Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,987
- 144,319
Akiongea na wananchi(probably mkoani Dodoma), Lissu amedai tunapombiwa tumekombolewa, tuelewe mpaka kufikia April ya mwaka huu, serikali ilikuwa imekopa jumla ya shilingi trilioni 40 na bilioni 500 kutoka kwa mabeberu.
Hii figure ni kubwa mno na huenda Lissu kakosea/kapewa taarifa siyo sahihi.
Namdi Azikiwe. (@NamdiAzikiwe) on Twitter
Hii figure ni kubwa mno na huenda Lissu kakosea/kapewa taarifa siyo sahihi.
Namdi Azikiwe. (@NamdiAzikiwe) on Twitter