutuletea Proof katika Kaliba hii , sisi sote tutamsapoti.

Lakini pia kuna taarifa zinasambaa kuwa TL alitaka kuuliwa na Chadema, hii pia kwa upande wangu ni Claims , serikali inapaswa kutuletea majibu yatakayotoa uthibitisho juu ya claim hii na sio kuendeleza siasa za hovyo, watanzania wa sasa sio wale wa zamani. Aidha, Lissu anakuwa maarufu kwa kipindi kifupi bila sababu za msingi na huyu mtu analeta sintofahamu nyingi katika nchi hii ya Maziwa na Asali.

Kimsingi kukaa kimya kwa serikali ndiyo sababu kubwa inayompa huyu mtu nguvu ya kuaminisha umma kuwa jaribio hilo lilikuwa ni inside job. Lissu anapaswa kujibiwa na kutulizwa vinginevyo hatari ni kubwa mbeleni.

Aidha, amekuwa akizungumzia sana majina ya watu.

1. Amemtaja Dr Mpoki, KM Afya ambae uteuzi wake ulisitishwa hivi karibuni na kuambiwa atapangiwa kazi nyingine, Mpoki ni very gentleman na ni mfanyakazi mzuri sana. Lissu anasema Mpoki ndiyo aliyesisitiza kuwa ni lazima apelekwe Nairobi kwa Muktadha kuwa hali ya utoaji Huduma za Afya Muhimbili ni Majanga, kauli kama hii Haiwezi kupendeza machoni mwa Rais, Hivyo kupitia maneno yake anakuwa anachonganisha viongozi wetu ambao kimsingi walikuwa Na lengo zuri la kuokoa maisha yake.

2. Anasema kuna usalama anampa Habari kuwa alitakiwa akifa apelekwe Itigi moja kwa moja , kuwa kauli hiyo ilitolewa Na Rais, hizi zote ni claims na hakuna usalama anaempa Habari Lissu ni muongo na anajaribu kuwachongamisha watu ndani kwa ndani , hili serikali inabidi iliangalie kwa jicho la 3.


Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali,

1. Lissu akirudi tu, Ichukuliwe passport yetu kwa maana hii ni mali ya TZ na amekuwa akimkashifu Rais juu ya lugha ya kingereza , huu ni utumwa mwingine kwasababu lugha yetu pendwa ni Swahili.

2. Afikishwe mahakamani kutoa uthibitisho kuwa watu wasiojulikana ni serikali ya Magufuli

3. Atoe majibu kwanini dereva wake hakupatwa na risasi hata moja zote zimpate yeye

4. Familia yake iwekwe chini ya ulinzi kuanzia sasa mpaka atakaporudi.

5. Akaunti zake zote zisimamishwe, zisiwe na uwezo wa kutoa pesa wala kuingiza pesa mpaka atakaporudi.

6. Miradi yake yote ikiwemo na zile bus za Moshi singida zizuiwe kufanya kazi mpaka atakaporudi.

Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.

Kila nchi inanidhamu zake na kwa hakika Tundu analikosea taifa nidhamu.
Mmxxiiuuuuu . Unajidharaulisha mkuu !! Sijui sababu ni njaa au ukereketwa ?!. Kweli mtu ashambuliwe kwa kiasi kile halafu asiseme neno ?!. Aisifie serikali inayokataa kumhudumia kwenye machungu yake ?! . Anyang'anywe passport kwa sababu tu inamuwezesha kufika msikofika ?!

Kabla ya kumshutumu Lissu ungeitaka serikali yako kupitia police wakamilishe uchunguzi wa Jambo hili. Pili bunge lichukue nafasi yake kikatiba ya kumhudumia.

Mwisho tumia akili japo kidogo. Viongozi karibu wote wa upinzani hasa wa majimbo ama wana kesi za kubumbwa, ama wamefungwa kwa kesi za aina hiyo. eg Lijualikali, Lema, Sugu (hao wametumikia vifungu) na kamati kuu yote ya Cdm wana kesi ya kuundwa. Kwako unyanyasaji huu kwako ndiyo halali ?! Basi itakuwa UPUMBAVU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Lissu ni mwanasheria nguli,anavosema tutayataja au watatajana siyo kwenye mikutano kama vile, maswala ya kisheria yatachukua sehemu yake, sasa ni mahakama gan hatujui,kwaiyo kuwa mpole kwa muda
Lisu anakwenda na hasira na mihemko, anavyoropoka sasa watu wanatunza kumbukumbu kunasiku ataulizwa maswali katika hayahaya anayo ongea atakosa majibu mwishoe atahisi anaonewa. Atakama kweli kashambuliwa nasi sote tumeona kashambuliwa anatakiwa atulie au atulizwe na watu wake wa karibu.
Kama watu waliye karibunae wanaona uko kuropoka ndio ushujaa kama mwenyewe anavyodai basi baadae ukweli ukija kudhiri na ikatokea anaohisi wamemshambulia si wahusika itabidi awajibike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sote tunajua kinachoendelea kwenye Mitandao na tunajua kuwa serikali inalifuatilia hili kwa makini sana.

Katika Mahojiano yake na watanzania wanaoishi Marekani, kuna baadhi ya maswali magumu aliulizwa juu ya Uthibitisho wa tuhuma anazosambaza juu ya serikali ya Magufuli, hakuweza kuyajibu zaidi ya kuendeleza tuhuma zake.

Kinachoendelea kwenye hoja za TL ni Claims ambazo hazijawa proved to be true. Ikiwa TL ataacha kuja na claims na badala yake kutuletea Proof katika Kaliba hii , sisi sote tutamsapoti.

Lakini pia kuna taarifa zinasambaa kuwa TL alitaka kuuliwa na Chadema, hii pia kwa upande wangu ni Claims , serikali inapaswa kutuletea majibu yatakayotoa uthibitisho juu ya claim hii na sio kuendeleza siasa za hovyo, watanzania wa sasa sio wale wa zamani. Aidha, Lissu anakuwa maarufu kwa kipindi kifupi bila sababu za msingi na huyu mtu analeta sintofahamu nyingi katika nchi hii ya Maziwa na Asali.

Kimsingi kukaa kimya kwa serikali ndiyo sababu kubwa inayompa huyu mtu nguvu ya kuaminisha umma kuwa jaribio hilo lilikuwa ni inside job. Lissu anapaswa kujibiwa na kutulizwa vinginevyo hatari ni kubwa mbeleni.

Aidha, amekuwa akizungumzia sana majina ya watu.

1. Amemtaja Dr Mpoki, KM Afya ambae uteuzi wake ulisitishwa hivi karibuni na kuambiwa atapangiwa kazi nyingine, Mpoki ni very gentleman na ni mfanyakazi mzuri sana. Lissu anasema Mpoki ndiyo aliyesisitiza kuwa ni lazima apelekwe Nairobi kwa Muktadha kuwa hali ya utoaji Huduma za Afya Muhimbili ni Majanga, kauli kama hii Haiwezi kupendeza machoni mwa Rais, Hivyo kupitia maneno yake anakuwa anachonganisha viongozi wetu ambao kimsingi walikuwa Na lengo zuri la kuokoa maisha yake.

2. Anasema kuna usalama anampa Habari kuwa alitakiwa akifa apelekwe Itigi moja kwa moja , kuwa kauli hiyo ilitolewa Na Rais, hizi zote ni claims na hakuna usalama anaempa Habari Lissu ni muongo na anajaribu kuwachongamisha watu ndani kwa ndani , hili serikali inabidi iliangalie kwa jicho la 3.


Kuondolewa kwa CCTV camera kwenye Compound yake haimpi uhalali wa kuishutumu serikali, kupigwa risasi katika eneo la bunge hakumpi uhalali wa kuishutumu serikali, Hivyo tunashauri yafuatayo kwa serikali,

1. Lissu akirudi tu, Ichukuliwe passport yetu kwa maana hii ni mali ya TZ na amekuwa akimkashifu Rais juu ya lugha ya kingereza , huu ni utumwa mwingine kwasababu lugha yetu pendwa ni Swahili.

2. Afikishwe mahakamani kutoa uthibitisho kuwa watu wasiojulikana ni serikali ya Magufuli

3. Atoe majibu kwanini dereva wake hakupatwa na risasi hata moja zote zimpate yeye

4. Familia yake iwekwe chini ya ulinzi kuanzia sasa mpaka atakaporudi.

5. Akaunti zake zote zisimamishwe, zisiwe na uwezo wa kutoa pesa wala kuingiza pesa mpaka atakaporudi.

6. Miradi yake yote ikiwemo na zile bus za Moshi singida zizuiwe kufanya kazi mpaka atakaporudi.

Mwisho , kwanba anasema Mungu wake alikuwa hai siku hiyo, kama Mungu wake alikuwa hai , kwanini huyo Mungu asingezuia zoezi zima la yeye kupijwa risasi Na kuachiwa mwili ulioharibika.

Kila nchi inanidhamu zake na kwa hakika Tundu analikosea taifa nidhamu.
Nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom