Tundu Lissu: Mpambanaji aliyeuanza uanaharakati utotoni

Nilikua field last week kwenye wilaya fulani; eti capitation grants wamepokea laki tatu! wanunue vitabu, mitihani, utawala, ukarabati n.k hii ni akilia au matope?
 
Nilikua field last week kwenye wilaya fulani; eti capitation grants wamepokea laki tatu! wanunue vitabu, mitihani, utawala, ukarabati n.k hii ni akilia au matope? Hatuna serikali hapa tuna kitu kingine tofauti
 
Ili wabunge waweze kuifuatilia bajeti ya serikali kikamilifu na kisha waweze kuibana, ni muhimu kuomba serikali iwe inapatia wabunge vitabu vinavyoitwa Medium Term Expenditure Framework (MTEF). Vitabu ambavyo huwasilishwa kwa wabunge ni vile vye jumla kuu na wala siyo budget details. Hivyo wabunge hupitisha matumizi mabaya bila wao kujua, kisha mambo yakishafanyika eanahoji nani aliidhinisha.

Pili, wabunge wapewe vitabu vya bajeti at least 21 days kabla ya kikao cha bajeti, kama ilivyoelekezwa kwenye kanuni za kudumu za bunge. Hii itawapa fursa ya kuichambua bajeti na kuihoji badala ya kugonga meza na kuuliza maswali ambayo hayarejei bajeti.

Kwa mfano mbunge anauliza, ni lini daraja la mto X litajengwa, kwenye mjadala wa wizara ya miundombinu, wakati hilo ni swala la TAMISEMI. Au mbunge anauliza lini jimbo lake litaunganishwa kwenye gridi ya taifa badala ya kuelekeza waziri apunguze pesa kwenye kifungu fulani ili zitengwe kuunganisha jimbo lake kwenye gridi ya taifa.

Nachojaribu kusema ni kwamba, matatizo hayo mawili waliyoyataja Tundu na John, na matatizo mengine, yamesababishwa na wabunge kutokuwa makini wakati wa mijadala ya bajeti. Manunuzi ya mashangingi hupitishwa na wabunge. Safari za kifahari za viongozi hupitishwa na bunge. Kisha wabunge wanalalamika serikali inatumia pesa kwa matumizi yasiyo muhimu!!!
 
Big up Tundu, Kikwete alisema afadhali Dr.Slaa awe rais lakini si wewe kuingia bungeni onyesha sasa makali yako
 
Ninaomba kumuomba mbunge wangu, Mh John Mnyika aulize ni kiasi gani cha pesa kimerudishwa serikalini kutokana na kushindwa kutumika kwenye halmashauri ya wilaya ya Kinondoni. Nataka kujua kama zilirudishwa kwa nini bado hakuna miundombinu ya kuaminika kwenye maeneo ya penzoni kwenye wilaya hii?
 
Aisee, basi watanzania kazi tunayo.
juzijuzi nimeona kwenye taarifa ya habari shule moja ipo wilaya ya kinondoni haina madawati kabisa wanafunzi wanakaa chini 2,3,4,5. std 6 and 7 ndo wanakalia madawati.vyoo vichafu tena kupindukia.inakuaje fedha zilizotolewa zinarudishwa tena huko.ina maana hamna watendaji na maafisa elimu wanaoona shule zenye mahitaji?? HAIINGII AKILINI.
 
Tuache ushabiki lakini huyu jamaa ni akili kumkichwa! CCM kaeni mkao wa kula huko bungeni. Please dont ko....l...mb..a Him.
 
Hoja hii ya Mnyika haina mashiko hata chembe msingi wa kuwalipa au kutowalipa DOWANS ni sheria tu na wala siyo vipaumbele vya wepi wanastahili kufikiriwa gawiwo la kitaifa................................................

