yaani haoo jamaa kama mabwege vile...wanpoteza fedha za umma tu kwa nonsense zao...tanzania bado tuna safari ndefu sweetlady!Ila c unaona hafundishiki? Natamani kulia kadri mda unavyozidi kwenda! Yan hapa kila k2 ni SIYOOOOOOOOO!!!!
yaani hata bunge letu la JF lingecomeup na mapendekezo yenye maslahi kwa ummaAnazidi kuchimba kaburi la chama chake na wabunge wake. Tunaofuatilia tunaona wanayotenda. walivyokuwa vichwa mdundo wanawaza kukinga CDM baada ya kuangalia mambo yenye maslahi ya Taifa. pumbafu
Mkuu ni kichefuchefu plus+++++++++yaani wabunge wa CCM ni mabwege sijawahi kuona toka nizaliwe
she is like a plastic doll...hamna kitu kabisaana atafundishika
yaani wabunge wa CCM ni mabwege sijawahi kuona toka nizaliwe