Mkuu maneno yako yanaishiTundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost
Mkuu maneno yako yanaishiTundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost
nyerere ni binaadamu km watu wengine ana madhaifukibao na hata mwenyewe alikiri katika utawala wake alikosea vitu vingi sanaHuko aliko anajutia aise.
wewe ndo 0 brainmpumbavu wwe
Ww n jinga kabisa kwan who is Nyerere, so unataka kusema ata babaako akikosea hutohoji et kisa tu alikuzaa!! No 1 is perfect bwana kwan Nyerere n malaika asikoseeLisu ana laana ya nyerere (true son of Africa) na ana Baraka za wavuta bangi na wapiga dili ,
Lisu husapotiwa na ka kikundi flani cha watu wenye mtindio wa Ubongo
R.I.P Baba wa Taifa (JKN)
Yanaishi sanaMkuu maneno yako yanaishi
Mpuuzi haswa we jamaaLisu ana laana ya nyerere (true son of Africa) na ana Baraka za wavuta bangi na wapiga dili ,
Lisu husapotiwa na ka kikundi flani cha watu wenye mtindio wa Ubongo
R.I.P Baba wa Taifa (JKN)
Shemeji yako (mume wa dada) amekupa simu ucheze games ili utulie na kuacha fujo hapo nyumbani. Matokeo yake unaingia JF na kuandika makorokocho ya Ze Utamu. Jitafakari kijana.Kuna kitu nilisoma katika kitabu kimoja hivi(JIna limehifadhiwa)kilipigwa marukufu
kunakama list ya watu zaidi ya 25 ambao waliwekwa kizuizini kwasababu fulani fulani za kuweka mambo fulani fulani hadharini
wakati akina fulani fulani hawakutaka yajulikane na akinafulanifulani
Kweli nchi a akina fulani ni yawatu fulani ukijfanya kama fulani kinakukuta cha akina fulani
jamani mimi sio kama fulani fulani hapa nawewe usiwe kama fulani fulani
Ha ha ha ha ha ha haShemeji yako (mume wa dada) amekupa simu ucheze games ili utulie na kuacha fujo hapo nyumbani. Matokeo yake unaingia JF na kuandika makorokocho ya Ze Utamu. Jitafakari kijana.
Yaaani sijui limbwata alilotumia alilitoa wapiNyerere katuroga. Nashindwa kufahamu hawa wanaomuona kama nabii.
Ametutia njaa kabisa. Wananchi wote kawafanya mafukara na wajinga. Wakati watu walikua wanapiga hatua sisi tulikua tumelala kabisa. na hayo ni ndani ya utawala wake.
Mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Namuunga mkono Lissu
Tundu lissu ni hazina ya Taifa!laana ya matusi haya itamuandama milele