happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
Baada ya kulipwa "pesa zao" na serikali ya Mama Samia awa viongozi wa Chadema wamekuwa kimya sana na zaidi wameingia kwenye maridhiano ambayo wafuasi wao hawajui wanaridhiana kitu gani.
Inaonekana magwiji wa siasa nchi hii viongozi wa CCM wamewazidi ujanja kwenye discussion. Mbaya zaidi walishajazwa mapesa na serikali na dunia nzima inajua Lissu kalipwa hela na serikali alisema kwa mdomo wake mwenyewe.
Sasa wanataka kutumia jina la Magufuli kuficha udhaifu wao waendelee kulamba asali, wanataka kuwaaminisha mashabiki zao wasio na upeo kuwa lolote wataloshindwa kwenye hivyo vikao basi tatizo ni Magufuli ila Mama anawapenda sana 😅😅
Sasa sisi wenye akili tunawaomba wamuache shujaa wa Africa apumzike kwa amani kazi aloifanyia hii nchi ni kubwa na yakukumbukwa.
Meza yao ya maridhiano hakuna afsa aliyeteuliwa na Magufuli tangu Mbowe anaanza safari za ikulu.