Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,795
Hao mawakili wamekulalamikia wewe kuwa wanachanganywa na Lissu & Lema?Nawashauri tu wajumbe wa kamati kuu ya Chadema wanaoishi Ulaya mh Tundu Lisu na mh Godbless Lema wamwachie nafasi wakili msomi Peter Kibatala aweze kutimiza majukumu yake kwa wepesi.
Lisu na Lema wamekuwa wakitoa miongozo mara kwa mara mitandaoni kana kwamba na wao ni miongoni mwa mawakili rasmi wa Freeman Mbowe wanaotambuliwa na mahakama.
Lisu na Lema acheni kuingiza siasa kwenye kesi ya kisheria.
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe aweze kulishinda hili jaribu.
Amen!