Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,628
- 218,059
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .