njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,511
Tundu Lissu kichaa kimempataalimtukana nyerere,Kikwete na sasa magufuli
,....Tundu Lissu asubiri adhabu popote na wakati wowote sio leo wala kesho! Amuombe radhi Mwalimu Nyerere kupitia familia yake na awaombe radhi Watanzania
Nadhani Tunahitaji kuweka ushabiki pembeni ili kuuelewa ukweli wa mtoa hojaTundu Lisu anaamini kuwa yeye ndiye kiumbe pekee katika ardhi hii ya Tanzania mwenye ufahamu kuliko wote.
That is an insult.
huyu kijana ni mjivuni,kejeli na zaidi hana adabu mwenye kiwanda cha matusiTundu Lisu anaamini kuwa yeye ndiye kiumbe pekee katika ardhi hii ya Tanzania mwenye ufahamu kuliko wote.
That is an insult.
Dunian kuna mambo ya ajabu sana, eti nyerere alikuwa mstari wa mbele ukombozi kusini mwa Africa wakati huo yeye kaikalia zanzibarKitendo cha TL kumkashifu Mwalimu Nyerere ndicho kimemaliza kisiasa.
Anajaribu kuwa mtu huru mwenye maoni huru lakini ameshindwa kuelewa ni kwa namna gani fikra na nafsi ya Nyerere ilivyo hai bado licha ya kuwa kaburini kwa miaka 20.
Mtu mwenye akili hawezi kujivunia uzanzibari....Wenye busara na hekima wanaelewa maana ya Zanzibar na Tanganyika kuwa kitu kimoja, kule kuna wandengereko, wayao, wanyasa, wagogo na wengine wengi tu wenye asili ya huku bara.Dunian kuna mambo ya ajabu sana, eti nyerere alikuwa mstari wa mbele ukombozi kusini mwa Africa wakati huo yeye kaikalia zanzibar
fikra gani ipo hai hiyo?Kitendo cha TL kumkashifu Mwalimu Nyerere ndicho kimemaliza kisiasa.
Anajaribu kuwa mtu huru mwenye maoni huru lakini ameshindwa kuelewa ni kwa namna gani fikra na nafsi ya Nyerere ilivyo hai bado licha ya kuwa kaburini kwa miaka 20.
Wenye umri mkubwa wanaelewa ninamaanisha nini. Nyerere ni mmoja wa waasisi wa Tanzania na afrika kwa ujumla.fikra gani ipo hai hiyo?
Lissu omba radhi. Kumtukana Nyerere ni kuwatukana watanzania
basi tupe elimu hiyoWenye umri mkubwa wanaelewa ninamaanisha nini. Nyerere ni mmoja wa waasisi wa Tanzania na afrika kwa ujumla.
Maneno yako yana ukweli, anafurahia kumuumiza mtu kihisia na huo ni ushahidi wa upungufu wa malezi ya utotoni.Tundu Lisu ni Bwege ana matatizo ya akili, hakuwa socialised vizuri utotoni.