Mnyika anapaswa ajikite zaidi katika kuchambua uhalali wa madai ya DOWANS kisheria ili aweze kulisaidia taifa hili kwenda mbele au kubaki hapo lilipo au hata kurudi nyuma kimaendeleo............................Malipo ya DOWANS yankinzana na sheria za nchi na hiyo ndiyo sababu ya kukataa kuyalipa na kushinikiza serikali kwenda mahakamani kuhoji TUZO ya kitapeli ambayo DOWANS walipewa

NAKUBALIANA NAWE NAONA JJ AMEFANYA MIKUTANO MINGI SASA ANAKOSA KITU CHA KUSEMA ANARUDIA YALE YALE KWA STAILI YA KUJICHANGANYA MWENYEWE MARA NYINGI NAMFUATILIA ANAJICHANGANYA SaNA NAFIKIRI HUU NI WAKATI ANGEKAA KIMYA NA KUFANYA UCHUNGUZI WA MSIMAMO WAKE NA MANENO ALIYOKWISHA SEMA SIO KILA SIKU ANASEMA JAMBO JIPYA,SASA HIVI AMEWASAHAU WAZEE WA KWEMBE ANAZUNGUMZIA DECI KESHO UTAMSIKIA AKIULIZA WANASHERIA NIPELEKE HOJA YA KATIBA AU LA KESHOKUTWA ATASEMA DOWANS NI MATAPELI WASILIPWE ELEZA KWA NINI WASILIPWE NA WAkILIPWA TATIZO NI NINI SIO POROJO,HATUTAKI HIZO

NA KWA TAARIFA TUU ITV WAMEANZISHA KIPINDI CHA TIMIZA AHADI MUENDE HUKO MKASEME MMETEKELEZA AHADI KWA KIASI GANI
 
Hoja hii ya Mnyika haina mashiko hata chembe msingi wa kuwalipa au kutowalipa DOWANS ni sheria tu na wala siyo vipaumbele vya wepi wanastahili kufikiriwa gawiwo la kitaifa................................................

Mnyika anapaswa ajikite zaidi katika kuchambua uhalali wa madai ya DOWANS kisheria ili aweze kulisaidia taifa hili kwenda mbele au kubaki hapo lilipo au hata kurudi nyuma kimaendeleo............................Malipo ya DOWANS yankinzana na sheria za nchi na hiyo ndiyo sababu ya kukataa kuyalipa na kushinikiza serikali kwenda mahakamani kuhoji TUZO ya kitapeli ambayo DOWANS walipewa

Yani ni kwamba atakachowasilisha bungeni kupinga malipo ya Dowans ni kutokana na sababu tangu mlolongo wa Richmond mpaka Dowans kutokua na uhalali wa kisheria hivyo kupinga uhalali wa Dowans na kulipwa kwao, ila kutokana na nia ya serekali na msisitizo wake kwamba watalipa tena mapema inatuambia kwamba wanazo hizo fedha za kulipa, na ndipo hapo anatumia nafasi hiyo kuweka vipaumbele katika matumizi ya hizo hela maadam zipo zitumike kwenye madeni ya ndani na sio madeni ya nje ambayo yamekaa kisanii, kwa maana nyingine serekali isipolipa Dowans ifanye haya mengine maana hela wanazo la sivyo wananchi hatutawaelewa ki vipi wathamini malipo ya kitapeli ya Dowans na kutothamini haya madeni ya wananchi wake? hivi ndivyo nilivyomwelewa Mh.
 
Ninaomba kumuomba mbunge wangu, Mh John Mnyika aulize ni kiasi gani cha pesa kimerudishwa serikalini kutokana na kushindwa kutumika kwenye halmashauri ya wilaya ya Kinondoni. Nataka kujua kama zilirudishwa kwa nini bado hakuna miundombinu ya kuaminika kwenye maeneo ya penzoni kwenye wilaya hii?

Watendaji wa halmashauri nyingi wamejaa urasimu wakutisha.Linapokuja suala la miradi iliyotengewa fedha wao huanza kuangalia watanufaika nayo kivipi hatimaye hupelekea kwa kuchelewesha kutoa zabuni au kukataa zilizoombwa mpaka wampate mtu wa kula nao,sasa kama ni mradi wa gharama kubwa wazabuni hushtuka kwani at the end wakilipua kazi ni wao watakaosumbuliwa kulipwa au kushtakiwa.

Migongano hii ya kila mtumishi ana channel yake ya kutekeleza miradi huishia muda kumaliizika na pesa kurudishwa kwenye chanzo iwe ni hazina,TAMISEMI au kwa Donors
Na hata wanapokuja kukubaliana na mzabuni ama Mkandarasi gharama zinakuwa zimeshapanda na hivyo miradi kuendelea kutokutekelezeka

Mfumo wa ufuatiliaji haya mafungu ni mbovu na hakuna uwajibikaji kabisa huku utawala wa sheria ukiwekwa kando,kutwa nzima ni vikao vikao tu wakati kanuni zinajieleza lakini watu watataka wabadili ili wanufaike.

