Tundu Lissu: Mpambanaji aliyeuanza uanaharakati utotoni

Hao ni ccm wanaotuona wapumbaf. Werema hana akili ndo maana alipewa hyo ofc. Hakuna mwenye akil ccm. Inatia hacra sana
 
Ukijaribu kuifkiria safar ilyopo mbele yetu ni kubwa, tunakwamishwa na wajinga wachache, ila naamini kuna siku tutafika kwenye Tanzania yenye Neema bila mafisadi. Huwezi kuamini watu na akili zao wanaweza kufanya mambo ya kijinga namna hii. Inaudhi mnooo! Iko siku.
yaani haoo jamaa kama mabwege vile...wanpoteza fedha za umma tu kwa nonsense zao...tanzania bado tuna safari ndefu sweetlady!
 
kama kuna idara au taasisi inayokula kodi zetu bure basi ni hili bunge la ccm!ushabiki tuu bila kuangalia maslahi ya wananchi
yaani nimesikitikia kweli...hivi kweli ndio kazi waliyotumwa na wapiga kura wao? lile sio bunge ila ni halmashauri ya makada wa chama tawala,sio watunga sheria abadani
 
Ukijaribu kuifkiria safar ilyopo mbele yetu ni kubwa, tunakwamishwa na wajinga wachache, ila naamini kuna siku tutafika kwenye Tanzania yenye Neema bila mafisadi. Huwezi kuamini watu na akili zao wanaweza kufanya mambo ya kijinga namna hii. Inaudhi mnooo! Iko siku.
tunawasubiri kwenye katiba mpya...wataona huo ubunge mchungu kama shubiri
 
Werema is a big head for poor ccm creature to comprehend.
Hata Sitta amejichakachua kwa ushabiki wa kijinga, na ukihiyo wa sheria.
 
Haingii mtu msituni acheni ufala mnadhani vita mchezo enh..? waulizeni ivoricost muda mfupi tu wa vurugu wamekom!
 
Tundu Lissu is a big head for poor ccm creature to comprehend.
Hata Sitta amejichakachua kwa ushabiki wa kijinga, na ukihiyo wa sheria.
 
Jamani tupeni basi hiyo hoja iliyojadiliwa, wengine hatuna access kabisa na hiyo Star tv. Werema kasemaje, Lissu kasemaje nk.
Lissu alikuwa na hoja za kurekebisha vifungu vya muswada wa sheria.kama kuwaongezea bajeti wasikwame kufanya session na pia kupinga kifungu kinachotaka maRC na maDC kuwa kwenye kamati ya maadili ya kuwaregulate mahakimu wakati wao hawana weledi wa sheria.Pia muingiliano wa raisi ktk muhimili wa mahakama usiwepo

Werema amekuwa akipinga na kusema wakati muafaka haujafika na pia akikataa mapendekezo bila kuwa na hoja,pia hajui wala hajasoma mahitaji ya mahakama wanahitaji nini(hapo ilibidi Lukuvi aingilie kati na kumsapooti Lissu)
kwa hakika lissu amefanya kazi nzuri lakini wale mashabiki vilaza wamemuangusha kwa kupigia kura mambo wasiyoyajua na yasiyo na maslahi kwa taifa letu

Hongera Comrade Mbowe na Mkuu Dr Slaa vijana wenu wanapiga kazi
 
Hawa jamaa kila kitu kinachotolewa na serikali wanasupport hata kama hakina maslahi kwa watanzania. Ilimradi maslahi ya serikali ya ccm hayavurugwi ndo maana kila ujinga wanasupport shame upon them
 
Inkoskaz,

Ni kweli kabisa ulichosema, leo nimefuatilia bunge tangu asubuhi na mpaka sasa niko namsikiliza Mizengo P, kwa kweli CCM ni wapuuzi kabisa pamoja na spika wao; Hawaitakii mema nchi hii, wamenisababishia hasira sana, wanapinga mambo ya maana sana mpaka huwezi amini.

Tundu lisu, nani ana email address yake? mi nataka nimtumie a 'vote of thanks' kwa hoja zake za leo,

Tundu na Zitto leo wamefanya kazi ya ziada, wanahitaji pongezi

big up guys!
 
Werema kasema watayafanyia kazi mapendekezo ya Lissu muda muafaka ukifika. Lissu anawambia wakati muafaka ndio huu, lakini kwa wingi wao bado wanapiga chini hoja zake.
 
Hivi hata nafsi zao haziwasuti jamani??? Maposho makubwa 4 nthing! Wana Mungu kweli hawa???
Hawa jamaa kila kitu kinachotolewa na serikali wanasupport hata kama hakina maslahi kwa watanzania. Ilimradi maslahi ya serikali ya ccm hayavurugwi ndo maana kila ujinga wanasupport shame upon them
 
sijawahi ona watu wabunge wa ccm wapuuzi kama bunge hili yaan hawaangalii maslah ya taifa..........wengi wao ni malimbukrni na hawana lolote........tundu lisu alikuwa na hoja za msingi kabisa lakini ushabiki usio na maana watapitisha sheria ya ajabu kabisa
 
kwa kweli nashukuru mbunge wangu cyril chami hakuwepo kabisa kwani na upuuzi wake angejibu 'siyo' na kuwaboa wapiga kura wake ambao hawakumchagua
 
Back
Top Bottom