Nawe uje na mbwembwe humu tukuone.Zile ni mbwembwe tu bwashee za kuchangamsha baraza!
Nawe uje na mbwembwe humu tukuone.Zile ni mbwembwe tu bwashee za kuchangamsha baraza!
Hivi weweunafikiri kwa kuwa huna muda wa kuwafahamu jirani zako na majirani hawakufahamu pia?Kibatala anaenda vizuri ila Lema anataka kuvuruga utaratibu wakati yeye siyo mwanasheria!
Bwashee maendeleo hayana vyama!Hivi weweunafikiri kwa kuwa huna muda wa kuwafahamu jirani zako na majirani hawakufahamu pia?
Hivi weweunafikiri kwa kuwa hina muda wa kuwafahamu jirani zako na majirani hawakufahamu pia?Kibatala anaenda vizuri ila Lema anataka kuvuruga utaratibu wakati yeye siyo mwanasheria!
Ila kuna wakati yalikuwa na vyama,kwa wakati huu bado natafiti ili niwena haki ya kuongelea hilo.Bwashee maendeleo hayana vyama!
Jifunze kukaa kimya!Ni ushauri tu bwashee!
Kuna aliyekutuma uwasemee!?Nawashauri tu wajumbe wa kamati kuu ya Chadema wanaoishi Ulaya mh Tundu Lisu na mh Godbless Lema wamwachie nafasi wakili msomi Peter Kibatala aweze kutimiza majukumu yake kwa wepesi.
Lisu na Lema wamekuwa wakitoa miongozo mara kwa mara mitandaoni kana kwamba na wao ni miongoni mwa mawakili rasmi wa Freeman Mbowe wanaotambuliwa na mahakama.
Lisu na Lema acheni kuingiza siasa kwenye kesi ya kisheria.
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe aweze kulishinda hili jaribu.
Amen!
Mungu yupi yaaniNawashauri tu wajumbe wa kamati kuu ya Chadema wanaoishi Ulaya mh Tundu Lisu na mh Godbless Lema wamwachie nafasi wakili msomi Peter Kibatala aweze kutimiza majukumu yake kwa wepesi.
Lisu na Lema wamekuwa wakitoa miongozo mara kwa mara mitandaoni kana kwamba na wao ni miongoni mwa mawakili rasmi wa Freeman Mbowe wanaotambuliwa na mahakama.
Lisu na Lema acheni kuingiza siasa kwenye kesi ya kisheria.
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe aweze kulishinda hili jaribu.
Amen!
DC gani huyo wa kuuliwa?!Mungu yupi yaani
1. unawatumia watu wenye shida baada ya kufukuzwa kazi na unawapa kazi ya kuuwa mtu
2. unapanga kumuua mtu siyo mtu DC
HALAFU MUNGUI AKUSIKILIZE
Mungu gani mjinga wa hivyo
Nyie mnaogopana kukosoana!Kuna aliyekutuma uwasemee!?
Chadomo ni ukoo wa kambaleNawashauri tu wajumbe wa kamati kuu ya Chadema wanaoishi Ulaya mh Tundu Lisu na mh Godbless Lema wamwachie nafasi wakili msomi Peter Kibatala aweze kutimiza majukumu yake kwa wepesi.
Lisu na Lema wamekuwa wakitoa miongozo mara kwa mara mitandaoni kana kwamba na wao ni miongoni mwa mawakili rasmi wa Freeman Mbowe wanaotambuliwa na mahakama.
Lisu na Lema acheni kuingiza siasa kwenye kesi ya kisheria.
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe aweze kulishinda hili jaribu.
Amen!
Panya wengi hawachimbi shimo!Vipi Kibatala na jopo lake wamekulalamikia?
Hii kesi, Mbowe kabambikiwa kisiasa au kisheria?Nawashauri tu wajumbe wa kamati kuu ya Chadema wanaoishi Ulaya mh Tundu Lisu na mh Godbless Lema wamwachie nafasi wakili msomi Peter Kibatala aweze kutimiza majukumu yake kwa wepesi.
Lisu na Lema wamekuwa wakitoa miongozo mara kwa mara mitandaoni kana kwamba na wao ni miongoni mwa mawakili rasmi wa Freeman Mbowe wanaotambuliwa na mahakama.
Lisu na Lema acheni kuingiza siasa kwenye kesi ya kisheria.
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe aweze kulishinda hili jaribu.
Amen!
Kijinai!Hii kesi, Mbowe kabambikiwa kisiasa au kisheria?
MATAGA wa kumuonea huruma Mbowe?Nawashauri tu wajumbe wa kamati kuu ya Chadema wanaoishi Ulaya mh Tundu Lisu na mh Godbless Lema wamwachie nafasi wakili msomi Peter Kibatala aweze kutimiza majukumu yake kwa wepesi.
Lisu na Lema wamekuwa wakitoa miongozo mara kwa mara mitandaoni kana kwamba na wao ni miongoni mwa mawakili rasmi wa Freeman Mbowe wanaotambuliwa na mahakama.
Lisu na Lema acheni kuingiza siasa kwenye kesi ya kisheria.
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe aweze kulishinda hili jaribu.
Amen!
Wote ni wasomi bwashee!Naomba kufahamu hawa mawakili wasomi wanasoma tofauti na mawakili wengine wasio wasomi? Maana naona kama ni hivyo hakuna uwiano wa haki kwa wakili msomi kumpambanisha na wakili asiye soma.
Kwani ushahidi wa Sabaya hauleti matumaini kama wa RPC ?Hakuna kesi hapo Mbowe na Sabaya wote wataachwa huru!
Kumtakia wepesi siyo kumuonea huruma.MATAGA wa kumuonea huruma Mbowe?
Hawana cha kufanyaNawashauri tu wajumbe wa kamati kuu ya Chadema wanaoishi Ulaya mh Tundu Lisu na mh Godbless Lema wamwachie nafasi wakili msomi Peter Kibatala aweze kutimiza majukumu yake kwa wepesi.
Lisu na Lema wamekuwa wakitoa miongozo mara kwa mara mitandaoni kana kwamba na wao ni miongoni mwa mawakili rasmi wa Freeman Mbowe wanaotambuliwa na mahakama.
Lisu na Lema acheni kuingiza siasa kwenye kesi ya kisheria.
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe aweze kulishinda hili jaribu.
Amen!