Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Ni muda wakusikia madini kutoka kwa Mhe. Tundu Lissu akiwa live VOA akichambua hoja na kujibu maswali mbalimbali kutoka katika chombo hiki cha kimataifa.
Karibu tumsikilize , nilitamana sana mahojiano Kama haya yangekuwa yanafanywa na televisheni na media zetu kama ilivyokuwa enzi ya JK lakini Sasa hivi wenye akili wanatakiwa wakae kimya na wasijadili chochote against current regime.
Ninachojiuliza Marekani imewahi kuacha kupiga hatua kwa ukosoaji unoendelea?
Kenya majirani zetu wamewahi kupoteza mikakati ya maendeleo kwa Uhuru wakuhoji na kujieleza?
Kwanini sisi tunataka kuwaaminisha watu maendeleo ni kunyamazisha vyombo vya habari.
Tunaona fahari gani Watanzania kuzungumza wakiwa uhamishoni? Wamekosa Nini?
Kama wanazungumza na mabeberu mbona nyinyi watawala kila siku mpo na hao hao mabeberu?
Tofauti ya ninyi kuzungumza na mabeberu na wengine kuzungumza nao ni nn?
Karibu tumsikilize , nilitamana sana mahojiano Kama haya yangekuwa yanafanywa na televisheni na media zetu kama ilivyokuwa enzi ya JK lakini Sasa hivi wenye akili wanatakiwa wakae kimya na wasijadili chochote against current regime.
Ninachojiuliza Marekani imewahi kuacha kupiga hatua kwa ukosoaji unoendelea?
Kenya majirani zetu wamewahi kupoteza mikakati ya maendeleo kwa Uhuru wakuhoji na kujieleza?
Kwanini sisi tunataka kuwaaminisha watu maendeleo ni kunyamazisha vyombo vya habari.
Tunaona fahari gani Watanzania kuzungumza wakiwa uhamishoni? Wamekosa Nini?
Kama wanazungumza na mabeberu mbona nyinyi watawala kila siku mpo na hao hao mabeberu?
Tofauti ya ninyi kuzungumza na mabeberu na wengine kuzungumza nao ni nn?