Inauma sana!!
 
Kama mtakumbuka wakati ule wa kampeni JK alipokua kule Singida akinadi sera zake za kifisadi ili achaguliwe aliwaambia wananchi wa Singida kua kuliko wampe kura Tindu Lisu ni bora wampe kura Dr.Slaa! hapo sasa ndio utajua kua JK alikua anamaanisha nini! Huyu jamaa Tindu Lisu ni kichwa.:)
 
Nachojaribu kusema ni kwamba, matatizo hayo mawili waliyoyataja Tundu na John, na matatizo mengine, yamesababishwa na wabunge kutokuwa makini wakati wa mijadala ya bajeti. Manunuzi ya mashangingi hupitishwa na wabunge. Safari za kifahari za viongozi hupitishwa na bunge. Kisha wabunge wanalalamika serikali inatumia pesa kwa matumizi yasiyo muhimu!!!




Mkuu hapo chanzo kinajulikana.ignorance ya watanzania ndio inapeleka bungeni wabunge waganga wa kienyeji ambapo itawawia vigumu kusoma na kuelewa na kulingana na majukumu pia hawatopata muda wa kueleweshwa

Matokeo yako ni kupinga au kusupport hoja kwa kivuli cha chama na si reality needs of the poor Voters!
tunahitaji wabunge wenye elimu kiasi na si mambumbumbu ili waweze kujitegemea kimawazo na kuchangia..lugha ni kitu muhimu katika mawasiliano na mijadala sasa usipoelewa notisi unaingiaje examination room.

Mbunge ambaye hakuna sheria inayombana anapokuwa hahudhurii vikao wala hafuatilii hoja lazima atazalisha maamuzi mabovu yasiyotekelezeka.

wabunge si proffessionals ni wanasiasa sasa wanapokuwa hawasomi vema plans zilizoandaliwa na watendaji proffessional tutaishia kuendesha nchi kisiasa badala ya maendeleo,yaani maneno kuliko vitendo
 
Wakati shule ya msingi Hananasifu iliyoko Kinondoni, wazazi wanalazimishwa kununua tofali moja kila mtu ili mtoto aruhusiwe kuingia darasani,acha matumizi ya manispaa,naongelea matumizi ya Ofisi ya mkuu wa wilaya kinondoni kila mwaka wanarudisha hela hazina kwa kukosa matumizi.

Wilaya ina wafanyakazi wasiozidi 20, nakumbuka kuna wafanyakazi halali 8, walinzi 4, sekretary 2 hapa mmoja wa DC na mwingne wa DAS, hela iliyotengwa kuendesha wilaya ktk vitabu vya bunge ni kubwa kuliko ila hamna kinachoendelea. Bohari ya taifa ina diseli ya kutosha inayozidi matumizi ya wilaya.

Nasema ivi kwa sababu naijua vizuri ofisi ya Dc kindoni. Shule ya msingi hananasifu watoto wanakaa chini darasani(ukibisha pita hata sasa ivi uone watoto wakiwa wanaendelea na masomo darasani),wakati huo huo vitabu vya bunge vinaonesha ela nyingi iliyotengwa kwa ajili ya ofisi ya Dc kwa ajili ya magazeti-zaidi ya mil.12,chai,vitabu vya kujisomea-sijui anasoma nani pale,maktaba and stashenari-wakati hamna chumba wala ubaraza wowote unaotunza hata gazeti au kitabu kimoja kama maktaba,hamna stationary.

Zaidi kuna other expenditure-hii ela imeandikwa wala haijapangiwa matumizi. Yani ukichukua vitabu vya budget ya bunge ulinganishe na matumizi utatokwa na machozi bure!

Tundu Lissu, najua ukiwa kazini huwa hauna kukurupuka,ebu wanyoshe na mkitoka hapo kagua halmashauri moja baada ya nyingne mtashangaa. Hela inarudi hazina wananchi wanakufa njaa.
 
Kweli kikwete hafai kuwa rais wa Tanzania, sehemu zote za nchi zimetelekezwa ni vilio vya matatizo huku idara zote za za serikali wakitumbua
mahela yote kwa ufisadi Tundu Lissu watanzania wote wako nyuma yenu na Mungu yupo pamoja na watanzania.
 
Back
Top Bottom